Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ndoto nyingine ni za kijeuri na kishirikina sana 🤣Wanachama watawafukuza hao wajumbe kwa mawe wakirudi wilayani. Na mimi ni mmojawapo hili tawi letu tunachangia mpaka kodi za ofisi za jimbo na wilaya!!
nasema hivi akirudi mjumbe wa mkutano mkuu aliyempigia Mbowe tutadeal naye huku chini hatuwezi kubali wahongwe huku wanajua kabisa wanachama hatumtaki Mbowe.
Fikra za kushindwa uchaguzi ni kitu mbaya sana hasa unapogundua huwezi kuchaguliwa kwa namna yoyote ile 🤣
sasa gentleman,
kurusha mawe kutasaidia nini na wajumbe ni viongozi waandamizi wa chadema kwa miaka mi5 ijayo.
au mtarusha mawe kwa miaka mitano yote?🤣