Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyie sio ndio mlikuwa mnasema Mbowe amekaa muda mrefu madarakani?
Wamegeuka tena kama sera ya chama chao inavyosema CHAMA CHA MAPINDUZI Kilicho chema kinageuka kuwa kibaya na Kibaya kinageuka kuwa chema.Yaani Haramu inageuka kuwa Halali kwa faida ya chama chao na Halali inageuka kuwa Haramu kwa usalama wa chama chao.
 
Wakili Jebra Kambole,wewe sio mpiga kura! Jukumu la kuchagua Mwenyekiti wa Cha Chadema,waaachie wajumbe,ambao ndio wapiga kura.
Ikifikia kumchagua Rais wa TLS, nasi tutawaachia mfanye mambo yenu!
Haahaa mwakani wakati mnatafuta kura za udiwani, ubunge na urais mziombe kwa wanachadema tu...
 
Mbowe ni asset ya CCM
Akichaguliwa maana yake kura zote 2025 zinaenda CCM kwa sababu wanamnadi leo kwa ajili hiyo
Hii ndiyo hoja..

Yaani eti hata chiembe CCM kijani mpaka kwenye meno yake leo eti anamnadi Freeman Mbowe..

Wanachofanya CCM kwa sasa, ni kujaribu kuhakikisha Tundu Lissu haongozi chama hiki...

Kwa kuwa Bw. Freeman Mbowe tayari yumo kwenye "payroll" yao, watajaribu kuhakikisha anabaki kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA...

Bw Freeman Mbowe akishapita , CCM watamgeuka tena na silaha zote za mashambulizi zitaelekezwa kwake na CHADEMA ndiyo itakuwa imejimaliza hivyo...!
 
Tatizo nyie mnaojidai wanasheria huwa mnaona watu wengine hawana akili ! Kama Kambole na wale wengine tulizeni mishono tufate demokrasi tu baas
 
Hawa ni mojawapo wa wale mawakili wanaomwambia mteja wake, "hii kesi imekukalia vibaya, sijuii labda tuombe Mungu" ulitegemea angeandika nini sasa? Wakili ameandika ushabiki hakuna jipya.
Humjui kambole na mbowe pia humjui, kambole anamjua mbowe na mbowe anamjua kambole wamefanyakazi pamoja kipindi mbowe anapambania kesi yake ya ugaidi alikua miongoni mwa mawakili wake
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Hahaha ila kweli
 
na sijui kwa nini ccm imejiingiza huko kumpigia debe mbowe, inashangaza sana!
Haishangazi. Wanajua wakimpigia debe Mbowe mtampigia kura Lissu. Hata shutuma nyingine kuwa Mbowe ni CCM zinatoka kwao. Lissu ndie wanaemtaka awe Mwenyekiti kwa sababu hana track record ya Mbowe. Lissu hamfikii Mbowe kwenye network na strategies ndio maana Mbowe ni tishio zaidi.

Amandla...
 
Mbona kila wakili anamnadi wakili mwenzao Lissu ?? Wee Jebra Kambole usitubabaishe kama mnataka igeuzeni TLS iwe chama cha siasa mumchukue Lissu awe mwenyekiti wenu au anzisheni chama chenu huyo Lissu awe mwenyekiti wenu full stop.Acheni kutishatisha watu mara oo sijui maiti mara ooh sijui nini !
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kumnadi Mbowe
 
Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania Mhe Jebra Kambole amewaonya wanachadema wanaotaka Freeman Mbowe aendelee na Uenyekiti kwa miaka mingine 25 ijayo waache hayo mawazo.

Wakili Jebra Kambole amesema Jinsi ilivyongumu leo kumnadi Mbowe kwenye nafasi ya Uenyekiti hata mara baada ya kumpitisha watakutana na ugumu huo huo kwa Wananchi katika kuwanadi wagombea wote katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 chini ya MBOWE.

Jebra anasema baada ya hayo kila mtu atapita kwenye Mitandao na mitaani kama anaaga maiti yaani haangalii marambili mbili.

View attachment 3186199
Mbowe anaogopa hadi kupost merry Christmas kwa hofu ya mapovu ya wanachama says a lot jinsi alivyokataliwa na wanachama. Sasa kama anajua wanachama hawamtaki anadhani akiwa mwenyekiti nani atachanga join the chain, au kuhudhuria mikutano na maandamano kama yeye ndio atakua kiongozi?
 
Mbona kila wakili anamnadi wakili mwenzao Lissu ?? Wee Jebra Kambole usitubabaishe kama mnataka igeuzeni TLS iwe chama cha siasa mumchukue Lissu awe mwenyekiti wenu au anzisheni chama chenu huyo Lissu awe mwenyekiti wenu full stop.Acheni kutishatisha watu mara oo sijui maiti mara ooh sijui nini !
Sawa jidanganyeni tunawasubiri tu 2025, tuone kuna mjinga gani atamsikiliza Mbowe. Nakuhakikishia atajiuzulu kabla ya 2029 haijafika maana ataongoza wajumbe tu wa mkutano mkuu ila hakuna supporter wa chadema atamuunga mkono huyu fisadi.
 
mimi ni mTanzania,
mchambuzi muandamizi wa masuala ya vyama vya siasa na demokrasia nchini, ambea namshukuru Mungu kunijalia karama ya kusema ukweli kwa ujasiri na bila kificho..

Freeman Aikaeli Mbowe atachaguliwa kwa kishindo kikuu kuiongoza chadema Taifa mpaka mwaka 2030.

Bilashaka yoyote,
atawaagiza wajumbe wote wa mkutano mkuu Taifa, ikiwa ni pamoja na wenyeviti wa kanda zote 10 za kutawala, wenyeviti wa mikoa, wilaya na kata, kujipanga na kuhakikisha wanawasaidia na kuwategemeza kwa hali na mali wagombea uongozi wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu 2025,

na sio kama anavyopotosha huyo wakili mbabaishaji 🐒
Wanachama watawafukuza hao wajumbe kwa mawe wakirudi wilayani. Na mimi ni mmojawapo hili tawi letu tunachangia mpaka kodi za ofisi za jimbo na wilaya!!

nasema hivi akirudi mjumbe wa mkutano mkuu aliyempigia Mbowe tutadeal naye huku chini hatuwezi kubali wahongwe huku wanajua kabisa wanachama hatumtaki Mbowe.
 
Hii ndiyo hoja..

Yaani eti hata chiembe CCM kijani mpaka kwenye meno yake leo eti anamnadi Freeman Mbowe..

Wanachofanya CCM kwa sasa, ni kujaribu kuhakikisha Tundu Lissu haongozi chama hiki...

Kwa kuwa Bw. Freeman Mbowe tayari yumo kwenye "payroll" yao, watajaribu kuhakikisha anabaki kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA...

Bw Freeman Mbowe akishapita , CCM watamgeuka tena na silaha zote za mashambulizi zitaelekezwa kwake na CHADEMA ndiyo itakuwa imejimaliza hivyo...!
Kuna watu wamejiaminisha kuwa CCM inawapenda sana CHADEMA
 
Back
Top Bottom