Kweli mko wengi humu JF! Mnatetea Mtanzania kumfanyia unyama Mtanzania mwenzake eti kisa? Ni mpinzani, anaikosoa serikali!Huyu wakili mwanasiasa huwa simwelewi kabisa
Jamaa fulani hivi kibonge,google ado novemberWekeni picha yake hapa vinginevyo ni umbea!
Na wewe usijifanye kichwani umeweka makamasi na siyo ubongo. Amesema ''sauti zinasika'' na hakusema zinaonyesha. You are more than idiot! Kama umekasirika sana mfuate bwanako Magufuli kule alikokwenda!Huyu kama vile ana ugonjwa wa kichaa, ntashangaa kama Kuna watu wanampa kesi awawakilishe mahakamani.
Audio clip inaonyeshaje mtu anangolewa jino? Analawitiwa? Audio?
Halafu hawa wote ni vilaza walioshindwa maisha wakapenyezwa kwenye vikundi vichafu vya system wakati wa Magufuli. Bado wako kwenye nyakati kama zile za Iddi Amini na vikundi vyake vya mauaji. Primitive wanaodhani kuwa kwenye vyombo vya usalama basi ni tiketi ya kuua na kutesa unavyotaka. Waache wadhani ni invincibles. Na thread zote zinazoanzishwa za kumtetea Sabaya ni hivi vikundi vinahusika.Kweli mko wengi humu JF! Mnatetea Mtanzania kumfanyia unyama Mtanzania mwenzake eti kisa? Ni mpinzani, anaikosoa serikali!
Mlivyojipanga humu mnatisha! Mara mnamtaka Wakili Madeleka atoe ushahidi, mara aripoti polisi, mara anayo matatizo ya akili...my God!
Na pia mnao ujasiri wa ajabu...eti mkishafanya yote hayo bado mnao uthubutu wa kurudi nyumbani kwa wake zenu na watoto wenu!
Mbona huku ni kuinajisi si tu familia zenu, kizazi chenu na ukoo wenu wote na kujipa laana ya bure! Kweli kuwa CCM kwahitaji roho ngumu!
Madereka ni kichaa, hata kesi ya Mbowe, aliomba ajiunge, kibatala akasema hataki mental case, itaharibu kesiNa wewe usijifanye kichwani umeweka makamasi na siyo ubongo. Amesema ''sauti zinasika'' na hakusema zinaonyesha. You are more than idiot! Kama umekasirika sana mfuate bwanako Magufuli kule alikokwenda!
Mm namfahamu jamaa mmoja anaitwa Addo, ni kada lialia wa chama, ni kiongozi wa wasanii, ni mwinjilisti, shabiki wa yanga na mani yuu. Bila shaka siye aliyetajwa hapaWASIOJULIKANA WAANIKWA HADHARANI.
Kweli dunia ni eneo dogo sana nimeamini ya kwamba unaweza kutembea na uovu lakini usifikie nao mbali. Huyu Mungu ni wa ajabu sana pale anapoamua kushughulika na fedhuli na wenye roho chafu.
Katika hali isiyokua ya kawaida, Wakili Msomi nchini ndugu Petter Madeleka kupitia mazungumzo ya Mtandao wa Clubhouse amewataja kwa majina Vijana waliomteka kwa majina yao na kusema ya kwamba anawajua mpaka sura zao.
Ndugu Madeleka ambaye ni wakili wa kujitegemea wa ameyataja majina ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambaye alikua mwanasheria wa shirikisho la wasanii nchi kua ni watu waliomteka, Wakili amethibisha kwa kusema ya kwamba walipomteka walikua wakimwekea Audio Clips zenye sauti za watu wakilia wakiliwalawitiwa, wengine wakipigiwa misumari, wengine waking'olewa meno, wengine wakipigwa short ya umeme ili aweze kutishika, amesema aliwatambua kwa majina hayo kwa sababu kwenye sauti hizo za Audio wakiwa wanafanya unyama huo wanatajana kwa majina hayo hayo ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambayo pia wanayatumia kwenye mtandao wa Clubhouse na sauti zao hizo hizo.
Jimmy Jones, Commando, Ado, Jordan Balindo na Wengine wanatajwa kujifanya kua ni waanzilishi wa mijadala mbali mbali katika mtandao wa Clubhouse kupitia chamber zao za PATRICEUMUMBA na COURT ROOM lengo lao likiwa ni kuhamisha mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini, wanaweza kujifanya kua wako serious sana kuleta jambo lenye kuibua hisia na kujifanya wana uchungu sana kumbe lengo lako ni kuhamisha mijadala ya kitaifa.
Vijana hawa nao wanatajwa umri wao kua miaka 30-40 wapo katika mitandao yote ya kijamii ikiwa Tweeter, Makundi ya Watsap, Instagram, Facebook nk.Kazi yao ni kuilinda CCM na serikali yao.
Mungu anendlee kuwaomumba na wengine wapuuzi wenye tabia kama hizi. Isiwe tunahangaika na suala la maridhiano lakini hawa hawalali wanafanya kazi za kukwamisha juhudi Mheshimiwa Rais.
View attachment 2325327
Kama magufuli alikufa ye anaogopa nini...eti mzeeHuyo wakili kuna uwezekano mkubwa akawa hayupo sawa kisaikolojia anahitaji msaada.
Anaumwa ugonjwa wa kutafuta umaarufu.
Mimi simfahamu huyo Addo na hata nikikutana naye siwezi kumtambua lakini haya majamaa makatili ni majitu ya kawaida sana kwa muonekano.Mm namfahamu jamaa mmoja anaitwa Addo, ni kada lialia wa chama, ni kiongozi wa wasanii, ni mwinjilisti, shabiki wa yanga na mani yuu. Bila shaka siye aliyetajwa hapa
.....mh wa Mungu Umbwa kabisaMimi namjua Ado Novemba mwenyekiti wa Jukwaa la Miziki ya Injili. Huyu ni mtu wa Mungu waache kumchafua.
Mungu atawalipa kwa kipimo hicho hichoHaya yote yanaelekea mwishoni wala msihofu watanzania hawa wasiojulikana kwanza tutambue kwamba ni waoga ndio maana wakifanya matukio hayo wanajificha wakati wa utekelezaji,maana yake nini,hata wao hawapendi kutendewa hivyo.MUNGU hajawahi shindwa kamwe.
huna akili?.Huyo wakili kuna uwezekano mkubwa akawa hayupo sawa kisaikolojia anahitaji msaada.
Anaumwa ugonjwa wa kutafuta umaarufu.