Uthibitisho upiAende mahakamani kuwashitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uthibitisho upiAende mahakamani kuwashitaki
Ndio maana siku hizi unakuta kijana mdogo tu anapigwa na Stroke. Kumbe ni laana wanazojitakiaHili ni tatizo la kimaaidili kwa hao walawiti, unapomlawiti mtu inakuwa umeamua kumpa adhabu? Unajuaje hiyo ni adhabu kwake na si starehe?
Unapotaka victim ajisikie vibaya kwa kulawitiwa, au achekwe wewe kama mlawiti unakua katika position ipi? Ya kupongezwa? Huoni umejichafua na kujitia najisi mwisho utoke hapo na migonjwa!?
Kuna watu mmepewa dhamana huko maofisini lakini kimsingi mlitakiwa kuwa mirembe mkitibiwa magonjwa ya akili, pathetic and shame!
unafikiri ni uongo?Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli..
Wala si uongo.Ndio maana siku hizi unakuta kijana mdogo tu anapigwa na Stroke. Kumbe ni laana wanazojitakia
Kadi ya CCM na uwe mlamba viatu vya wenye chama chao, basi.Hivi ili uwe Tiss kuna vigezo gani?
Huyo wakili kuna uwezekano mkubwa akawa hayupo sawa kisaikolojia anahitaji msaada.
Anaumwa ugonjwa wa kutafuta umaarufu.
Wewe nawe ni mmoja wao?. Mbona hata usemi wako unakutambulisha.Huyo wakili kuna uwezekano mkubwa akawa hayupo sawa kisaikolojia anahitaji msaada.
Anaumwa ugonjwa wa kutafuta umaarufu.
Atautoa huko mahakamani kama anaoUthibitisho upi
Sawa ngoja tuoneAtautoa huko mahakamani kama anao
Hehee.....utamtambuaje mtu asiyejulikana? Kwa usemi wake.Wewe nawe ni mmoja wao?. Mbona hata usemi wako unakutambulisha.
Mimi namjua Ado Novemba mwenyekiti wa Jukwaa la Miziki ya Injili. Huyu ni mtu wa Mungu waache kumchafua.Ado ni kweli
Alisema picha na video clip anazo.Hii stori ya Madeleka haina mashiko.
Anawasaidia "Wasiojulikana Original" wasijulikane zaidi kwa kuanza kuleta stori za kubumba na kufikirika dhidi watu wengine
Nimesoma nae dakawa mpaja chuo namjua vizuriMimi namjua Ado Novemba mwenyekiti wa Jukwaa la Miziki ya Injili. Huyu ni mtu wa Mungu waache kumchafua.
Hayo wanayomchafua ni kweli au siasa chafu tuNimesoma nae dakawa mpaja chuo namjua vizuri
Ado ni mafiaHayo wanayomchafua ni kweli au siasa chafu tu