Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Lumumba buku 7 wote tunajulikana.Mbona unaweweseka mkuu.
Nawe hujulikani au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lumumba buku 7 wote tunajulikana.Mbona unaweweseka mkuu.
Nawe hujulikani au?
Tuwamalize kwa nguvu za gizaWawekeni sura zao tuwaone,huenda tunaishi nao mtaani.
Tundu Lissu alitizamana na aliyempiga risasi,anaweza mkumbuka mtesi wake.
CCM hamuoni aibu?Tume huru ya Uchaguzi Kenya umewaamsha watanzania wa Ufipa st
Mbona sisi makada wa siku nyingi tunajulikana, we lazima wa Chato!Lumumba buku 7 wote tunajulikana.
Kwa hiyo kina Jimmy, Komandoo, na Ado ni misukule ambayo tunatakiwa kuitafuta kuiteka kuifungia shimoni hadi itueleze ndugu zetu waliotoweshwa wako wapi?!! Mambo si mambo!WASIOJULIKANA WAANIKWA HADHARANI.
Kweli dunia ni eneo dogo sana nimeamini ya kwamba unaweza kutembea na uovu lakini usifikie nao mbali. Huyu Mungu ni wa ajabu sana pale anapoamua kushughulika na fedhuli na wenye roho chafu.
Katika hali isiyokua ya kawaida, Wakili Msomi nchini ndugu Petter Madeleka kupitia mazungumzo ya Mtandao wa Clubhouse amewataja kwa majina Vijana waliomteka kwa majina yao na kusema ya kwamba anawajua mpaka sura zao. Ndugu Madeleka ambaye ni wakili wa kujitegemea wa ameyataja majina ya Commando,Jimmy Jones na Ado ambaye alikua mwanasheria wa shirikisho la wasanii nchi kua ni watu waliomteka, Wakili amethibisha kwa kusema ya kwamba walipomteka walikua wakimwekea Audio Clips zenye sauti za watu wakilia wakiliwalawitiwa,wengine wakipigiwa misumari, wengine waking'olewa meno,wengine wakipigwa short ya umeme ili aweze kutishika, amesema aliwatambua kwa majina hayo kwa sababu kwenye sauti hizo za Audio wakiwa wanafanya unyama huo wanatajana kwa majina hayo hayo ya Commando,Jimmy Jones na Ado ambayo pia wanayatumia kwenye mtandao wa Clubhouse na sauti zao hizo hizo.
Jimmy Jones,Commando,Ado,Jordan Balindo na Wengine wanatajwa kujifanya kua ni waanzilishi wa mijadala mbali mbali katika mtandao wa Clubhouse kupitia chamber zao za PATRICEUMUMBA na COURT ROOM lengo lao likiwa ni kuhamisha mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini, wanaweza kujifanya kua wako serious sana kuleta jambo lenye kuibua hisia na kujifanya wana uchungu sana kumbe lengo lako ni kuhamisha mijadala ya kitaifa.
Vijana hawa nao wanatajwa umri wao kua miaka 30-40 wapo katika mitandao yote ya kijamii ikiwa Tweeter, Makundi ya Watsap, Instagram,Facebook nk.Kazi yao ni kuilinda CCM na serikali yao.
Mungu anendlee kuwaomumba na wengine wapuuzi wenye tabia kama hizi. Isiwe tunahangaika na suala la maridhiano lakini hawa hawalali wanafanya kazi za kukwamisha juhudi Mheshimiwa Rais.
Wewe ni Muha uko chama cha WapembaMbona sisi makada wa siku nyingi tunajulikana, we lazima wa Chato!
Hao ndo wakukamata hao hao !!Kwa hiyo kina Jimmy, Komandoo, na Ado ni misukule ambayo tunatakiwa kuitafuta kuiteka kuifungia shimoni hadi itueleze ndugu zetu waliotoweshwa wako wapi?!! Mambo si mambo!
Hao ndo wakukamata hao hao !!Kwa hiyo kina Jimmy, Komandoo, na Ado ni misukule ambayo tunatakiwa kuitafuta kuiteka kuifungia shimoni hadi itueleze ndugu zetu waliotoweshwa wako wapi?!! Mambo si mambo!
Wa Chato msiojulikana mko wengi!Wewe ni Muha uko chama cha Wapemba
Ina maana wewe ulikuwa unafahamu tayari kwamba Commando amelawiti watu?Na hii nayo ni Breaking News...!!
Hahaha.......!Wa Chato msiojulikana mko wengi!
Lazima imuume sana, sio swala la mchezo kulawitiwa na masela alafu unawaona wanatamba kitaani. Kwamba yule wakili nilimlawiti balaaaHuyo wakili kuna uwezekano mkubwa akawa hayupo sawa kisaikolojia anahitaji msaada.
Anaumwa ugonjwa wa kutafuta umaarufu.
Ina maana wewe ulikuwa unafahamu tayari kwamba Commando amelawiti watu?
Sasa,hapa thinking siyo clear. Message siyo clear. Analaumiwa Commando au inalaumiwa TISS au wanalaumiwa wote TISS na Commando?
Mimi napinga sana TISS kufanya mambo ya ovyo. Nafikiria Ile passage katika kitabu cha Ayubu ambapo Mungu anamwambia Shetani:"Kamtese Ayubu mwili wake,lakini usiidhuru roho yake."
Na huyu Madeleka ni nani? Ndiyo yule wakili wa Arusha aliyekuwa na matatizo sisku za karibuni?
Na Club house ni nini? Na Courtroom?
DUUHWawekeni sura zao tuwaone,huenda tunaishi nao mtaani.
Tundu Lissu alitizamana na aliyempiga risasi,anaweza mkumbuka mtesi wake.