Wakili Madeleka awaanika 'wasiojulikana' kwa majina

Wakili Madeleka awaanika 'wasiojulikana' kwa majina

Jamii Forums kweli imepoteza hadhi. Ingekuwa zamani zile ikijulikana kama where we dare, mpaka sasa si majina tu bali hata picha za hawa wanyama (kwa kweli hawa si binadamu!) zingetapakaa kila moja azione.

Fikiria eti kwa tofauti za kisiasa tu, Mtanzania anamteka Mtanzania mwenzake na kumfanyia unyama kama unavyosimuliwa. Halafu bado wengiine wako humu humu wakibeza ujasiri wa Wakili Madeleka kuwataja hadharani.

Inashangaza, inasikitisha, inaudhi na inakasirisha...
 
Tunahitaji jamii na taifa lenye ustaarabu unaoendana na wakati. Kama kuna watu wanaotenda uhalifu kwa mujibu wa sheria, taratibu, mila na hata ubinadamu kwa akili ya kawaida, ni muhimu wakemewe na kurekebishwa kwa utaratibu unaostahili.
Kwa hoja zinazochangiwa hapa, ni kipimo tosha cha kustaarabika kwa wachangiaji wenyewe, jamii na taifa kwa ujumla.
 
..kuna mamlaka ndani ya vyombo vya dola ziliwezesha kundi la wasiojulikana kuteka, kutesa, kuua, etc.

..kundi la wasiojulikana lisingweza kutamba kwa kiasi kile kama lisingekuwa na baraka na msaada wa mamlaka zinazoweza kuchunguza, kukamata, na kushtaki, wahalifu nchini.

NB:

..Mdude Nyagali amewatambua na kuwataja waliomteka na kumtesa lakini hajatendewa haki leo. Ametaja hata mahali / nyumba aliyopelekwa kuteswa na kituo cha polisi alichotolewa.
Aisee
 
WASIOJULIKANA WAANIKWA HADHARANI.

Kweli dunia ni eneo dogo sana nimeamini ya kwamba unaweza kutembea na uovu lakini usifikie nao mbali. Huyu Mungu ni wa ajabu sana pale anapoamua kushughulika na fedhuli na wenye roho chafu.

Katika hali isiyokua ya kawaida, Wakili Msomi nchini ndugu Petter Madeleka kupitia mazungumzo ya Mtandao wa Clubhouse amewataja kwa majina Vijana waliomteka kwa majina yao na kusema ya kwamba anawajua mpaka sura zao. Ndugu Madeleka ambaye ni wakili wa kujitegemea wa ameyataja majina ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambaye alikua mwanasheria wa shirikisho la wasanii nchi kua ni watu waliomteka, Wakili amethibisha kwa kusema ya kwamba walipomteka walikua wakimwekea Audio Clips zenye sauti za watu wakilia wakiliwalawitiwa, wengine wakipigiwa misumari, wengine waking'olewa meno, wengine wakipigwa short ya umeme ili aweze kutishika, amesema aliwatambua kwa majina hayo kwa sababu kwenye sauti hizo za Audio wakiwa wanafanya unyama huo wanatajana kwa majina hayo hayo ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambayo pia wanayatumia kwenye mtandao wa Clubhouse na sauti zao hizo hizo.

Jimmy Jones, Commando, Ado, Jordan Balindo na Wengine wanatajwa kujifanya kua ni waanzilishi wa mijadala mbali mbali katika mtandao wa Clubhouse kupitia chamber zao za PATRICEUMUMBA na COURT ROOM lengo lao likiwa ni kuhamisha mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini, wanaweza kujifanya kua wako serious sana kuleta jambo lenye kuibua hisia na kujifanya wana uchungu sana kumbe lengo lako ni kuhamisha mijadala ya kitaifa.

Vijana hawa nao wanatajwa umri wao kua miaka 30-40 wapo katika mitandao yote ya kijamii ikiwa Tweeter, Makundi ya Watsap, Instagram, Facebook nk.Kazi yao ni kuilinda CCM na serikali yao.

Mungu anendlee kuwaomumba na wengine wapuuzi wenye tabia kama hizi. Isiwe tunahangaika na suala la maridhiano lakini hawa hawalali wanafanya kazi za kukwamisha juhudi Mheshimiwa Rais.

Watu wasio julikana
 
Ana
WASIOJULIKANA WAANIKWA HADHARANI.

Kweli dunia ni eneo dogo sana nimeamini ya kwamba unaweza kutembea na uovu lakini usifikie nao mbali. Huyu Mungu ni wa ajabu sana pale anapoamua kushughulika na fedhuli na wenye roho chafu.

Katika hali isiyokua ya kawaida, Wakili Msomi nchini ndugu Petter Madeleka kupitia mazungumzo ya Mtandao wa Clubhouse amewataja kwa majina Vijana waliomteka kwa majina yao na kusema ya kwamba anawajua mpaka sura zao. Ndugu Madeleka ambaye ni wakili wa kujitegemea wa ameyataja majina ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambaye alikua mwanasheria wa shirikisho la wasanii nchi kua ni watu waliomteka, Wakili amethibisha kwa kusema ya kwamba walipomteka walikua wakimwekea Audio Clips zenye sauti za watu wakilia wakiliwalawitiwa, wengine wakipigiwa misumari, wengine waking'olewa meno, wengine wakipigwa short ya umeme ili aweze kutishika, amesema aliwatambua kwa majina hayo kwa sababu kwenye sauti hizo za Audio wakiwa wanafanya unyama huo wanatajana kwa majina hayo hayo ya Commando, Jimmy Jones na Ado ambayo pia wanayatumia kwenye mtandao wa Clubhouse na sauti zao hizo hizo.

Jimmy Jones, Commando, Ado, Jordan Balindo na Wengine wanatajwa kujifanya kua ni waanzilishi wa mijadala mbali mbali katika mtandao wa Clubhouse kupitia chamber zao za PATRICEUMUMBA na COURT ROOM lengo lao likiwa ni kuhamisha mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini, wanaweza kujifanya kua wako serious sana kuleta jambo lenye kuibua hisia na kujifanya wana uchungu sana kumbe lengo lako ni kuhamisha mijadala ya kitaifa.

Vijana hawa nao wanatajwa umri wao kua miaka 30-40 wapo katika mitandao yote ya kijamii ikiwa Tweeter, Makundi ya Watsap, Instagram, Facebook nk.Kazi yao ni kuilinda CCM na serikali yao.

Mungu anendlee kuwaomumba na wengine wapuuzi wenye tabia kama hizi. Isiwe tunahangaika na suala la maridhiano lakini hawa hawalali wanafanya kazi za kukwamisha juhudi Mheshimiwa Rais.
Anamzungumzia ado November? Was shirikisho la mziki au?
 
..Peter Madeleka akitoa ushuhuda wake.
 

Attachments

  • HAYA HAPA MAJINA WATEKAJI NA WAPIGA MARISASI TANZANIA. WAKILI PETER MADELEKA LEO KAJITOA KAFAR...mp4
    19.6 MB
Hawa mbona wanajulikana, nenda Ofisi za TISS au Polisi kanda ya Dar mbona majina yao ni maarufu kwenye ofisi zao? Wote hao Jimmy,Comando, na huyo Ado wanajulikana na hata Baa wanashinda sana twawajua wengine majina yao ni Fake mitandaoni kasoro la Ado. Muulize nduguyo aliyeko ofisi za TISS kanda ya Dar atakupa hadi sura zao
Sasa sisi tuende ofisi za Tiss tunaendaje ndugu? tunazijua!? hata huko polisi tutaenda kuulizaje kwamba namtafuta Ado , au huyo Jimmy ? Mbona mnatupa sisi common wananchi kazi ya ziada.

Kikubwa tuwajue, au tuwaepuke au tuwindane for street justice! Mtaa haujawahi kushindwa ukiamua!
 
Lazima imuume sana, sio swala la mchezo kulawitiwa na masela alafu unawaona wanatamba kitaani. Kwamba yule wakili nilimlawiti balaaa

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Hili ni tatizo la kimaaidili kwa hao walawiti, unapomlawiti mtu inakuwa umeamua kumpa adhabu? Unajuaje hiyo ni adhabu kwake na si starehe?

Unapotaka victim ajisikie vibaya kwa kulawitiwa, au achekwe wewe kama mlawiti unakua katika position ipi? Ya kupongezwa? Huoni umejichafua na kujitia najisi mwisho utoke hapo na migonjwa!?

Kuna watu mmepewa dhamana huko maofisini lakini kimsingi mlitakiwa kuwa mirembe mkitibiwa magonjwa ya akili, pathetic and shame!
 
Back
Top Bottom