johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa CHADEMA Kanda na Mkoa ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mh. Masanja huko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU.
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
=====
Pia soma: Alichosimulia Edgar Mwakalebela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
=====
Pia soma: Alichosimulia Edgar Mwakalebela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa