Wakili Matata: Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi wako Hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya Sativa!

Wakili Matata: Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Magharibi wako Hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya Sativa!

ACT na Chadema wanagombania kumtumia Sativa kama karata yao ya siasa, Lol
Sikupingi lakini nina swali kwako jepesi.Waliofika pale wanatambulika kama wanachama wa CHADEMA nimeona ACT WAZALENDO wametoa tamko lao pia,swali langu ni hili: Ulitaka wakifika pale tuwatambue kama raia wema au wanachama wa vyama husika?

Kwa maana jamii pia inawatambua kuwa ni watu wa CHADEMA(kwa mantiki yako ni kwamba huu utambulisho katika tukio hili usionekane sio?).Kumbuka pia CHADEMA kama chama cha kisiasa ni sehemu ya jamii.Mbona rais akitoa mchango mnakimbilia kudumisha ilani za chama cha kijani kwamba kidumu?
 
Kwa hiyo kumsaidia tu ambaye anahitaji msaada ni dhambi? Hao jamaa walijua wamemaliza kazi sasa wakijua bado yuko hai si wataenda kumaliza kiporo chao? Wacheni roho za kishetani
Nyie Chadema hamna akili, haya mtumieni kwenye kampeni zenu
 
Matusi!!!! ndo mtake kutoa ROHO ya kijana wa watu kisa mmetukanwa!???

Nyie dawa yenu inachemka ngoja muone
Bange punguza Bange kijana matusi ukishakula Bange zako kawatukane ndugu zako na Mama yako aliekuzaa sio kutukana watu mitandaoni watu usiowajua utatukana mpaka MAJINI
 
Get well Soon SATIVA.

Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?

Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Kazi imefanya kwa maelekezo kutoka juu.... Hilo halina Ubishi.
 
Kazi imefanya kwa maelekezo kutoka juu.... Hilo halina Ubishi.
Bange mbaya sana hamziwezi acheni sio unakula Bange zako ukimaliza unaanza kutukana watu ovyo mtandaoni nenda kawatukane wazazi wako basi na ndugu zako eeh si ndio wamukukuza kibange Bange
 
Get well Soon SATIVA.

Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?

Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Wanasema mtu aliyezoea kula nyama ya mtu haachi.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU

Matata ametoa Taarifa ukurasani X
well done,

ni mwanachama wao kumbe, au kibinadamu tu 🐒
 
CHADEMA ni chama cha kihuni Sana...badala wadeal na Mambo ya kitaifa wao ni kucheza kila aina ya Ngoma inayopigwa na watawala. Hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom