Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CHADEMA haina sehemu ya kuibaCCM ni Chama kizuri sana ila Kasoro ndogo ndogo Lazima ziwepo kama Nyie Chadema mmekodi Chopa iliyoeksipaya kama ile ya Iran 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA haina sehemu ya kuibaCCM ni Chama kizuri sana ila Kasoro ndogo ndogo Lazima ziwepo kama Nyie Chadema mmekodi Chopa iliyoeksipaya kama ile ya Iran 😂😂
Naamni wangetaka kumuua bhc angeshakwisha mda mrefu kabla ajafika chuga au kataviAsikubali nini sasa unaambiwa yuko ICU na anahitaji msaada kwani hao watesi wake lazima watakuja kummalizia.
Labda walienda kutaka kumtupa nje kwa Lema ila wakagundua Lema amesafiri hayupo nchini 🤣Get well Soon SATIVA.
Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?
Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
RuzukuCHADEMA haina sehemu ya kuiba
Dogo acha Ujinga 😂😂😂Labda walienda kutaka kumtupa nje kwa Lema ila wakagundua Lema amesafiri hayupo nchini 🤣
Mkuu kumtumiaje kisiasa? huyo mtu yupo mahututi anadhani ana nguvu gani sasa za kutumiaka?ACT na Chadema wanagombania kumtumia Sativa kama karata yao ya siasa, Lol
Kwa kesi zote mbili walijiaminisha kuwa walishaua, na kwa kesi ya Sativa walienda kumtupa kwenye hilo pori ili aliwe na wanyama kupoteza ushahidi. Tusiandike mate kama akiamka atasema yote na ndiyo kitu hao watesi wake hawatapenda kitokee na njia pekee ni kwenda kummalizia.Naamni wangetaka kumuua bhc angeshakwisha mda mrefu kabla ajafika chuga au katavi
Huyo wamefanya kumtesa kama Roma au yule doctor ulimboka
Sasa ruzuku ni kuiba?Ruzuku
ACT na Chadema wanagombania kumtumia Sativa kama karata yao ya siasa, Lol
Lissu kaenda kwenye matibabu hizo nyingine ni strori zenu chawa mkishalewa visungura basi.Kwahiyo Lisu kuikimbia Chopa ni njama za CCM?
We dogo uwage unakunywa Bia hizo mbege mwachie Retired 😂🔥
Ni kweli kuwa CCM huwa inaiba kura katika uchaguzi?Kwahiyo Lisu kuikimbia Chopa ni njama za CCM?
We dogo uwage unakunywa Bia hizo mbege mwachie Retired 😂🔥
Nahisi uwenda humjui SATIVA!!!!! Huyu ni kijana mtiifu wa CHADEMA…..kwahyo wanamtetea kijana waoDogo asikubali kutumika kisiasa naona chadema wanataka kumfanya kete yao
Huyo akiamka na hang over ya ulanzi akizimua na kisungura au Double kick akili zinamhama kabisa.Sasa ruzuku ni kuiba?
Kama vijana wa chadema wana matusi kiasi hicho bhc wameiga kwa viongozi waoNahisi uwenda humjui SATIVA!!!!! Huyu ni kijana mtiifu wa CHADEMA…..kwahyo wanamtetea kijana wao
Makete wanakula sn jogooHuyo akiamka na hang over ya ulanzi akizimua na kisungura au Double kick akili zinamhama kabisa.
Anayekufaa wakati wa dhikli ndiye rafiki wa kweli....Chadema haitakagi huu upuuzi wa kuumizana wananchiDogo asikubali kutumika kisiasa naona chadema wanataka kumfanya kete yao
Siyo kweliNi kweli kuwa CCM huwa inaiba kura katika uchaguzi?
Kama kweli ni kijana wao bhc chadema wana vijana wa ovyooo kabisaa ,,kama umeona post zake hutanibishia hiliAnayekufaa wakati wa dhikli ndiye rafiki wa kweli....Chadema haitakagi huu upuuzi wa kuumizana wananchi
Tutajua baadaye kama ni kijana wa ovyo au laa ila kwa sasa CDM wanafanya kila namna mgonjwa apate matibabu.Kama kweli ni kijana wao bhc chadema wana vijana wa ovyooo kabisaa ,,kama umeona post zake hutanibishia hili