johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
Arusha walienda kuripoti kwa mkuu wa kitengoGet well Soon SATIVA.
Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?
Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?
Dogo asikubali kutumika kisiasa naona chadema wanataka kumfanya kete yaoMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
Asikubali nini sasa unaambiwa yuko ICU na anahitaji msaada kwani hao watesi wake lazima watakuja kummalizia.Dogo asikubali kutumika kisiasa naona chadema wanataka kumfanya kete yao
Jambo jema Muovu CCM ashindweMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
Kwa hiyo kumsaidia tu ambaye anahitaji msaada ni dhambi? Hao jamaa walijua wamemaliza kazi sasa wakijua bado yuko hai si wataenda kumaliza kiporo chao? Wacheni roho za kishetaniChadema wamekuwa watu wa Siasa za matukio. Niliwahi kukipenda hiki chama kipindi fulani.
CCM inaingiaje hapo? πΌJambo jema uovu CCM ashindwe
Maovu yote ni matokeo mibovu ya mifumo ya CCMCCM inaingiaje hapo? πΌ
Punguza mbege
CCM ndiyo inahusika na kila uovu katika nchi hii.CCM inaingiaje hapo? πΌ
Punguza mbege
Endelea kuipenda UWT inakutoshaChadema wamekuwa watu wa Siasa za matukio. Niliwahi kukipenda hiki chama kipindi fulani.
Imejaa majangili tupuCCM ndiyo inahusika na kila uovu katika nchi hii.
Moyo wa mwanadamu yoyote umejaa uovuMaovu yote ni matokeo mibovu ya mifumo ya CCM
CCM inazidi aseeMoyo wa mwanadamu yoyote umejaa uovu
Kwahiyo Lisu kuikimbia Chopa ni njama za CCM?CCM ndiyo inahusika na kila uovu katika nchi hii.
CCM ni Chama kizuri sana ila Kasoro ndogo ndogo Lazima ziwepo kama Nyie Chadema mmekodi Chopa iliyoeksipaya kama ile ya Iran ππCCM inazidi asee
DABGet well Soon SATIVA.
Kama lengo lilikua kumpeleka Katavi, njia rahisi ingekua kupita Mbeya au Tabora. Kwanini wazungukie Arusha? Walienda kumfuata nani Arusha?
Je aliyeorganize unyama huo yupo Arusha? Ni nani anaishi Arusha mwenye uzoefu wa kuteka, kutesa na kuua?