GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakili Methusela Gwajima leo Iulai 15, amechukua fomu kuchuana na kaka yake Askofu Josephat Gwajima pamoja na watia nia wengine ambao wamechukua fomu kuwania Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Habari Star TV Tanzania
Unaweza kudhani ni Hatua nzuri ila hapa kwa Jicho la Ndege Tai inaweza ikawa ni Tiketi ya Kumkosesha Mmoja au hata Wakaukosa Wote vile vile.
Habari Star TV Tanzania
Unaweza kudhani ni Hatua nzuri ila hapa kwa Jicho la Ndege Tai inaweza ikawa ni Tiketi ya Kumkosesha Mmoja au hata Wakaukosa Wote vile vile.