Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
oh, bahati mbaya peter madeleka ni sawa na mwanafunzi wangu. ila namheshimu kwasababu ni wakili mwenzangu. unakosea unaposema amenizidi akili.Mimi siyo Mwanasheria lakini Wanasheria wenye akili kuliko wewe akina Peter Madeleka (soma post #9), wanasema huyu hana sifa
Hakuna kesi tunayo shindwa ni ufisadi wanao tushitaki wametumwa na serikali dhalimu ya ccm na tunapokwenda kujitstea ni kundi moja mshitakiwa na mshitaki ni njama mojawanakula meza moja mavuno ya kesiView attachment 2942815Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Hiyo ndio iwe hoja ila ulichokiandika hapo awali hakina mantiki.Namnukuu Wakili Peter Madeleka kutoka mtandao X, anasema
"Ili mtu awe na SIFA za kuwa WAKILI MKUU WA SERIKALI, anatakiwa kuwa na UZOEFU wa KUENDESHA KESI MAHAKAMANI KWA MIAKA 15. Angalia AMRI namba 5(3) hapo 👇. Dr. BONIPHACE LUHENDE alisajiliwa kuwa WAKILI tarehe 6 DISEMBA 2013. Mwaka 2028 ndiyo ANGEKUWA na SIFA za kuwa WAKILI MKUU."
Soma hapa wewe Kihiyo:
View attachment 2942849
Ila hii sura? Duh 🙄View attachment 2942815Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
mahakamani au kwenye tribunal (ambazo wengine wanaenda hata sio mawakili). hii pia ulitakiwa kuunganisha.Namnukuu Wakili Peter Madeleka kutoka mtandao X, anasema
"Ili mtu awe na SIFA za kuwa WAKILI MKUU WA SERIKALI, anatakiwa kuwa na UZOEFU wa KUENDESHA KESI MAHAKAMANI KWA MIAKA 15. Angalia AMRI namba 5(3) hapo 👇. Dr. BONIPHACE LUHENDE alisajiliwa kuwa WAKILI tarehe 6 DISEMBA 2013. Mwaka 2028 ndiyo ANGEKUWA na SIFA za kuwa WAKILI MKUU."
Soma hapa wewe Kihiyo:
View attachment 2942849
Wewe nenda ukanye halafu ukalale kabla ya shemeji yako hajarudi. Tatizo la kuishi mjini kwa hisani ya dadaTehetehe....hata oksijen prinsipo itatumika, wewe endelea kusoma tuvitabu twako, sheria is a living creature
Onyesha uwezo wako wa akili kwa kujenga hoja dhidi ya hoja za Madeleka? Ila nina wasiwasi kama wewe ni Wakili. Weka namba yako hapa tukukague kwenye mtandao wa e-Wakilioh, bahati mbaya peter madeleka ni sawa na mwanafunzi wangu. ila namheshimu kwasababu ni wakili mwenzangu. unakosea unaposema amenizidi akili.
Tumsanehe kwani kazomoka huyoUlichokiandika either hukijui au hutaki kukijua.
Anaruhisiwa kusimama mahakamani.
Mpaka sasa sijawahi ona state attorney akiwa amehuisha leseni yake ya uwakili. Nawajua wengi sana na status yao iko hivyo hivyo karibu wote.View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
GachachaLkn kwenye gacaca court nchini Rwanda anaweza kusimama bila shida
Kutumia mtandao wa e-wakili kama msingi wa hoja kwamba wakili mkuu wa serikali anakosa sifa kusimama mahakamani kwakua katika mtandao huo anaonekana hajahuisha leseni ni hoja batili kwakua mtandao huo unatumika na mawakili binafsi tu na sio wale wanaofanya kazi serikalini.Tofauti yake ni nini?
Wacha kutetea UPUMBAVU!! Haya maujinga yenu ndiyo yanasababisha Serikali inashindwa vibaya huko nje kwenye Mahakama za wenye akili.Kutumia mtandao wa e-wakili kama msingi wa hoja kwamba wakili mkuu wa serikali anakosa sifa kusimama mahakamani kwakua katika mtandao huo anaonekana hajahuisha leseni ni hoja batili kwakua mtandao huo unatumika na mawakili binafsi tu na sio wale wanaofanya kazi serikalini.
Ni kweli alikua wakili binafsi kabla ya kuingia huko serikalini ila aliacha ndio maana status yake inasomeka hajahuisha leseni.
Hoja ya kutotimiza vigezo kwakua hana miaka 15 katika litigation kwa kuangalia muda alioapishwa ndio sahihi na inapaswa kujadiliwa.
Mtumishi wa UMMA huyo.View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Hakuna jambo baya kama kujua usichokijua.Hiyo siyo excuse bali ni UDHAIFU wa mfumo. Acha kutetea UTOPOLO
ni kwasababu hawafanyi biashara ya uwakili, wamesalenda kwa CJ, sasa wahuishe leseni ya nini wakati wao wanatetea serikali, sio watu binafsi? kwa mawakili mbona hili linaeleweka?Mpaka sasa sijawahi ona state attorney akiwa amehuisha leseni yake ya uwakili. Nawajua wengi sana na status yao iko hivyo hivyo karibu wote.
Mtumishi wa UMMA huyo.
Note: Mleta mada fikiri vzr na ufanye research ya kutosha kabla ya kupost mada.