pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
KIla mara tunasema kuna tatizo ktk Mamlaka za uteuzi na bado linaendele kila uchwao!Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
Hatimaye huyu mediocre naye amefikiwa. Ile nafasi ya WAKILI MKUU WA SERIKALI ilikuwa ni kubwa kwakeView attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Mbona wakati wa kumchagua Mwabukusi Mawakili wote walipelekwa Dodoma kupiga kura za hapana? Ila wakapiga kura za ndiyo?Huyo ni mtumishi wa umma, huwezi kuwa wakili binafsi halafu ukawa wakili wa serikali, kuna Public Bar Association, na kuna chama cha mawakili binafsi, ukiwa kwa umma lazima usilipie leseni ya uwakili binafsi, you must suspend your practising licence
Njoo tena usome ulichoandika hapa Yesu AnakujaNadhani huyo ni Wakili wa serikali, sio private advocate, ajapo Mahakamani amevaa joho la wakili namba moja (AG). mleta mada wewe ni mwanasheira kweli? kwamba hujui hili?
yaani hujaelewa hadi leo, tufanyeje uelewe? Mawakili wote wa serikali hawana leseni kufanya uwakili wakujitegemea, ndio maana ukiingiza majina yao hata leo mfumo utakuambia haruhusiwi, ni kwasababu hana leseni. Jaji Mkuu amenyang'anya leseni zao wote, ila akiacha uwakili wa serikali anapata. wao wakiwa mahakamani wanafanya uwakili kwa vazi la AG (Mwanasheria Mkuu), ndio maana despite miaka yao ya practice wanahesabika ni wakili namba moja kwenye seniority kwasababu AG ndiye wakili namba moja.Njoo tena usome ulichoandika hapa Yesu Anakuja
wao wanayo public bar ya kwao, ila kwa upande mwingine pia ni members wa TLS na wanalipiwa michango na ofisi zao tangu recently, wao kuwa member wa TLS pekee haiwafanyi kuwa na leseni ya kufanya uwakili wa kujitegemea, kwasababu hata pesa ya umember wanayolipa ni ndogo mno kuliko ile mawakili wa kujitegemea tunalipa. kwa hiyo ni kweli walienda DODOMA kupiga kura kama member wa TLS (wakati pia ni member wa public bar ya kwao, wapo kote), ila hawana leseni, hivyo hawawezi kutetea mtu mahakamani, wanatetea serikali tu ndio maana wanaitwa mawakili wa serikali.Mbona wakati wa kumchagua Mwabukusi Mawakili wote walipelekwa Dodoma kupiga kura za hapana? Ila wakapiga kura za ndiyo?
Jipange
kuna mtu alinambia alikuwa anaumwa, inawezekana ugonjwa ndio umemfanya asiendelee na kazi hiyo.KIla mara tunasema kuna tatizo ktk Mamlaka za uteuzi na bado linaendele kila uchwao!
Uwezo mdogo bana. Mbona kuumwa wanaumwa wengi na wanapona. Kuumwa siyo kufakuna mtu alinambia alikuwa anaumwa, inawezekana ugonjwa ndio umemfanya asiendelee na kazi hiyo.
Issue ni kwamba hakutimiza miaka 15 ya practice alipokuwa anateuliwa, ndiyo inamfanya asiwe qualified kwenye position ya Wakili wa Serikaliyaani hujaelewa hadi leo, tufanyeje uelewe? Mawakili wote wa serikali hawana leseni kufanya uwakili wakujitegemea, ndio maana ukiingiza majina yao hata leo mfumo utakuambia haruhusiwi, ni kwasababu hana leseni. Jaji Mkuu amenyang'anya leseni zao wote, ila akiacha uwakili wa serikali anapata. wao wakiwa mahakamani wanafanya uwakili kwa vazi la AG (Mwanasheria Mkuu), ndio maana despite miaka yao ya practice wanahesabika ni wakili namba moja kwenye seniority kwasababu AG ndiye wakili namba moja.
ungelikuwa mwanasheria ungeelewa, huyo anaumwa, ndio maana amekuwa replaced. ndicho usichoelewa. he's in bed right now for months. ndo maana tunasema watu waokoke, ndumba zipo huko maserikalini. vipapatio.Issue ni kwamba hakutimiza miaka 15 ya practice alipokuwa anateuliwa, ndiyo inamfanya asiwe qualified kwenye position ya Wakili wa Serikali
Na asipone maana alishiriki kukandamiza haki zanguungelikuwa mwanasheria ungeelewa, huyo anaumwa, ndio maana amekuwa replaced. ndicho usichoelewa. he's in bed right now for months. ndo maana tunasema watu waokoke, ndumba zipo huko maserikalini. vipapatio.
sasa huyo posi kaletwa hapo ndio hajawahi hata kupractice, alitoka kufundisha law school, prior to that alikuwa masters south. magufuli alipokuja kugundua kuwa wameweka mtu ambaye hana uzoefu na kesi wanashindwa ndio kamfurusha. ameletwa hapo kwasababu ya DP WORLD alihusika sana kwenye ile kamati, pamoja na AG aliyeteuliwa. wote waliokuwa kwenye timu za DP WORLD wamepewa vyeo, wote, hata wasio na uzoefu. Posi wamshauri, awali alikuwa anahamisha aliowakuta wote wenye uwezo kuliko yeye, bada ya yeye kuondoka wamerudishwa wote na ameenda sasaivi kuwakuta aliowanyanyasa, atafanya kazi kwa wakati mgumu sana, kwanza kwasababu wote anaowaongoza wamemzidi experience na practice.Uwezo mdogo bana. Mbona kuumwa wanaumwa wengi na wanapona. Kuumwa siyo kufa
Wangekuwa wamemzidi wangepewa wao hiyo post. Waambie watulize makalio Bosi Posi amekujasasa huyo posi kaletwa hapo ndio hajawahi hata kupractice, alitoka kufundisha law school, prior to that alikuwa masters south. magufuli alipokuja kugundua kuwa wameweka mtu ambaye hana uzoefu na kesi wanashindwa ndio kamfurusha. ameletwa hapo kwasababu ya DP WORLD alihusika sana kwenye ile kamati, pamoja na AG aliyeteuliwa. wote waliokuwa kwenye timu za DP WORLD wamepewa vyeo, wote, hata wasio na uzoefu. Posi wamshauri, awali alikuwa anahamisha aliowakuta wote wenye uwezo kuliko yeye, bada ya yeye kuondoka wamerudishwa wote na ameenda sasaivi kuwakuta aliowanyanyasa, atafanya kazi kwa wakati mgumu sana, kwanza kwasababu wote anaowaongoza wamemzidi experience na practice.
Nimesoma mtiririko wa hoja zako kuanzia mwanzo, ulipofika hapa nikajua kabisa wewe si mwanasheria, na kama u mwanasheria, basi ni kanjanja tu.kwahiyo hajawahi kuhurudhia hata kwenye tribunal tu, manake hapo wamesema kwa miaka hiyo awe aliappear kwenye mahakama, au tribunal. kabla ya 2013 hajawahi kuhudhuria hata tribunal tu? if that is the case, then there might be a problem. pamoja na kwamba, sioni faida kubwa kulishadadia hili, kila mtu anafika pale alipo kwa kudra za Mungu, awe amequalify au hajaqualify, ni vile Mungu angependa kumtumia mtu vile apendavyo na vile alivyo. kuna watu unaweza kuona hawafai kuwepo sehemu fulani lakini Mungu ndio amewafikisha pale, na ukijaribu kuwashambulia unakutana na yule aliyewaweka pale, ndiye utakayepambana naye. siri hii ni kubwa sana katika maisha.
pia, kipimo kile upimacho kwa wenzako, ndicho na wewe utakachopimiwa. vile unavyowafanyia wenzako, na wewe kwa namna moja ama nyingine kwenye maisha yako utafanyiwa tu. chochote unachokifanya ili kutia mchanga kitumbua cha wenzako, na wewe au watoto wako kwa namna moja ama nyingine utakuja kufanyiwa tu kwenye eneo ambao una udhaifu nalo au pengine hata huna udhaifu, ila unalipwa uliyowafanyia wengine. hii sheria katika maisha nimeithibitisha na kuiona kabisa. haimaanishi kwamba hata wewe unastahili kuwepo kwenye kila position katika maisha, iwe uhai, iwe cheo, iwe uwezo wa kutafuta pesa, iwe chochote kinachokufanya ulishe familia yako, vyote ulivyo navyo, ni kwa Neema tu ya Mungu. ukishambulia wengine, na wewe jiandae kushambuliwa kwenye kitumbua unacholishia watoto wako. ni ushauri tu.
Ali Possii ndio mwanasheria mkuu wa serikali kwa sasa.View attachment 2942815
Mtandao wa e-Wakili ukiingiza namba 4002 utakurudishia jina la Dr Boniface Luhende. Utakuambia pia kuwa haruhusiwi kusimama Mahakamani.
Hii ni aibu kwa Serikali ya Rais Samia na ni aibu pia kwa Mhimili wa Mahakama kuacha mtu asiye na sifa aingie Mahakamani na kujiita Wakili
No wonder nchi hii tunashindwa kesi zote tukiende kwenye Mahakama za Kimataifa kama ICSID.
Hata huyo wakili Madeleka shule yake ni ya kuungauunga tu sawa na Mwabukusi.Wangekuwa wamemzidi wangepewa wao hiyo post. Waambie watulize makalio Bosi Posi amekuja
Kuna kasumba zinawasumbua hao wanasheria wana ule mtazamo wa kizamani kwamba AG ni lazima aingiea mahakamani na atokane moja kwa moja na mifumo ya kimahakama.yaani hujaelewa hadi leo, tufanyeje uelewe? Mawakili wote wa serikali hawana leseni kufanya uwakili wakujitegemea, ndio maana ukiingiza majina yao hata leo mfumo utakuambia haruhusiwi, ni kwasababu hana leseni. Jaji Mkuu amenyang'anya leseni zao wote, ila akiacha uwakili wa serikali anapata. wao wakiwa mahakamani wanafanya uwakili kwa vazi la AG (Mwanasheria Mkuu), ndio maana despite miaka yao ya practice wanahesabika ni wakili namba moja kwenye seniority kwasababu AG ndiye wakili namba moja.
Wivu unawasumbua hawa mawakili wa kibongo.Wangekuwa wamemzidi wangepewa wao hiyo post. Waambie watulize makalio Bosi Posi amekuja
Halafu wakili mkuu ni nani?Ali Possii ndio mwanasheria mkuu wa serikali kwa sasa.