usijipe moyo, unaweza ukakimbia na kifua kikakubania huko huko ukaja kwenye machela kaka, haka ka ugonjwa hakana formulla - kakishakupenda wewe ni basi tena.Watanzania fanyeni mazoezi, mwili unatakiwa uchangamshe.
Jitahidini hata utembee km 2 kwa siku.
Huu ugonjwa hauna madhara kwa watu wanaoushughulisha mwili.
Mbona mama ntilie, machinga, wapiga debe, mafundi ujenzi, wanamichezo, dereva bajaji na bodaboda hawafi?
Sababu miili yao haikai kizembe kama hawa wanaokaa kwenye viyoyozi ofisini.
Note:
Tangu Corona ianze hakuna mwanamichezo duniani aliyefariki.
Wanaupata ila hauwadhuru
Sema cha muhimu sana ni kufata kanuni zote za kujikinga toka WHO na si hizi za kibongo.