Wakili msomi Kaneirugaba Msemakweli aliishia wapi na kesi ya wenye PhD feki?

Wakili msomi Kaneirugaba Msemakweli aliishia wapi na kesi ya wenye PhD feki?

Katika watu walionisikitisha ni Ben Watch8,Yaani mtu anarestishwa in PC kwasababu ya kuhoji Phd feki ya mtu fulani Khadija Mwenda? Mbona na yeye anatukana watu hadharani na kuwaita vilaza?
Anasema yeye ni kipanga, hivi form six alipata ngapi yeye hadi akaenda kusoma "Dipoloma" ya ualimu?!
 
Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.

Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!

Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Msemakweli yupo sana namuona kwenye mitandao ya kijamii....Facebook na Instagram.
 
Wao hujiita hivyo, sisi tutawaitaje?!

Jina lako ni lile ulilituambia, otherwise tusingejua tukuiteje.
Leo nijiite samaki anayejua kuogelea utanielewaje? Kwamba kuna samaki asiejua kuogelea sivyo? Hutohoji kama mtu mwenye akili timamu?
 
Leo nijiite samaki anayejua kuogelea utanielewaje? Kwamba kuna samaki asiejua kuogelea sivyo? Hutohoji kama mtu mwenye akili timamu?
Ukijiita "Samaki anayejua kuogelea" tutakuita hivyo hivyo, jina huwa halihojiwi.

Kuna mtu anaitwa Komba, na yupo Ndizi, kuna Ng'ombe, na hata Nguruwe.

Unahoji nini, uhalali wa jina au maana ya jina?!

Kwanini uhoji kama ndilo jina lake, na mwenye jina kakwambia anaitwa hivyo?!

Sioni logic ya kuhoji jina la mtu. Unaweza kuuliza nini maana yake lakini sio kwanini anaitwa hivyo.
 
Ukijiita "Samaki anayejua kuogelea" tutakuita hivyo hivyo, jina huwa halihojiwi.

Kuna mtu anaitwa Komba, na yupo Ndizi, Luna Ng'ombe, na hata Nguruwe.

Unahoji nini, uhalali wa jina au maana ya jina?! Kwanini uhoji kama ndilo jina kakwambia anaitwa hivyo?!

Sioni logic ya kuhoji jina la mtu. Unaweza kuuliza nini maana yake lakini sio kwanini anaitwa hivyo.
Tofautisha jina na title.
 
Kesi iliendelea na wahusika walioshtaki hawakutokea mahakamani. Na alishinda na baadae aliwadai fidia na mmojawapo alilia amsamehe kwani hana pesa
Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.

Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!

Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
 
Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.

Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!

Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Yupo wiki iliyopita nlikuwa naye
Naona sahv katulia

Ova
 
Kesi iliendelea na wahusika walioshtaki hawakutokea mahakamani. Na alishinda na baadae aliwadai fidia na mmojawapo alilia amsamehe kwani hana pesa
Nani aliye lia ni Dr.Makongoro Mahanga?! Nakumbuka naye alishitaki
 
Back
Top Bottom