Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli Ben aliliwa na chatu?R.I.P Ben Sa8.Ile PhD iliyotoa uhai wa Ben Watch8 ni ya nani?
Hapo kwa manyanya unapuyanga hatua ngapi?!Pana udogo gani?
Regardless, huwezi kujiita 'kipofu asiyeona', as if kuna kipofu anae ona.Wao hujiita hivyo, nadhani ni wale walio fanikiwa kwenda na kumaliza "law school" baada ya LLB.
Nlimulizaga Vp kwann usingilie vita ya PhD na yule mwenye cheti akaniambia ohhhh hko ngoma ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora atulie vita ya PhD asingeiweza wakati wanufaika wako kwenye power.
Tuletee ya Jiwe na BashiteYeye hana shida alichoandika aliandika na ni ukweli. Waliolalamika kudhalilishwa aliwaambia waende mahakamani.
Wachache walioenda mahakamani hata kesi hawakuziendeleza. Kainerugaba yupo anaandikia gazeti fulani la Kiingereza hapa nchini.
Ni kweli enzi zile elimu fake ilitamalaki sana. Kuanzia bachelors, masters mpaka doctorates fake. Asante JPM hio haitatokea kwa sasa!
Sikuwahi kukisoma ila nakumbuka alikipromote akatishwa kupelekwa mahakamani na alipelekwa, lakini ghafla akapotea.
Hata sielewi unamaanisha nini, lakini hata kukiona pia sijawahi kukiuona ila nakumbuka alitoa kitabu kuhusiana na wenye PhD feki.Wale wauzaji km walikidurufu hivi, maana hata kava zake zilikuwa kava laini za karatasi.
Watammaliza,Nlimulizaga Vp kwann usingilie vita ya PhD na yule mwenye cheti akaniambia ohhhh hko ngoma ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema jamaa mjanja fulani
Ila Sasa kasanda
Ova
Naamini hayo ni maoni yako, KWANI KUNA KOSA GANI AKIJIITA HIVYO?! Ninavyofahamu mimi unaweza kujiita vyovyote unavyoona muhusika. Wao wameamua kujiita Mawakili Wasomi, sifahamu ni kwanini, na sifahamu kama kuna mawakili wasiosoma hilo ni lao, mimi nitawaita wanavyotaka tuwaite.Regardless, huwezi kujiita 'kipofu asiyeona', as if kuna kipofu anae ona.
Ile Sakata la manji na Mr many jamaa alivuta Hela..... Nliambulia Hela za bia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watammaliza,
Hata sielewi unamaanisha nini, lakini hata kukiona pia sijawahi kukiuona ila nakumbuka alitoa kitabu kuhusiana na wenye PhD feki.
Ahaa okay hapo nimekupata. Awaagize wakichapishe tena kinaweza kuuzaWale wauzaji walitoa kopi ndiyo tuliuziwa na kiliisha fasta.
Huyo mjanja, asirudi huko watammaliza awamu hii.Ile Sakata la manji na Mr many jamaa alivuta Hela..... Nliambulia Hela za bia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Issue ya makongoro mahanga ilibdi mbw amtulize msema kwl mezani..... Afany amsameh deni
Sema kwa watu wa awamu alishasoma nyakati
Ova
Ahaa okay hapo nimekupata. Awaagize wakichapishe tena kinaweza kuuza
Ya Kikwete ni ya kuzawadiwa. Nakubaliana na wewe madaktari wapo mahospitalini hawa wengine wanazawadiwa.Dr wakweli Tanzania hapa ni wale wa muhimbili ama wanaoendelea kuaomea taaluma hizo..Labda na yakikwete
Bado yupo kama mwenyekiti wa jukwaa la katiba ila inaonekana naye alilishwa mrungula kama Renatus Mkinga.Wanaharakati huwa hawafanikiwi Tanzania, na kumbuka Deus Kibamba naye alipotea na harakati zake za katiba mpya
Sana, maana hiki Kiswahili unaweza ukadhani neon Fulani linamaanisha kitu Fulani kumbe sivyo hivyo, nikawa muwazi sikuelewa.Teh teh kudurufu ndiyo neno lililokupa shida eeennhh.
Wao pesa wanazitoa wapi na hivyo vitaasisi vimenywima pesa za serikali. Zamani walikuwa wanapata chini ya mwavuli wa civil society sijui kama bado wanavuta.Bado yupo kama mwenyekiti wa jukwaa la katiba ila inaonekana naye alilishwa mrungula kama Renatus Mkinga.