Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,728
Kwamba wasomi nchi hii ni mawakili tu au ni Sheria kwamba kabla hujataja jina la wakili lazima utaje na neno "wakili msomi" ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nime wa Quote wenyewe, ndiwo hujiita hivyo. Sioni tatizo kuwaita hivyo kama wao wamejiita hivyo.Kwamba wasomi nchi hii ni mawakili tu au ni Sheria kwamba kabla hujataja jina la wakili lazima utaje na neno "wakili msomi" ?
Lakini je ni sawa kwa mtu mwenye kabachelor kake ka Law kisha akapitia Law School kujiita eti wakili msomi ? Wakili asiye msomi anakuwaje ?Mimi nime wa Quote wenyewe, ndiwo hujiita hivyo. Sioni tatizo kuwaita hivyo kama wao wamejiita hivyo.
Waliisha ulizwa humu, ila sijui walijibu nini. Mimi siyo wakili hivyo siwezi kuwa zungumzia mawakili wasomi.Lakini je ni sawa kwa mtu mwenye kabachelor kake ka Law kisha akapitia Law School kujiita eti wakili msomi ? Wakili asiye msomi anakuwaje ?
Awamu hii wengi wamesanda....wamerudisha mpira kwa kipa.Wao pesa wanazitoa wapi na hivyo vitaasisi vimenywima pesa za serikali. Zamani walikuwa wanapata chini ya mwavuli wa civil society sijui kama bado wanavuta.
Kwani Urais ulihitaji PhD?! Mbona waliopita hawakuwa nazo?
Huelewi msingi wa hoja yangu, kujiita wakili msomi ni tusi kwa wengine, niulize kwanini...Naamini hayo ni maoni yako, KWANI KUNA KOSA GANI AKIJIITA HIVYO?! Ninavyofahamu mimi unaweza kujiita vyovyote unavyoona muhusika. Wao wameamua kujiita Mawakili Wasomi, sifahamu ni kwanini, na sifahamu kama kuna mawakili wasiosoma hilo ni lao, mimi nitawaita wanavyotaka tuwaite.
Kuna Madaktari wa Tabibu hupenda kuitwa Doctor... au lakini wapo wasiotaka kuitwa Doctor..., jamii imezoea kuwatambua hivyo, lakini hakuna ulazima, unaweza kumuita jina lake moja kwa moja na ukawa hujakosea au kutemtendea kosa muhusika.
Nadhani kuna preference na opinion za watu, lakini sioni kosa either or.
Eleza tuHuelewi msingi wa hoja yangu, kujiita wakili msomi ni tusi kwa wengine, niulize kwanini...
Asante kwa taarifaWe Nyerere alikuwa nayo sema alipendelea kuitwa mwalimu
Kusanda ndio kufanya nini?! Kiswahili ni lugha ya taifa lakini uelewa wa hii misamiati nadhani tunatofautiana, nieleweshe twende pamojaAwamu hii wengi wamesanda....wamerudisha mpira kwa kipa.
Kusanda ni Kurudisha mpira kwa kipa.Kusanda ndio kufanya nini?! Kiswahili ni lugha ya taifa lakini uelewa wa hii misamiati nadhani tunatofautiana, nieleweshe twende pamoja
Its simple, maana yake wengine sio wasomi, otherwise ingetosha tu ujiite wakili, maana mawakili wote wamesoma.Eleza tu
Ndomana nimetolea yamfano kikwete zakupewa hizi ndozuri hazina longolongo ,hizo wanazojifanya wamesoma kumbe wamehongaYa Kikwete ni ya kuzawadiwa. Nakubaliana na wewe madaktari wapo mahospitalini hawa wengine wanazawadiwa.
Alim fastrate sana makongoro mahanga ha ha ha ha ha haSikuwahi kukisoma ila nakumbuka alikipromote akatishwa kupelekwa mahakamani na alipelekwa, lakini ghafla akapotea.
Kuna mtu kasema ilibidi Makongoro amuombe msamaha nje ya MahakamaAlim fastrate sana makongoro mahanga ha ha ha ha ha ha
So why do they call themselves " Wakili Msomi..." at first I thought was all who passed the bar exam and becomes attorneys but, some gave excerpt here it is because of the law school thing, which is a new thing to that profession, I could be wrong but, that is what I understood.Its simple, maana yake wengine sio wasomi, otherwise ingetosha tu ujiite wakili, maana mawakili wote wamesoma.
Duh unaona sasa lugha inavyokuwa, hili nisingelielewa kama nisingeuliza.Kusanda ni Kurudisha mpira kwa kipa.
wana low self esteem mkuu ni profession flani iliyosahaulika si unaona hali za mahakama zilvyo nchini masjala nzuri hakuna majengo chakavu. kuna kipindi jk alitaka kuvunja ile mahakama ya rufaa aweke hotel pale ha ha ha ha haSo why do they call themselves " Wakilu Msomi..." at first I thought was all who passed the bar exam and becomes attorneys but, some have excerpt here it is because of the law school thing, which is a new thing to that profession, I could be wrong but, that is what I understood.
I would careless how they call or introduce themselves, or their colleague wakili msomi or sio wakili msomi, to me this has nothing of value or importance my friend.
Waite mawakili wasim wajidai.
Mbona engineers nao hujiita?! Tumeona kuna wengine hujiita prof, Dr, eng...Tatizo nini, waache waite kama inawapa self gratification.
Hahaha ndio maana nikamwambia jamaa awaite wanavyopenda kujiita au kuitwa, haita mpunguzia chochote na haitawaongezea chochote, lakini inaonekana jamaa hataki hilo jina, sifahamu kwanini.wana low self esteem mkuu ni profession flani iliyosahaulika si unaona hali za mahakama zilvyo nchini masjala nzuri hakuna majengo chakavu. kuna kipindi jk alitaka kuvunja ile mahakama ya rufaa aweke hotel pale ha ha ha ha ha
Self gratiffication at the expense of colleagues' self esteem? NO!So why do they call themselves " Wakili Msomi..." at first I thought was all who passed the bar exam and becomes attorneys but, some gave excerpt here it is because of the law school thing, which is a new thing to that profession, I could be wrong but, that is what I understood.
I would careless how they call or introduce themselves, or their colleague wakili msomi or sio wakili msomi, to me this has nothing of value or importance my friend.
Waite mawakili wasomi wajidai.
Mbona engineers nao hujiita?!
Tumeona kuna wengine hujiita prof, Dr, eng...Tatizo nini, waache wajiite kama inawapa self gratification.