Anasema yeye ni kipanga, hivi form six alipata ngapi yeye hadi akaenda kusoma "Dipoloma" ya ualimu?!Katika watu walionisikitisha ni Ben Watch8,Yaani mtu anarestishwa in PC kwasababu ya kuhoji Phd feki ya mtu fulani Khadija Mwenda? Mbona na yeye anatukana watu hadharani na kuwaita vilaza?
Msemakweli yupo sana namuona kwenye mitandao ya kijamii....Facebook na Instagram.Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.
Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!
Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Wao hujiita hivyo, sisi tutawaitaje?!Msomi? Wakili asiye msomi huwa anapatikana wapi?
Huko anafanya nini?!Msemakweli yupo sana namuona kwenye mitandao ya kijamii....Facebook na Instagram.
Leo nijiite samaki anayejua kuogelea utanielewaje? Kwamba kuna samaki asiejua kuogelea sivyo? Hutohoji kama mtu mwenye akili timamu?Wao hujiita hivyo, sisi tutawaitaje?!
Jina lako ni lile ulilituambia, otherwise tusingejua tukuiteje.
Ukijiita "Samaki anayejua kuogelea" tutakuita hivyo hivyo, jina huwa halihojiwi.Leo nijiite samaki anayejua kuogelea utanielewaje? Kwamba kuna samaki asiejua kuogelea sivyo? Hutohoji kama mtu mwenye akili timamu?
Tofautisha jina na title.Ukijiita "Samaki anayejua kuogelea" tutakuita hivyo hivyo, jina huwa halihojiwi.
Kuna mtu anaitwa Komba, na yupo Ndizi, Luna Ng'ombe, na hata Nguruwe.
Unahoji nini, uhalali wa jina au maana ya jina?! Kwanini uhoji kama ndilo jina kakwambia anaitwa hivyo?!
Sioni logic ya kuhoji jina la mtu. Unaweza kuuliza nini maana yake lakini sio kwanini anaitwa hivyo.
Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.
Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!
Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Mwanaharakati.Huko anafanya nini?!
Yupo wiki iliyopita nlikuwa nayeHuyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao.
Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?!
Alikomaa, na Dr.Mary Nagu, na Dr.Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, au Naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Yupo mitaa ya kinondoni kwa manyanya anapuyanga tu!Sikuwahi kukisoma ila nakumbuka alikipromote akatishwa kupelekwa mahakamani na alipelekwa, lakini ghafla akapotea.
Yupo na kampuni yake ya matangazo ya mabango!Alitulizwa yule,njaa haina adabu.
Stori ndefu kun mambo mengiAlitulizwa yule,njaa haina adabu.
Nani aliye lia ni Dr.Makongoro Mahanga?! Nakumbuka naye alishitakiKesi iliendelea na wahusika walioshtaki hawakutokea mahakamani. Na alishinda na baadae aliwadai fidia na mmojawapo alilia amsamehe kwani hana pesa
Wanaharakati huwa hawafanikiwi Tanzania, na kumbuka Deus Kibamba naye alipotea na harakati zake za katiba mpyaMwanaharakati.
Huyu uliyemtaja ana PhD fake. Bado wapo wengi tu huko serikalini. Umemsahau mtoto mpendwa wa huyu huyu jiwe?? .....Bashite...Asante JPM hio haitatokea kwa sasa!
Bora atulie vita ya PhD asingeiweza wakati wanufaika wako kwenye power.Yupo wiki iliyopita nlikuwa naye
Naona sahv katulia
Ova
Hahaha mbona hapo kwa manyanya padogo sana kupuyanga.Yupo mitaa ya kinondoni kwa manyanya anapuyanga tu!
Wao hujiita hivyo, nadhani ni wale walio fanikiwa kwenda na kumaliza "law school" baada ya LLB.Tofautisha jina na title.
Pana udogo gani?Hahaha mbona hapo kwa manyanya padogo sana kupuyanga.