Wakili msomi Kaneirugaba Msemakweli aliishia wapi na kesi ya wenye PhD feki?

Self gratiffication at the expense of colleagues' self esteem? NO!
Why do you care so much about them being called wakili msomi, as I said earlier I would careless how they like to be addressed.
Waite wanavyopenda nao wajidai.
 
Huyu mtu alikuwa na list ndefu sana ya watu aliowataka kuthibitisha PhD zao. Ile kesi iliyeyuka au aliambiwa aiondoe?

Alikomaa na Dr. Mary Nagu, Dr. Nchimbi na wengine wengi, alikuwa na kitabu kabisa, Au naye alipigwa pini akasimamishwa kuwa wakili?
Ya rais nayo ilikuwemo?
 
Lakini je ni sawa kwa mtu mwenye kabachelor kake ka Law kisha akapitia Law School kujiita eti wakili msomi ? Wakili asiye msomi anakuwaje ?

"Bush lawyer" ataitwaje kwa kiswahili?
 
wana low self esteem mkuu ni profession flani iliyosahaulika si unaona hali za mahakama zilvyo nchini masjala nzuri hakuna majengo chakavu. kuna kipindi jk alitaka kuvunja ile mahakama ya rufaa aweke hotel pale ha ha ha ha ha

Chanzo cha hili neno si Tanzania
 
Anasema yeye ni kipanga, hivi form six alipata ngapi yeye hadi akaenda kusoma "Dipoloma" ya ualimu?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenzie ni vilaza, na mara nyingi vilaza ni rahisi kuwatambua vilaza wenzao
 
Nasikia naye uliyempa AHSANTE ni miongoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…