Wakili Msomi, Naibu Spika, Mhadhiri Mwandamizi na Daktari wa Falsafa wa Sheria, Tulia Ackson awa tishio kwa Spika Job Ndugai

Wakili Msomi, Naibu Spika, Mhadhiri Mwandamizi na Daktari wa Falsafa wa Sheria, Tulia Ackson awa tishio kwa Spika Job Ndugai

Mkuu wewe Achana nae hajui asemalo. Anachanganya mambo. Kuna Spika na Naibu Spika.
Nadhani amepatia. Ambaye ni lazima awe mbunge ni naibu spika
Screenshot_20210902-093030_1.jpg
 
No usikute hii ni vita ya urais 2025. Tulia anaanza kuchapwa mapema ili aondolewe kwenye reli. Kama ana akili akae kimya. Na kama ana mpango 2025 aache, umri wake bado!
 
Bilitamani sana Tulia awe spika huenda tusingesikia utopolo huu ndugai kila kukicha.
 
Katika kuunda Timu yake ya kuhakikisha anazidi kubaki madarakani - Mh. Spika, Ndugu Job Ndugai amegundua tishio au threat (kwa kimombo) kubwa kwake ni Naibu wake.

Huyu bwana mambo mengi amekuwa akiyafanya kwa kutumia vitisho vitisho tu akiachana kabisa na ule utaratibu wa kidemokrasia wa Mtangulizi wake Marehemu, Msomi Wakili, Samweli Sitta.

Huyu anataka kuwaonesha watu kuwa wanasheria si lolote na si chochote. Kwa kuweka msisitizo huo ameanza kuwashambulia eti watu wanaotambulishwa kwa majina ya fani zao waache mara moja.

Hii ina maana hataki Naibu wake atangulize utambulisho wa fani au umahiri wake kwa sababu wakigombea pamoja USpika ni lazima hizo sifa za fani na umahiri zitampunguzia credit.

Waliokuwa karibu na Naibu Spika jana baada ya maneno ya Bosi wake wanadai alishangaa sana na lugha ya machoni alionekana kutoafiki aliyokuwa akiyaongea Bosi wake.

Siku hizi za karibuni Job Ndugai amekuwa akitumia sana ubabe kuongoza bungeni na kutamani kuongoza hata mihimili mingine ili aonekana ana nguvu kubwa ya kimaamuzi hapa nchini kwani baada ya kujihisi hataweza kugombea URais 2025 amepania agombee tena huo USpika.

Wabunge wengi wanamchora tu na kujifanya wanamuunga mkono lakini 2025 ni lazima aliwe kichwa na asipokuwa makini akajaribu kugombea basi changamoto ya kisaikolojia itamkumba na kumsababishia shinikizo la damu na kitachofuata mimi sijui.

Ninamshauri amwandae Naibu wake kushika 2025, hiyo ndiyo salama yake.
umetumwa leo
 
Katika kuunda Timu yake ya kuhakikisha anazidi kubaki madarakani - Mh. Spika, Ndugu Job Ndugai amegundua tishio au threat (kwa kimombo) kubwa kwake ni Naibu wake.

Huyu bwana mambo mengi amekuwa akiyafanya kwa kutumia vitisho vitisho tu akiachana kabisa na ule utaratibu wa kidemokrasia wa Mtangulizi wake Marehemu, Msomi Wakili, Samweli Sitta.

Huyu anataka kuwaonesha watu kuwa wanasheria si lolote na si chochote. Kwa kuweka msisitizo huo ameanza kuwashambulia eti watu wanaotambulishwa kwa majina ya fani zao waache mara moja.

Hii ina maana hataki Naibu wake atangulize utambulisho wa fani au umahiri wake kwa sababu wakigombea pamoja USpika ni lazima hizo sifa za fani na umahiri zitampunguzia credit.

Waliokuwa karibu na Naibu Spika jana baada ya maneno ya Bosi wake wanadai alishangaa sana na lugha ya machoni alionekana kutoafiki aliyokuwa akiyaongea Bosi wake.

Siku hizi za karibuni Job Ndugai amekuwa akitumia sana ubabe kuongoza bungeni na kutamani kuongoza hata mihimili mingine ili aonekana ana nguvu kubwa ya kimaamuzi hapa nchini kwani baada ya kujihisi hataweza kugombea URais 2025 amepania agombee tena huo USpika.

Wabunge wengi wanamchora tu na kujifanya wanamuunga mkono lakini 2025 ni lazima aliwe kichwa na asipokuwa makini akajaribu kugombea basi changamoto ya kisaikolojia itamkumba na kumsababishia shinikizo la damu na kitachofuata mimi sijui.

Ninamshauri amwandae Naibu wake kushika 2025, hiyo ndiyo salama yake.
Nawe una matatizo! Bungeni wote ni wabunge. Mambo ya Dr, Profesa, wakili, mkulima, mhasibu, injinia, nk. yana thamani gani Bungeni? Hii ndo inawapa kazi ngumu kutuonesha hayo majina.
UN hutasikia vyeo kama hivyo, isipokuwa kwa watu wawili tu! General wa jeshi na daktari wa binadamu. hii ilikubalika kwa sababu fulani ambazo nakupa homework kuzitafuta.
 
..Dr.Tulia anajiandaa kugombea Uraisi.

..mashindano ya ngoma, riadha, na misaada inayotolewa na taasisi yake, lengo ni kugombea Uraisi.

..Na Dr.Tulia alikuwa ni chaguo la mwendazake kati ya wanasiasa ambao angependa wamrithi.
 
Nawe una matatizo! Bungeni wote ni wabunge. Mambo ya Dr, Profesa, wakili, mkulima, mhasibu, injinia, nk. yana thamani gani Bungeni? Hii ndo inawapa kazi ngumu kutuonesha hayo majina.
UN hutasikia vyeo kama hivyo, isipokuwa kwa watu wawili tu! General wa jeshi na daktari wa binadamu. hii ilikubalika kwa sababu fulani ambazo nakupa homework kuzitafuta.
Wiv tu kwa sababu waandishi wa habari hamana sifa za title hizo! Ungekuwa lawyer ungejimbafai tu na wewe!
 
Back
Top Bottom