Wakili Msomi Peter Kibatala amhakikishia kumpigania Mwanachadema aliyekamatwa Kisutu, aahidi kumtoa selo

Wakili Msomi Peter Kibatala amhakikishia kumpigania Mwanachadema aliyekamatwa Kisutu, aahidi kumtoa selo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.

Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu.

 
shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
 
Ni kweli mabango hayakuwa na matusi lakini je mliandika kitu gani.? Chadema jikiteni katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida ya katiba mpya.

Mimi nitakuwa tayari kuandamana ikiwa nitaona hiki kichwa cha habari kinasema 'WANANCHI WA TZ WAMEANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' ila nikiendelea kuona kichwa cha habari kinasema 'WANA CHADEMA WAANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' basi kamwe sitokuwa pamoja nanyi, bila kusahau nataka niwaone hao viongozi wanaohitaji katiba mpya wakiwa mstari wa mbele katika maandamano.
 
Ni kweli mabango hayakuwa na matusi lakini je mliandika kitu gani.? Chadema jikiteni katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida ya katiba mpya.

Mimi nitakuwa tayari kuandamana ikiwa nitaona hiki kichwa cha habari 'wananchi wa Tz wameandamana kudai katiba mpya' ila nikiendelea kuona kichwa cha habari kinasema 'wana chadema waandamana kudai katiba mpya' basi kamwe sitokuwa pamoja nanyi, bila kusahau nataka niwaone hao viongozi wanaohitaji wakiwa mstari wa mbele katika maandamano.
Brazil linapofika swala la kitaifa ni marufuku kwenye maandamano kupeperusha bendera ya chama. Mnaweka vyama pembeni na kubeba bendera ya Taifa. Siasa hizi za kistaarabu bado hazijaanza kufanya kazi Tanzania.
Iko siku tutafika
Nalog off
 
shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
Hujui kitu , nyamaza
 
Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania , kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa , Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.

Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu

View attachment 1881136
CCM imekosa watu wenye upendo wa dhati namna hii. Laiti CCM ingekuwa na watu wenye upendo kidogo tu, nchi ingekuwa mbali Sana hii.
Hebu angalia, CCM inamtia hatiani mtu kwa kubeba bango.
Chama Cha Mazezeta ni CCM.
 
Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania , kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa , Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.

Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu

View attachment 1881136
Policeccm ni kikundi cha unyago cha chama tawala ambacho,mwenyekiti wao hana uwezo hata wa kua katibu kata,hiyo nafasi ni bahati mbaya imemeangukia
 
Ni kweli mabango hayakuwa na matusi lakini je mliandika kitu gani.? Chadema jikiteni katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida ya katiba mpya.

Mimi nitakuwa tayari kuandamana ikiwa nitaona hiki kichwa cha habari kinasema 'WANANCHI WA TZ WAMEANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' ila nikiendelea kuona kichwa cha habari kinasema 'WANA CHADEMA WAANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' basi kamwe sitokuwa pamoja nanyi, bila kusahau nataka niwaone hao viongozi wanaohitaji katiba mpya wakiwa mstari wa mbele katika maandamano.
Out of topic issue ni freembowe katiba kaandamane wewe na mama yako
 
shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
Ujinga wako ni mzigo wa taifa
 
Back
Top Bottom