Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
CCM bwana. Hapo hapo mnawataka Chadema warekebishe Katiba yao kabla ya kudai Katiba mpya.Ni kweli mkuu, inafika wakati unajiuliza hii katiba mpya ni ya chadema au nchi.!
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM bwana. Hapo hapo mnawataka Chadema warekebishe Katiba yao kabla ya kudai Katiba mpya.Ni kweli mkuu, inafika wakati unajiuliza hii katiba mpya ni ya chadema au nchi.!
Sheria ipi inakataza kudai Katiba mpya? Sheria ipi inakataza kubeba bango? Na nani ameibiwa katika madai yao ya Katiba ukiondoa wao kuibiwa uhuru wao?Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
nenda katafute maisha yako acha kuchezea maisha yako kwa kuandamana na kushikilia mabango, huwezi kukuta familia ya Mbowe wala ya Mnyika, wala ya John Mrema wakiandamana, nenda katafuta riziki yako achana na huu utopoloSheria ipi inakataza kudai Katiba mpya? Sheria ipi inakataza kubeba bango? Na nani ameibiwa katika madai yao ya Katiba ukiondoa wao kuibiwa uhuru wao?
Amandla....
usilinganishe latin amerika na hapa ulimpeleka masaburi kama siro wanamla kichwa saa nusuBrazil linapofika swala la kitaifa ni marufuku kwenye maandamano kupeperusha bendera ya chama. Mnaweka vyama pembeni na kubeba bendera ya Taifa. Siasa hizi za kistaarabu bado hazijaanza kufanya kazi Tanzania.
Iko siku tutafika
Nalog off
Maisha yapi tena? Ya watoto wangu kukaa chini baada ya miaka sitini ya uhuru? Kujisaidia kwenye matundu? Kubeba ndoo za kukalia wakienda shule? Nataka wawe kama wa Mbowe na wa Mnyika ndio maana naandamana. Hao unaowataja wameshitakiwa, wamekaa ndani ( kwa lugha yenu wamenyea debe) kwa ajili ya haki yangu ya kudai watoto wangu wawe na maisha bora. Sihitaji kuona familia yao ikiandamana kama vile sikudai kumwona Maria akiandamana na Nyerere wakati wanadai uhuru wetu.nenda katafute maisha yako acha kuchezea maisha yako kwa kuandamana na kushikilia mabango, huwezi kukuta familia ya Mbowe wala ya Mnyika, wala ya John Mrema wakiandamana, nenda katafuta riziki yako achana na huu utopolo
Hamna kitu kama hicho Brazil. Muongo tu.usilinganishe latin amerika na hapa ulimpeleka masaburi kama siro wanamla kichwa saa nusu
uli za kipuuzi hizi za kuingilia uhuru wa watu wengine.nenda katafute maisha yako acha kuchezea maisha yako kwa kuandamana na kushikilia mabango, huwezi kukuta familia ya Mbowe wala ya Mnyika, wala ya John Mrema wakiandamana, nenda katafuta riziki yako achana na huu utopolo
Kwa matusi haya kwa polisi ndio maana siku hizi hawatumii tena risasi za plastic wala mabomunya machozi. Ni LIVE HOT BULLETS Motooo, chaggadomo wanatapika mbege🤣Polisi hasa hawa wanaoenda field wengi ni empty set aka zero brain ,wanaendeshwa kwa mizuka ya kutojielewa,hawajui sheria kabisa ,sasa mtu kwenda mahakamani kufatilia mwendo wa kesi ni kosa? Hawajui kesi ya mbowe ina public interest?
Kibatala si shahidi wala Jaji, hana madaraka ya kutoa huo uhakikishio anaodaiwa kuutoa. Mtuhumiwa kama mtuhumiwa mwingine anahitaji huruma na mapenzi, ni muhimu kumliwaza. Lakini sheria ni sheria, ndiyo maana hujamsikia Kibatala akimwambua njoo twenzetu.Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.
Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu.
View attachment 1881136
Acha upuuzi wewe, mwanaume gani unaogopa hata kwenda kituo cha polisi?shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
Hueleweki na wala hujaelewaKibatala si shahidi wala Jaji, hana madaraka ya kutoa huo uhakikishio anaodaiwa kuutoa. Mtuhumiwa kama mtuhumiwa mwingine anahitaji huruma na mapenzi, ni muhimu kumliwaza. Lakini sheria ni sheria, ndiyo maana hujamsikia Kibatala akimwambua njoo twenzetu.
Wanajielewa sana wale Jamaausilinganishe latin amerika na hapa ulimpeleka masaburi kama siro wanamla kichwa saa nusu
Brazil yoyote unayoijua wewe ukiiacha hiyo ya buguruniBrazil ya wapi hiyo? Buguruni?
Amandla.
Brazil yoyote unayoijua wewe ukiiacha hiyo ya buguruni
Nalog off
Napingana na wewe ila unao uhuru wa kutoa maoni yakoMmezoea kusema uongo. Bora u log off.
Amandla...
Binadamu awaye yote kushangalia upuuzaji wa sheria za nchi ni dhahiri kuwa ana mapungufu makubwa ya kiakili au kimaumbile.shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
Chadema ili ikuwe lazima mzee wa bapa a stape downPolisi ni Amri ya mkubwa.
Ukimshitaki Polisi mkubwa anamtoea anaendelea kutoa amri kwa wengine