Huna hoja mpaka unaleta kisirani chako kwangu, kukusaidia tuu ni kwamba wanasema watu waandamane ni viongozi wako wa chadema πππ Bila shaka ulimaanisha viongozi wako wa chadema wakaandamane na mama zao.Out of topic issue ni freembowe katiba kaandamane wewe na mama yako
Ni kweli mkuu, inafika wakati unajiuliza hii katiba mpya ni ya chadema au nchi.!Brazil linapofika swala la kitaifa ni marufuku kwenye maandamano kupeperusha bendera ya chama. Mnaweka vyama pembeni na kubeba bendera ya Taifa. Siasa hizi za kistaarabu bado hazijaanza kufanya kazi Tanzania.
Iko siku tutafika
Nalog off
Ujinga tupuKibatala ni sawa na wanaccm wote nchi nzima,yani wote kawazidi akili,elimu,maarifa
We mama mbona hukwenda kuonyesha bango? Umebaki JF ukibonyeza keyboard tu?Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.
Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu
View attachment 1881136
jamaa mropokaji mahakamani utafikiri sio mwanasheria, na shreia hajui. ila chadema huwa wanamuona msomi balaa. the only msomi ninayemheshimu kwenye tasnia hiyo ni Tundu Lisu, ila huyo dogo chadema mmepotea sana, labda kama ni kisiasa. anawaaminisha watu watatoka, mbona huwa wanafungwa mikononi mwake?Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.
Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu
View attachment 1881136
Na ndio maana wanakufa midomo waziKwa nini watawala wa kiafrika wanapuuza sana sheria,kwani sheria zipo hapo ili iweje sasa ama zimetungwa kwaajili ya akina mbwa
I can not expose myselfWe mama mbona hukwenda kuonyesha bango? Umebaki JF ukibonyeza keyboard tu?
Ni kweli mkuu, inafika wakati unajiuliza hii katiba mpya ni ya chadema au nchi.!
Dah umeniwahi mimi ilitaka kuuliza tofauti yake nini kati hawa watuKuna wakili na wakili msomi
Kibatala ni wakili msomi
Lesson No.2.Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.
Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu.
View attachment 1881136
Tanzania sifa kuu ya kuwa polisi ni kwamba uwe School Dropout...!!!Polisi hasa hawa wanaoenda field wengi ni empty set aka zero brain ,wanaendeshwa kwa mizuka ya kutojielewa,hawajui sheria kabisa ,sasa mtu kwenda mahakamani kufatilia mwendo wa kesi ni kosa? Hawajui kesi ya mbowe ina public interest?
Hakika !Lesson No.2.
Kwa siku hii hii ya leo. pekee!
Mwishowe elimu itaenea kila sehemu.
Hv ww umeshawahi kuandamana umeshawahi hata kufika Kisutu!!??Hujui kitu , nyamaza
Wakili gani msomi kila kesi anshindwa ?Kuna wakili na wakili msomi
Kibatala ni wakili msomi
Utajuaje waandishi wa habari wataandika nini kuhusu maandamano yanayoendelea? Bora usiandamane. You won't be missed.Ni kweli mabango hayakuwa na matusi lakini je mliandika kitu gani.? Chadema jikiteni katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida ya katiba mpya.
Mimi nitakuwa tayari kuandamana ikiwa nitaona hiki kichwa cha habari kinasema 'WANANCHI WA TZ WAMEANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' ila nikiendelea kuona kichwa cha habari kinasema 'WANA CHADEMA WAANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' basi kamwe sitokuwa pamoja nanyi, bila kusahau nataka niwaone hao viongozi wanaohitaji katiba mpya wakiwa mstari wa mbele katika maandamano.
Brazil ya wapi hiyo? Buguruni?Brazil linapofika swala la kitaifa ni marufuku kwenye maandamano kupeperusha bendera ya chama. Mnaweka vyama pembeni na kubeba bendera ya Taifa. Siasa hizi za kistaarabu bado hazijaanza kufanya kazi Tanzania.
Iko siku tutafika
Nalog off