King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwa matusi haya kwa polisi ndio maana siku hizi hawatumii tena risasi za plastic wala mabomunya machozi. Ni LIVE HOT BULLETS Motooo, chaggadomo wanatapika mbegeš¤£
Sawa š¤£Hawapo juu ya sheria kwa kutumia risasi za moto ,yeyote atakayeua raia kwa risasi atashitakiwa.
Mandela angekuwa na mawazo Kama yako,Leo hii hakuna ambaye angemjua!shida mnajifichaga nyiuma ya keyboard wakati wehu wakijipeleka mbele sasa wanamuambia watamtoa polisi au mahakamani wao haoooooo wanaondoka kwenda kula maisha huyo hadi atakapotoka jasho za mbupu zimeshamtoka sana faida ni ya nani na anaweka familia kwenye mawazo kwa faida ya nani hasa?
"Sikio la Kufa halisikii dawa"Nimeshashauri vingi ( mengi ) tu kuhusu CHADEMA ila naanza kupata Hisia kuwa huenda kuna Watanzania wenzetu wameshachoka Kuishi na wanatafuta tu Kijanja tiketi ya Kufa ili wakapumzike tu mazima Udongoni na Mbinguni.
WEWE UNAJUWA KILA KITU NDIYO MAANA MABWEGE YANAJIPELEKA YANAKAMATWA YANAPEWA AHADI ZA KITOTOOOO KWENDA KUTOLEWA WAKATI WENZAO WANALALA NA WAKE ZAO NYUMBANI YEYE ANALALA KWENYE KUNGUNI YAANI NYIE NI MAJINGA HATARIHujui kitu , nyamaza
kati ya vitu vya kujilisha upepo hapa duniani ni kutegemea mwanadamu. nimekuwepo kwenye tasnia ya sheria kwa muda mrefu, na huwa nikiona ma laymen wakisema "nina mwanasheria wangu", au namna clients wanavyoweka matumaini makubwaa kwa mwanasheria wake, huwa nawaonea huruma sana kwasababu tunaoijua tasnia ya sheria ni sisi wenyewe wanasheria, wengine hamtakuja kujua na sitawaambia siri. yaani hata kama mtu mbumbumbu wa sheria lakini akivaa ile suti nyeusi na mkoba wa mafile, kagari, n.k akiongea na client wake unaona kabia matumaini yalivyo makubwa. mwanasheria huyohuyo akipigwa chini kwa ubovu wa kichwa chake au uzoefu anakudanganya tu "tutakata rufaa mahakama ya juu, we ongeza mshiko"...hamjui kama ni biashara. hata ukisema ni probono, lakini kwa upande mwingine anatuimia publicity hiyo ili kujitangaza wateja wa kuwadanganya waje wengi. kalagha baho.Kumbe kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania, kuonyesha bango si kosa na wala halijawahi kuwa kosa, Polisi wengi wanaowakamata walioshika mabango yenye ujumbe usio na matusi ama udhalilishaji wanafanya hivyo ili kuwafurahisha waliowatuma ili wapandishwe vyeo ama waongezwe Marupurupu tu.
Msikilize Peter Kibatala akifafanua huku polisi waliotumikishwa wakijiinamia kwa aibu.
View attachment 1881136
Mbili huanza na moja, ili kufikia wananchi wa Tanzania, Chadema wameanza moja.Ni kweli mabango hayakuwa na matusi lakini je mliandika kitu gani.? Chadema jikiteni katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida ya katiba mpya.
Mimi nitakuwa tayari kuandamana ikiwa nitaona hiki kichwa cha habari kinasema 'WANANCHI WA TZ WAMEANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' ila nikiendelea kuona kichwa cha habari kinasema 'WANA CHADEMA WAANDAMANA KUDAI KATIBA MPYA' basi kamwe sitokuwa pamoja nanyi, bila kusahau nataka niwaone hao viongozi wanaohitaji katiba mpya wakiwa mstari wa mbele katika maandamano.
Haijulikani kama unalia au unalalamikakati ya vitu vya kujilisha upepo hapa duniani ni kutegemea mwanadamu. nimekuwepo kwenye tasnia ya sheria kwa muda mrefu, na huwa nikiona ma laymen wakisema "nina mwanasheria wangu", au namna clients wanavyoweka matumaini makubwaa kwa mwanasheria wake, huwa nawaonea huruma sana kwasababu tunaoijua tasnia ya sheria ni sisi wenyewe wanasheria, wengine hamtakuja kujua na sitawaambia siri. yaani hata kama mtu mbumbumbu wa sheria lakini akivaa ile suti nyeusi na mkoba wa mafile, kagari, n.k akiongea na client wake unaona kabia matumaini yalivyo makubwa. mwanasheria huyohuyo akipigwa chini kwa ubovu wa kichwa chake au uzoefu anakudanganya tu "tutakata rufaa mahakama ya juu, we ongeza mshiko"...hamjui kama ni biashara. hata ukisema ni probono, lakini kwa upande mwingine anatuimia publicity hiyo ili kujitangaza wateja wa kuwadanganya waje wengi. kalagha baho.