Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

mhh sio Kwa makasiriko haya ndugu..nenda hospital una tatizo la akili ww.pole
 
ume
Umeamua kujitoa fahamu na kuwa muimba taarabu..!! Jaribu kuficha upumbavu wako basi!!!
 
Kwa Ivo eneo lingine la Tanganyika kusiko na Bandari, bandari za nchi hii siyo urithi wao?

Unataka kutuambia kwamba mlima Kilimanjaro ni urithi Kwa watu Wa Kilimanjaro pekee??
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Sasa wewe umetokea kyela huko una uchungu na kilimanjaro kuwazidi wachaga?
 
That's why Mwabukusi fits to be the president of Tanzania. He has all it takes for that position
 
Uzuri baada ya mtuhumiwa kukamatwa anasomewa kosa lake mahakani ili ajitetee hivyo kukamatwa ni sehemu ya kutaka kujua ukweli ya hayo aliyokuwa anayasema na kama ni kosa kisheria au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…