Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kweli kabisaMimi sichangii tena jukwaa la siasa
Nchi imeoza
EEEeeh, Bwanah 'Katali', eti unasemaje....?Hawa jamaa wanaojifanya watetezi wa Bandari wanataka tuwaamini kwa kila wanachosema eti nyasi zote zina rangi ya blue ole wako upinge naona busara zote zime fikia mwisho wanahitaji matibabu hawa tiba nyingine ili kunusuru mgonjwa lazima apewe nusu kaputi ili afanyiwe upasuaji salama.
Wamebembelezwa sana inatosha.
Itafahamika tuUhakika wa nini?
Wa kuhakiki habari habari hapa JF ni content managers, siyo mimi.
Kabisa, vipi wewe, hujaandamana? Au njaa kali?Itafahamika tu
Hawa ni wauwaji wanataka kuuwa watoto wa wenzao wakati wa kwao wapo majuu huko shenz taip
Sure
ItafahamikaKabisa, vipi wewe, hujaandamana? Au njaa kali?
Wanawake hawatakuja kuwa na nafasi ya juu tena kwa huu uhuni mnaowafanyia. Huyu mama mnamhujumu. Hizi vurugu zote ni kumharibia. Chama Changu ni hatari sana. Msikilizeni Kiongozi wenu na muache kuanzisha maskendo yanayohatarisha. Sauti ya Mungu ni ndogo sana huwa ni ngumu kuisikia na hasa wakati wa dhoruba. Tumuombe Mungu anyooshe mkono wake.Una hasira sana na hako kadiploma ka Mchongo 😂😂😂🔥
Itafahamika
Mapema sana kuiamini kauli ya polisi, itafahamika ni jambo la kusubiriRPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa...www.jamiiforums.com
Hiyo katiba umeiangalia vizuri na kujua kwamba Samia haivunji katiba hiyo hiyo?Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.
kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.
kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani
Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Mbona kule Zenj hawamkamati Jussa ambaye anasema huyu mtoto wa jana amekuwa fisadi.Ndugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Pia ni mapema sana kuamini kama wameshikwa. Nanialiyeripoti kuwa wameshikwa?Mapema sana kuiamini kauli ya polisi, itafahamika ni jambo la kusubiri
UnamuaminiRPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Kufuatia habari zilizoripotiwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kushikiliwa kwa katibu wa CHADEMA kanda ya kati Emmanuel Masonga, Wakili Boniface Mwabukusi na na kada maarufu wa CHADEMA Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) maeneo ya Mikumi mkoani Morogoro na watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa...www.jamiiforums.com
ccm jibu hoja za mkataba acha kutumia police kusumbua watu.Mbowe si kaachiwa kwa huruma ya mama wa Kiislam.
Mahakama ilisema anayo kesi ya kujibu, umesahahu? Mama katumia "Presidential Power" kumtowa, leo kawa mbaya?
Ndo hapo tunaposema itafahamikaPia ni mapema sana kuamini kama wameshikwa. Nanialiyeripoti kuwa wameshikwa?
Wewe ni nani na chanzo chako ni kipi?Ndugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Mnasposema wewe na nai?Ndo hapo tunaposema itafahamika