Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

Wakili Mwabukusi, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali wakamatwa na Polisi Mikumi wakiwa safarini kuelekea Dar es Salaam

.
 

Attachments

  • IMG-20230812-WA0024.jpg
    IMG-20230812-WA0024.jpg
    42.8 KB · Views: 2
Hawa jamaa wanaojifanya watetezi wa Bandari wanataka tuwaamini kwa kila wanachosema eti nyasi zote zina rangi ya blue ole wako upinge naona busara zote zime fikia mwisho wanahitaji matibabu hawa tiba nyingine ili kunusuru mgonjwa lazima apewe nusu kaputi ili afanyiwe upasuaji salama.
Wamebembelezwa sana inatosha.
EEEeeh, Bwanah 'Katali', eti unasemaje....?

Unajua kesho yako ipoje lakini?

Vuta subira kidogo, utalipata jibu sahihi bila ya shaka yoyote.
 
Una hasira sana na hako kadiploma ka Mchongo 😂😂😂🔥
Wanawake hawatakuja kuwa na nafasi ya juu tena kwa huu uhuni mnaowafanyia. Huyu mama mnamhujumu. Hizi vurugu zote ni kumharibia. Chama Changu ni hatari sana. Msikilizeni Kiongozi wenu na muache kuanzisha maskendo yanayohatarisha. Sauti ya Mungu ni ndogo sana huwa ni ngumu kuisikia na hasa wakati wa dhoruba. Tumuombe Mungu anyooshe mkono wake.
 
Mapema sana kuiamini kauli ya polisi, itafahamika ni jambo la kusubiri
 
Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.

kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.

kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani

Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Hiyo katiba umeiangalia vizuri na kujua kwamba Samia haivunji katiba hiyo hiyo?

Ni swala la muda tu sasa hivi kuipigania katiba hiyo hiyo inayovunjwa na walioapa kuilinda. Kama huo siyo uhaini ni kitu gani?
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.

Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Mbona kule Zenj hawamkamati Jussa ambaye anasema huyu mtoto wa jana amekuwa fisadi.
 
Labda ndo aijipii aliowasema kutaka kuipindua serikali ya awamu ya sita, wacha tusubiri.
 
Mbowe si kaachiwa kwa huruma ya mama wa Kiislam.

Mahakama ilisema anayo kesi ya kujibu, umesahahu? Mama katumia "Presidential Power" kumtowa, leo kawa mbaya?
ccm jibu hoja za mkataba acha kutumia police kusumbua watu.
 
Ndugu Watanzania,

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.

Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.

Pia soma: RPC Morogoro: Sina taarifa ya kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude na Masonga
Wewe ni nani na chanzo chako ni kipi?

Kwanini tukuamini?
 
Back
Top Bottom