Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Wenzako wapo kwa mnyapara,wanapewa vitu wanavyovipenda.Oneni hili punguani linalokula ugali wa bure Kwa shemeji ake, linalala sebleni kusikilizia miguno ya Dada ake akiwa anachezea dog style
Hawa wana hamu na mnyapara.Hivi akili sasa imewatulia,wanapata wanachopendaWanaotishia kupindua serikali hawapigi kelele.
Nimeona nikukumbushe hilo pamoja na kwamba akili yako ni ndogo kujua hivyo.
Najua lengo ni kutia watu hofu/uoga, lakini hili hufikia mahala likawa halina vitisho tena kwa watu waliodhamiria kufanya kweli.
Na watu wamekwishadhamiria hivyo, hata mfanye nini, hatma yenu shaamuriwa.
Wenzako wanapewa mambo wanayowataka na mnyapara.Wanafurahi.Sasa rasmi uchi inaongozwa na sasa dikteta Samia, dikteta wa kwanza mwanamme barani Afrika
Hakuna mtanzania mjinga.Atakaye ungana na wajinga hawa.Hivi wako kwamnyapara.Polisi wanaenda kusababisha akina mwabukusi wengine zaidi watakaosimama kwenye Sakata hili la bandari
Ndoto ya mchanaSamia aombee tu siku akipishana na mabeberu, au upinzani ukawa upande wa mabeberu, basi itabidi aachie nchi
Huu ndio ukweli.Kajificha chumbani,na simu ya shemegi yake,mume wa dada yake.Acha vitisho vya kitoto wewe. Serikali ni jitu kubwa
Huu ndio ukweli.Aah mlikua mnataka mkimwambia nchi tunaipindua awakenulie meno pumbavu sana.
Wamejificha nyuma ya keabordy za shemegi zao,mume wa dada zao.Ingekuwa vyema mngej8tokeza wote kwenda polisi kupinga kukamatwa kwao.
Mnachombeza wenzenu nyie mmejificha nyuma ya keyboard.
Mfyuuuu.
Huu ndio ukweli.Wajitokeze waone.Mtampigania mkiwa nyuma ya keyboard?
Huu ndio ukweli.Utampigania hapa hapa jf ikifika usiku uko na familia yako kwa raha zako...
Huu ndio ukweli.Washazoea huumchezo.mdude ameshazoea mabolo ya jela ila mwabukusi kazi anayo leo, atapigwa kavukavu ila atazoea.
Ndio mnavyowadangaja wajinga wenzenu.Ni mjinga pekee hajui ukubwa wa Jf
Nchi iko na Amani,wavivu wa kufanyakazi hawa.Wanategemea mteremko.Polisi fanyeni kazi yenu.Ndio madhara ya kutaka sifa na kiki za kipuuzi ukitegemea vijana wa BaviChA wataandama au taasisi zitakutetea
Sawa kabisa,ndio wananchi tunavyotaka,tufanye kazi za kujenga taifa.Hao wavivu wadhibitiwe.Serekali ina mkono mrefu.Tunaishi kwa aman sasa akitokea panya mmoja na kutaka kuhalibu aman azibitiwe tafadhali
Hawa tutapeleka taarifa zao kimya kimya.Ili wananchi tuishi kwa amani.Polisi wana taarifa za kiintelijensia na bado mtatafutwa wote mpaka mpatikane si umemsikia kamanda wa polisi katika press. Hao wakina Mwambuzi na mdude wanatumwa tu serikali inataka wale waliojificha nyuma yao.
Acha ujinga.Hakuna mwananchi mwenye akili timamu,aungane na nyinyiWana celo za kuwahifadhi Watanganyika wote tunaopinga bandari zetu kuporwa?
Viwango hivyo vya HOFU tulishavivuka.
Tusubiri.
Acha kujificha kwenye keabordy jitokeze.Polisi hawa wasiojua maana ya PGO au mna polisi wa kukodi ?
Uchochezi ni mbaya kuliko uhaini.Walitaka kuweka hilo la uhaini ila hesabu zimekataa
Wananchi hatupingi.Nendeni mkamtetee.Wote tunapinga kuuzwa kwa bandari za Tanganyika, watukamate wote.
Waache wakapate wanavyovitaka kwa mnyapara.Wakitoka akili zitwakaa sawa.Hakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.
Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.