mnajisumbua tu hii nchi ina wenyewe mtatesa familia zenu na hakuna wakuwatetea baada ya kupata kipigoHakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.
Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.
Kabisa mkuu polisi wanafikir wanawakomoa kwa kuwakamata wapinzani ovyo ovyo bila kujua wanawapa ujasir wa kupambana, jeshi la ovyo kabisa Jana nimelisikia kuu lao eti watu wanataka kumpindua SSH kwa kufanya maandamano nchi nzima yaan jitu cheo kikubwa limeitisha press kabisa linaongea ujinga tuHakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.
Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.
Samia ni mwoga sanaAlijiwekea nyerere? Maana katiba hii inayotumika ni ya Nyerere.
Hakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.
Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.
Real battles zipo mitaani SIO HUMU
Hawa jamaa wanaojifanya watetezi wa Bandari wanataka tuwaamini kwa kila wanachosema eti nyasi zote zina rangi ya blue ole wako upinge naona busara zote zime fikia mwisho wanahitaji matibabu hawa tiba nyingine ili kunusuru mgonjwa lazima apewe nusu kaputi ili afanyiwe upasuaji salama.
Wamebembelezwa sana inatosha.
Wakati wa JPM ulikuwa mdogo kama piriton!Kama ni kweli, wamechelewa sana kumkamata.
Tena huyo ni kesi ya uhaini moja kwa moja.
Acha wanyee debe, yaani unahamasisha watu wasilipe Kodi, umeenda mahakamani kutafuta haki, umeshindwa, unaanzisha agenda za kuhujumu uchumiNdugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Mtu anatakiwa kukamatwa baada ya upelelezi kukamilika
Tujipange kuiondoa ccm kwa maandamano nchi mzima.Ndugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Haya sasa, haya yanafanywa na Pombe?Ndugu Watanzania,
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa wakili msomi Boniface Kanjunjule Mwabukusi amekamatwa na Jeshi la Polisi kule Mikumi, Morogoro akiwa pamoja na Katibu wa Kanda wa CHADEMA, Emmanuel Masonga na Mdude Nyagali.
Inadaiwa kuwa walikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, watu waliojitambulisha kuwa ni Askari ndio wamewakamata pasipo kutaja kosa lao na wapi wanapelekwa zaidi ya kuambiwa ni Maelekezo kutoka Juu. Pia, vifaa vyao vya mawasiliano (Simu za mkononi) vimechukuliwa.
Mwabukusi kasema 'sisi watanganyika' Mara 'maandamano yasiyo kikomo na watu wasilipe kodi'..wanaenda kumuuliza Tanganyika ni kitu gani,awaoneshesheria zinalinda watawala na wengine wamejiwekea kinga ya kutokushitakiwa, kwa hiyo ukilianzisha ujitoe kafara hasa!
Kwani hao Masheikh walitaka kupindua Nchi? Kama ni hivo mbona basi waliachiwa?Hawa walikua wanakuja dar kuhamasisha mazombi waandamane eti wapendue serekali ya bi mkumbwa
Kiwakute tu kilichowakuta
Masheikh.
Mbona hata wewe pia ni mwoga kutumia Id fake pia ni wogaSamia ni mwoga sana
ππππ₯Wakati wa JPM ulikuwa mdogo kama piriton!
nenda kaulize polisiJe amekamatwa kwa kosa gani?
Mbona inasikitisha jamani [emoji2297]
Sindano zinapigwa kwenye drip wewe!! Ondoa mawazo ya zamaniUnaonekana kuna mahali unaumia, tulia hii sindano lazima ivunjikie kwenye mfupa wako.
Hao watarudi wamechoka hakuna uimara wowote, mtafute pakufanyia huo upumbavu wenu. Eti anapigania, anapigania niniHakuna jipya hapo, Adv Mwabukusi hajakamatwa peke yake, hata Mdude Nyagali, na kamanda Nyaisunga, nao pia wamekamatwa, wote wako kutuo cha polisi, Mikumi, Morogoro.
Hapa tuwekane sawa tu, hayupo yeyote kati ya waliokamatwa ambaye hakujua matokeo ya kile wanachokipigania, wanachokifanya polisi sio kuwatisha, au kuwaogopesha, ni kuwafanya wawe imara zaidi kwenye mapambano.
Nenda Mikumi kama wewe una uwezo!! Usitupotezee muda hapaMbona nakuumiza bado mapema sana.. pole.