Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hawa keyboard warriors wana akili finyu sana. Wanadhani kosa la uhaini ni sawa na kuiba kuku. Lissu mwenyewe kiongozi wao wanaemsikiliza sana hajawahi kutamka uhaini kwa sababu anajua madhara yake.Mumsaidie atoke sio mnaishia kusikitika tu.
kutikisa Muungano kuliwaweka ndani wale ma Sheikh wa Znz kwa zaidi ya miaka minane.
kuhamasisha uhaini ni kosa kubwa Dunia nzima, hadi sasa Donald Trump anahangaishwa kwa kosa hilo kule Marekani
Mama sasa ataanza kujua kwanini Hayati JPM hakuwa anacheza cheza na wahuni, yeye kataka kujifanya Mwema sasa wamemuonesha rangi zao halisi
Kipigo ndio huleta mabadiliko. Ww bali na akili hizo hizo kuwa waliopata mlo ni haki yao, na ww ni haki yako kukosa.mnajisumbua tu hii nchi ina wenyewe mtatesa familia zenu na hakuna wakuwatetea baada ya kupata kipigo
Tunataka tumfahamu aliyesambaza habari za kutaka kuipindua serikali ni nani?Wao wamesema wameshinda, jamaa wakasema wanakuja kukata rufaa..sasa wanawakamata wa nini? Mbona jamaa wanatumia njia za kistaarabu kabisa japo povu linawatoka wao( kina Tulia na wenzake).
Saa nyingine serikali ndio chanzo cha vurugu..walisema wanaimarisha uhuru wa kutoa maoni lakini inaonekana ni kwa maoni yanayowapendeza wao tu.
Na hawa wataachiwa ila baada ya miaka 9 kupita kama uamsho.Kwa hiyo wamekamatwa kwa kosa la uhaini? Mbona kama ni hivo hao Uamsho waliachiwa?
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Mtaandamana hapa JF labdaTujipange kuiondoa ccm kwa maandamano nchi mzima.
Kubatiza ndiyo nini?Lazima nikubatize ww
Hapo ndio ujue nchi inaongozwa na gang mafiaNa hawa wataachiwa ila baada ya miaka 9 kupita kama uamsho.
Mbona wewe hujitokezi upokee kichapo unajificha hapa JF?Kipigo ndio huleta mabadiliko. Ww bali na akili hizo hizo kuwa waliopata mlo ni haki yao, na ww ni haki yako kukosa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamanda toka shimoni uongee mbele ya wanaume. Mbona nyie waoga sana kukamatwa.Nijuavyo mm, hatuna cello na magereza ya kutosha Watanganyika tunaodai Bandari zetu.
Tupo Wana CCM ,WAPINZANI na wasio na vyama!!
Kama tuliweza kumwondoa mkoloni mweupe, Hawa majizi hawatushindi.
HATUTAOGOPA!!
Nijuavyo mm, hatuna cello na magereza ya kutosha Watanganyika tunaodai Bandari zetu.
Tupo Wana CCM ,WAPINZANI na wasio na vyama!!
Kama tuliweza kumwondoa mkoloni mweupe, Hawa majizi hawatushindi.
HATUTAOGOPA!!
Kutangaza nia ya kupindua serikali unadhani kosa dogo hilo? Hao wangemkuta magufuli ndio rais kwanza msingewasikia tena angeamuru wauwawe tu kimyakimya.Hapo ndio ujue nchi inaongozwa na gang mafia
Hivi kwa kosa lipi hasa?
Nijuavyo mm maandamano yameruhusiwa kisheria na kikatiba, na itabaki hivyo,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kamanda toka shimoni uongee mbele ya wanaume. Mbona nyie waoga sana kukamatwa.
Sasa mbona huandamani?Nijuavyo mm maandamano yameruhusiwa kisheria na kikatiba, na itabaki hivyo,
Watisheni wasiojua HAKI zao!!!
Bandari zetu ni URITHI wetu,Sasa mbona huandamani?
Hii ni kauli ya mtu muoga ambaye uoga wake unamfanya awe katili asiye na uwezo wa kujenga hoja.Wamebembelezwa sana inatosha.
Wafadhili wao ni Dp World.Acha mwembwe watanganyika njoo kituoni shubamit maneno mengi na watawataja wanao wafadhili mbumbavuuuuu
Bandari zetu ni URITHI wetu,
Vitisho havitaturudisha nyuma.
Tusubiri.
Wafadhili wao ni Dp World.