Wakili Mwabukusi: IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda njoo jukwaani

Wakili Mwabukusi: IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda njoo jukwaani

Wakuu,

Akihojiwa na waandishi wa habari siku chache baada ya kuachiliwa na polisi kwa dhamana, wakili Mwabukusi amenukuliwa akisema."

Nataka nimwambie wazi IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda,toka kwenye bunduki njoo jukwaani." Hoja zetu za kisiasa anajibu kwa bunduki akiwa nyuma ya ofisi za umma, amevaa magwanda ya kiaskari? Alisema.

Aache watujibu, tunauliza maswali ya kitaaluma.

Pia amekemea Viongozi waliojigeuza miungu watu, nanukuu;

"Nchi hii kuna watu wamejigeuza miungu watu, wao na familia zao wanataka kugeuza watanganyika kama ngo'mbe wao zizini, watuswage kwenda machungani na kuturudisha muda wanaotaka. Nataka kuwaambia kama walifikiri sisi ni makondoo tumeshageuka kuwa wanambuzi wakorofi na tumeshanyanyua mkia kama ngiri na hawatatufuga tena.

Wanajificha kwenye kichaka mara waseme mapinduzi,sijui uhaini,mara waseme udini, kote huko ni kukwepa kuwajibika, sasa wanataka kupeleka sheria ya hovyo bungeni ili kujusfy IGA, na hii tunawaambia wabunge that luxury is long gone, na kwa sababu tulishaenda Mahakamani na mahakama ikasema haina uwezo wa kuingilia mambo ya bunge, hatutaenda mahakamani tena, tutatumia nguvu ya umma kuleta uwajibikaji, we will not go to court again, we do not have that time.

Ajabu,wanang'ang'ana na sisi tunaodiclose ubovu wa mkataba wanayaacha majizi na majitu yaliyolileta hapa taifa, yanakula na kutafuta vitumbua kwenye ofisi za umma, halafu unakimbizana na bonafide person ambaye anakwambia kuna shida mahali?

Kwahio ndugu zangu narudia kusema tena,IGA ni uvamizi wa taifa letu kiuchumi, bandari ni lango kwa taifa letu, bandari ni urithi tuliopewa na Mungu. Hatuwezi kuwa taifa la ubwege kiasi hiki, mbuga za wanyama tumewapa wageni, nenda kule,unaingia unaambiwa 'now you are entering the United Arab Kingdom' ndani ya nchi?

Tizama mahoteli yanayojengwa Ngorongoro pale,huku wamasai wakifurushwa kama wanyama kutoka kwenye ardhi yao,leo unataka kuniambia Mwarabu ndio ana Ikolojia ya Ngorongoro kuliko Mmasai? That is stupid aspect.

Halafu tukisema,watu wanasema wachochezi. Jamani hili taifa ni kwa ajili yetu,sisi hatujawekwa hapa kuwa watumwa na watwana wa wageni, tuna haki ya kufaidi fursa za kijamii, kiuchumi na kimaendeleo pamoja na kuzimiliki.

Kwahio, ndugu zetu mtuelewe, IGA sio nchi kwahio kuupinga haiwezi kuwa uhaini, IGA ni limkataba korokocho lililookotwa huko kizembe, watu wakafanya copy and paste wakifiri sisi ni mazuzu, tumelikataa."

Wewe ni mzalendo Mwakabusi. Ikependeza ukawa Rais
Watu kama hawa hawakumbukwi halafu anakumbukwa nyerere, muasisi wa katiba ya hovyo kuwahi kutokea inayotutesa mpaka hii leo na chama lake ccm. Eti rais ashtakiwi!!!, nchi ya hovyo sana hii.
Tupadilsihe katiba. Hatukujuwa tutapata Rais, Bunge linalojali maslahi ya a Waarabu kuliko Wataanyika.
 
Huyu bwege mwabukusi naye ameona ni fursa ya kutaka kujulikana kwa mgongo wa bandari
WEWE ndio wale tunaita bwege mtozeni.

Mmenasa chambo kudadeki. Mtatema tu. Bandari iko hapa nchi haiuzwi kizembe!

Tatizo mabwege/mazuzu/kenge km nyie bado mnaishi Jana.
 
Hana lolote mshamba huyo, IGP usimjibu, hao wanahaha kama mbwa koko mama kawakalia kimya. Hiyo ndiyo "resilience" kama walikuwa haelewi.

Hakuna ataewajibu nyinyi, tafokafoka na tutawajibu sisi wa mitandaoni. Msitafute kiki kupitia serikali.
 
Hivi huyo mwabukuzi ni chama gani?! Au ndiyo yupo chama kimoja na Mbatia??! Yote kwa yote akipewa nafasi kwenye hiyo serikali ya Muungano naamini hataikataa na itakuwa ndiyo mwisho wa kelele zake. Anatafuta kujulinana ya kwamba HAWAVUMI LAKINI WAMO. Wacha avume wakubwa wakifiria nafasi ya kumfaa kv ubalozi,ukatibu, au ukurugenzi hivi hatapiga kelele tena!
 
Hivi huyo mwabukuzi ni chama gani?! Au ndiyo yupo chama kimoja na Mbatia??! Yote kwa yote akipewa nafasi kwenye hiyo serikali ya Muungano naamini hataikataa na itakuwa ndiyo mwisho wa kelele zake. Anatafuta kujulinana ya kwamba HAWAVUMI LAKINI WAMO. Wacha avume wakubwa wakifiria nafasi ya kumfaa kv ubalozi,ukatibu, au ukurugenzi hivi hatapiga kelele tena!
 
Wakuu,

Akihojiwa na waandishi wa habari siku chache baada ya kuachiliwa na polisi kwa dhamana, wakili Mwabukusi amenukuliwa akisema."

Nataka nimwambie wazi IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda,toka kwenye bunduki njoo jukwaani." Hoja zetu za kisiasa anajibu kwa bunduki akiwa nyuma ya ofisi za umma, amevaa magwanda ya kiaskari? Alisema.

Aache watujibu, tunauliza maswali ya kitaaluma.

Pia amekemea Viongozi waliojigeuza miungu watu, nanukuu;

"Nchi hii kuna watu wamejigeuza miungu watu, wao na familia zao wanataka kugeuza watanganyika kama ngo'mbe wao zizini, watuswage kwenda machungani na kuturudisha muda wanaotaka. Nataka kuwaambia kama walifikiri sisi ni makondoo tumeshageuka kuwa wanambuzi wakorofi na tumeshanyanyua mkia kama ngiri na hawatatufuga tena.

Wanajificha kwenye kichaka mara waseme mapinduzi,sijui uhaini,mara waseme udini, kote huko ni kukwepa kuwajibika, sasa wanataka kupeleka sheria ya hovyo bungeni ili kujusfy IGA, na hii tunawaambia wabunge that luxury is long gone, na kwa sababu tulishaenda Mahakamani na mahakama ikasema haina uwezo wa kuingilia mambo ya bunge, hatutaenda mahakamani tena, tutatumia nguvu ya umma kuleta uwajibikaji, we will not go to court again, we do not have that time.

Ajabu,wanang'ang'ana na sisi tunaodiclose ubovu wa mkataba wanayaacha majizi na majitu yaliyolileta hapa taifa, yanakula na kutafuta vitumbua kwenye ofisi za umma, halafu unakimbizana na bonafide person ambaye anakwambia kuna shida mahali?

Kwahio ndugu zangu narudia kusema tena,IGA ni uvamizi wa taifa letu kiuchumi, bandari ni lango kwa taifa letu, bandari ni urithi tuliopewa na Mungu. Hatuwezi kuwa taifa la ubwege kiasi hiki, mbuga za wanyama tumewapa wageni, nenda kule,unaingia unaambiwa 'now you are entering the United Arab Kingdom' ndani ya nchi?

Tizama mahoteli yanayojengwa Ngorongoro pale,huku wamasai wakifurushwa kama wanyama kutoka kwenye ardhi yao,leo unataka kuniambia Mwarabu ndio ana Ikolojia ya Ngorongoro kuliko Mmasai? That is stupid aspect.

Halafu tukisema,watu wanasema wachochezi. Jamani hili taifa ni kwa ajili yetu,sisi hatujawekwa hapa kuwa watumwa na watwana wa wageni, tuna haki ya kufaidi fursa za kijamii, kiuchumi na kimaendeleo pamoja na kuzimiliki.

Kwahio, ndugu zetu mtuelewe, IGA sio nchi kwahio kuupinga haiwezi kuwa uhaini, IGA ni limkataba korokocho lililookotwa huko kizembe, watu wakafanya copy and paste wakifiri sisi ni mazuzu, tumelikataa."

Huyo tena hana jipya umaarufu alioupata asubiri kuwa balizi wa bidhaa
 
Duuh! Huyu Mwamba Huyu. Apewe Maua Yake Ayanuse Mapema.

Maana Naona Si Muda Mrefu Wanaweza Wakamzima. Na Kama akishinda Battle Ya Chama Na Serikali Kwa Kweli Atastahili Kupewa Position Kubwa Hapa Tz Miaka Ijayo Kama Reward Ya Uzalendo Wake.
Narudia..anatengeneza cv ili agombee ubunge
 
Hana lolote mshamba huyo, IGP usimjibu, hao wanahaha kama mbwa koko mama kawakalia kimya. Hiyo ndiyo "resilience" kama walikuwa haelewi.

Hakuna ataewajibu nyinyi, tafokafoka na kujamba kujamba tutawajibu sisi wa mitandaoni. Msitafute kiki kupitia serikali.
Kwa hiyo IGP anapokea maagizo kutoka kwako siyo?
 
Wakili Mwabukisi ana kitu nyuma yake hio Sauti anayotoa sio Bure ni Sauti ya ushawishi sana Na iliyojaa ukuu na mamlaka uyu jamaa kwa kweli ni Gifted, Ukisikia Mungu hutumia watu ndio hapa sasa, Nashauri State bodies zi deal na uyu jamaa very caution vinginevyo tunaweza kutumbukiza Nchi kwenye hatari, The guy has God behind
 
Wakuu,

Akihojiwa na waandishi wa habari siku chache baada ya kuachiliwa na polisi kwa dhamana, wakili Mwabukusi amenukuliwa akisema."

Nataka nimwambie wazi IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda,toka kwenye bunduki njoo jukwaani." Hoja zetu za kisiasa anajibu kwa bunduki akiwa nyuma ya ofisi za umma, amevaa magwanda ya kiaskari? Alisema.

Aache watujibu, tunauliza maswali ya kitaaluma.

Pia amekemea Viongozi waliojigeuza miungu watu, nanukuu;

"Nchi hii kuna watu wamejigeuza miungu watu, wao na familia zao wanataka kugeuza watanganyika kama ngo'mbe wao zizini, watuswage kwenda machungani na kuturudisha muda wanaotaka. Nataka kuwaambia kama walifikiri sisi ni makondoo tumeshageuka kuwa wanambuzi wakorofi na tumeshanyanyua mkia kama ngiri na hawatatufuga tena.

Wanajificha kwenye kichaka mara waseme mapinduzi,sijui uhaini,mara waseme udini, kote huko ni kukwepa kuwajibika, sasa wanataka kupeleka sheria ya hovyo bungeni ili kujusfy IGA, na hii tunawaambia wabunge that luxury is long gone, na kwa sababu tulishaenda Mahakamani na mahakama ikasema haina uwezo wa kuingilia mambo ya bunge, hatutaenda mahakamani tena, tutatumia nguvu ya umma kuleta uwajibikaji, we will not go to court again, we do not have that time.

Ajabu,wanang'ang'ana na sisi tunaodiclose ubovu wa mkataba wanayaacha majizi na majitu yaliyolileta hapa taifa, yanakula na kutafuta vitumbua kwenye ofisi za umma, halafu unakimbizana na bonafide person ambaye anakwambia kuna shida mahali?

Kwahio ndugu zangu narudia kusema tena,IGA ni uvamizi wa taifa letu kiuchumi, bandari ni lango kwa taifa letu, bandari ni urithi tuliopewa na Mungu. Hatuwezi kuwa taifa la ubwege kiasi hiki, mbuga za wanyama tumewapa wageni, nenda kule,unaingia unaambiwa 'now you are entering the United Arab Kingdom' ndani ya nchi?

Tizama mahoteli yanayojengwa Ngorongoro pale,huku wamasai wakifurushwa kama wanyama kutoka kwenye ardhi yao,leo unataka kuniambia Mwarabu ndio ana Ikolojia ya Ngorongoro kuliko Mmasai? That is stupid aspect.

Halafu tukisema,watu wanasema wachochezi. Jamani hili taifa ni kwa ajili yetu,sisi hatujawekwa hapa kuwa watumwa na watwana wa wageni, tuna haki ya kufaidi fursa za kijamii, kiuchumi na kimaendeleo pamoja na kuzimiliki.

Kwahio, ndugu zetu mtuelewe, IGA sio nchi kwahio kuupinga haiwezi kuwa uhaini, IGA ni limkataba korokocho lililookotwa huko kizembe, watu wakafanya copy and paste wakifiri sisi ni mazuzu, tumelikataa."

IGP seems ni kama wale waliokuwa hawajulikani....
 
Wakili Mwabukisi ana kitu nyuma yake hio Sauti anayotoa sio Bure ni Sauti ya ushawishi sana Na iliyojaa ukuu na mamlaka uyu jamaa kwa kweli ni Gifted, Ukisikia Mungu hutumia watu ndio hapa sasa, Nashauri State bodies zi deal na uyu jamaa very caution vinginevyo tunaweza kutumbukiza Nchi kwenye hatari, The guy has God behind
Ana uchungu na ujasiri nyuma yake.

Mbele yake yupo Mungu
 
nenda kule,unaingia unaambiwa 'now you are entering the United Arab Kingdom' ndani ya nchi?
Kama tutashindwa kulinda rasilimali za taifa kwaajili ya kizazi kijacho MUNGU aingilie kati kuwalindia
 
Hana lolote mshamba huyo, IGP usimjibu, hao wanahaha kama mbwa koko mama kawakalia kimya. Hiyo ndiyo "resilience" kama walikuwa haelewi.

Hakuna ataewajibu nyinyi, tafokafoka na tutawajibu sisi wa mitandaoni. Msitafute kiki kupitia serikali.
Hilooooooooooooooooooooooooooooooooooooo mnaaibika kweupe.
 
Back
Top Bottom