Wakili Mwabukusi: Tanganyika ilibakwa, muungano ni sawa na ndoa ya utotoni

Wakili Mwabukusi: Tanganyika ilibakwa, muungano ni sawa na ndoa ya utotoni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wakili Mwakubusi amesema kuwa kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibakwa, muungano ilikuwa ni ndoa ya utotoni. Amesema aina ya muungano uliopo sio muungano uliohitajika na watanganyika.

Aidha amesema hoja za kuwamba anachochea ubaguzi hazina mantiki kwa kuwa mambo mengi Zanzibar huwa inapata mgao. Amesema Tanzania ilinunua meli na Zanzibar ilipata mgao, hivyo amehoji kwa nini Zanzibar haipewi mgao huu unaoonekana kuwa wa neema wa DPW.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
 
Wakili Mwakubusi amesema kuwa kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibakwa, muungano ilikuwa ni ndoa ya utotoni. Amesema aina ya muungano uliopo sio muungano uliohitajika na watanganyika.

Aidha amesema hoja za kuwamba anachochea ubaguzi hazina mantiki kwa kuwa mambo mengi Zanzibar huwa inapata mgao. Amesema Tanzania ilinunua meli na Zanzibar ilipata mgao, hivyo amehoji kwa nini Zanzibar haipewi mgao huu unaoonekana kuwa wa neema wa DPW.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Hawa wahaini watiwe ndani kama Mashehe wa Uamsho,kwamba Mlibakwa au?
 
Wakili Mwakubusi amesema kuwa kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibakwa, muungano ilikuwa ni ndoa ya utotoni. Amesema aina ya muungano uliopo sio muungano uliohitajika na watanganyika.

Aidha amesema hoja za kuwamba anachochea ubaguzi hazina mantiki kwa kuwa mambo mengi Zanzibar huwa inapata mgao. Amesema Tanzania ilinunua meli na Zanzibar ilipata mgao, hivyo amehoji kwa nini Zanzibar haipewi mgao huu unaoonekana kuwa wa neema wa DPW.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Huyu wakili asikilize hii

 
Ni dhahiri hizo ni chuki, sioni hoja askofu anajua nn kuhusu bandari

Hamna hoja tangu mwanzo zaidi ya majungu kama na mipasho .
 
Ni dhahiri hizo ni chuki, sioni hoja askofu anajua nn kuhusu bandari

Hamna hoja tangu mwanzo zaidi ya majungu kama na mipasho .
Kuambiwa ukweli sio chuki, hivi nyie mliokotwa wapi na hizi fikra zenu za hovyo kama mnaishi kwenye shimo la choo?
 
Kuambiwa ukweli sio chuki, hivi nyie mliokotwa wapi na hizi fikra zenu za hovyo kama mnaishi kwenye shimo la choo?
Sasa huyo askofu wako ni huko kanisani na hana mamlakd mbele ya Raisi na kundi lenu ndo mnasikiliza sisi hatuhusu wala hatumjui.
 
Huyu mwaisa anapiga propaganda za kutaka kupoteza mjadala. Hoja ni mkataba mbovu wa bandari, haya ya Tanganyika sijui wazanzibari yanatoka wapi?
 
Sasa huyo askofu wako ni huko kanisani na hana mamlakd mbele ya Raisi na kundi lenu ndo mnasikiliza sisi hatuhusu wala hatumjui.
Unaonesha dhahiri kuna kundi hii nchi limekosa elimu kabisa, na ujinga wenu ndio mtaji wa CCM!

Tutawakomboa tu kifikra, wewe endelea kushindilia ugali ujaze tumbo.
 
Unaonesha dhahiri kuna kundi hii nchi limekosa elimu kabisa, na ujinga wenu ndio mtaji wa CCM!

Tutawakomboa tu kifikra, wewe endelea kushindilia ugali ujaze tumbo.
Askofu mimi hanihusu wala simsikilizi so usinilizimishs kuunga mkono viongzi wako .

Mkileta ubaguzi nasi tutalewa point za kibaguzi , hakuna kitu tunaogopa.
 
Wakili Mwakubusi amesema kuwa kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibakwa, muungano ilikuwa ni ndoa ya utotoni. Amesema aina ya muungano uliopo sio muungano uliohitajika na watanganyika.

Aidha amesema hoja za kuwamba anachochea ubaguzi hazina mantiki kwa kuwa mambo mengi Zanzibar huwa inapata mgao. Amesema Tanzania ilinunua meli na Zanzibar ilipata mgao, hivyo amehoji kwa nini Zanzibar haipewi mgao huu unaoonekana kuwa wa neema wa DPW.

Amesema hayo akiwa kwenye press conference, leo Julai 12, 2023

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Aiseeee !!
 
Back
Top Bottom