Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Mgawanyiko huu huko upinzani, ni kwa sababu ya afya njema na uchapa kazi hodari wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi katika kuyashughulikia matatizo ya wananchi...

Wapinzani hawana hoja yenye mashiko, hawaelewani, hawana diria wala hawana uelekeo kabsaa....
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Kumbe huyu ni kichaa, mwambie akaandamane, kama ni kila kitu kinafanyika anavyotaka. mbona alishindwa kuandamana. kumbe takataka tupu.

Hawa ni wapinzani wenzako, tumia busara kutoa hoja yako...mpumbavu mkubwa kumbe!
 
Wewe na mkeo (kama unaye) huwa mnakubaliana kila kitu? Hao unaosema wapinzani kuna matoleo kadhaa kuanzia upinzani uliojengeka kwa misingi ya dini, dhehebu, kabila, vyama binafsi vya watu, maslahi binafsi, maslahi ya taifa nk kama wanaharakati walivyo na mirengo tofauti : feminism, usboga, vijana, dini nk. Hivyo haiwezekani wote wakawa na msimamo mmoja kwa kila jambo. Pia sio suala la kulaumu kwani kila mtu anatumia uhuru wake atakavyo mradi havunji sheria.

Hata mtu au chama kijifanye wajanja lakini mwisho wa siku kuzungumza na serikali hakuepukiki ikiwa unataka kupush ajenda ambayo mtu anadhani ina manufaa kwa nchi. Yeye zMwabukusi wacha ajidanganye kiwa anaweza kulazimisha anachotaka yeye ndicho hicho hicho kitimizwe tena na serikali iliyopo madarakani.
Na anataka chadema wafuate kile anachoongea yeye anaishi kwenye dunia yake alafu anaona maisha ni marais sana akaanzishe chama chake alafu aanze kukijenga tokea chini
 
Kumbe huyu ni kichaa, mwambie akaandamane, kama ni kila kitu kinafanyika anavyotaka. mbona alishindwa kuandamana. kumbe takataka tupu.
Hawa ni wapinzni wenzako, tumia busara kutoa hoja yako...mpumbavu mkubwa kumbe!
peleka mambo taratibu mkuuu dah 😅
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
sasa mwabukusi yeye 2025 atagombea wapi? nccr haipo tena imenunuliwa na ccm na yeye ameichamba, ACT zitto hawezi kumpokea kwasababu ...., ccm hawezi kuingia, chadema ndio hii anaichamba. au ameshakata tamaa kugombwa?
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ni mtu mjinga au mwenye maslahi binafsi anaweza kuendelea kushiriki ama kujitokeza kupiga kura katika chaguzi hizi za kishenzi.
 
sasa mwabukusi yeye 2025 atagombea wapi? nccr haipo tena imenunuliwa na ccm na yeye ameichamba, ACT zitto hawezi kumpokea kwasababu ...., ccm hawezi kuingia, chadema ndio hii anaichamba. au ameshakata tamaa kugombwa?
Slaa anamdanganya sana huyu jamaa
Kwenye maisha hamnaga short-cut hasa kwenye mambo yanayohusu itikadi kama siasa

Kama anajiamini aanzishe chama chake asitake kutumia watu kama mgongo wa kufikia malengo yake maisha sio marahisi hivyo yaani chadema waache agenda zake wamfuate yeye mbona ni kituko na kichekesho
 
Slaa anamdanganya sana huyu jamaa
Kwenye maisha hamnaga short-cut hasa kwenye mambo yanayohusu itikadi kama siasa

Kama anajiamini aanzishe chama chake asitake kutumia watu kama mgongo wa kufikia malengo yake maisha sio marahisi hivyo yaani chadema waache agenda zake wamfuate yeye mbona ni kituko na kichekesho
wasajili hawatasajili chama chochote kuanzia sasa, sio rahisi kama unavyofikiri.
 
Mgawanyiko huu huko upinzani, ni kwa sababu ya afya njema na uchapa kazi hodari wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi katika kuyashughulikia matatizo ya wananchi...

Wapinzani hawana hoja yenye mashiko, hawaelewani, hawana diria wala hawana uelekeo kabsaa....
Yaani huu mgao wa umeme ndio usambaratishe wapinzani? Au kuuza bandari ndio kunaweza kusambaratisha wapinzani? Ukitaka kujua watu wamepuuza hilo zoezi liitwalo uchaguzi, subira chaguzi zijazo uone jinsi wapiga kura watakavyokuwa wachache. Na sababu hasa ya watu kupuuza uchaguzi, ni kitendo Cha ccm kulazimisha kutangazwa washindi kwa shuruti bila ridhaa ya wananchi.
 
lazima kuunganisha nguvu, sasa unapo wa dispise wenzako, unadhani utafanya lolote wewe na Mdude bila nguvu ya wote ambao wanaona CCM ni "adui" wa watanzania? Lipuuzi likubwa sana
Calm down Commander,
jamaa bado si mzoefu ktk siasa nchini, anadhani anachofikiri yeye na wenzie wanafikiri ivo ivo, badala ya kuwaconsalt then apate fursa ya kupropose uelekeo anaofikiri ni mwema kwa wenzie, yeye analeta ujuaji na kubwekabweka aise 🤣
 
Yaani huu mgao wa umeme ndio usambaratishe wapinzani? Au kuuza bandari ndio kunaweza kusambaratisha wapinzani? Ukitaka kujua watu wamepuuza hilo zoezi liitwalo uchaguzi, subira chaguzi zijazo uone jinsi wapiga kura watakavyokuwa wachache. Na sababu hasa ya watu kupuuza uchaguzi, ni kitendo Cha ccm kulazimisha kutangazwa washindi kwa shuruti bila ridhaa ya wananchi.
kwahiyo anachofanya mwabukusi ni kuunganisha nguvu upinzani 😅
 
Mgawanyiko huu huko upinzani, ni kwa sababu ya afya njema na uchapa kazi hodari wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi katika kuyashughulikia matatizo ya wananchi...

Wapinzani hawana hoja yenye mashiko, hawaelewani, hawana diria wala hawana uelekeo kabsaa....
Kumbe na wewe ni hao hao! On the list to be blocked to save time and MBs

Huzuni Tanga: Mjamzito afariki kwa kukosa Pesa, DC atoa kauli hii​



CCM: Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
 
Back
Top Bottom