hivi kususa chaguzi, kususa kutumia mtandao fulani wa simu wakati fulani na hata kule nyuma kwenye kususa bunge la katiba kumewahi kusaidia chochote chadema au upinzani kwa ujumla?
Au kumewahi kubadili kitu chochote?
Tanzania tuna vyama vya siasa zaidi ya 22 vyenye usajili wa kudumu, kachama kamoja kususa uchaguzi kati ya hivyo vyote kataathiri nini unadhani?
Pale Jamuhuri ya Kenya,
Raila Odinga, aliwahi kususa uchaguzi wa marudio, aliambilia nini kama sio kubwekabweka tu.....
Pale Zanzibar,
Hayati Maalim Seiph Sharifu Hamad aliwahi kususa uchaguzi wa marudio, alifaidika na nini zaidi ya kubwekabweka tu.....
Understand the Vision and Mission of Tundu Antipas Lisu and forces bihind him on the move at kususa uchaguzi.
Atawapoteza vizuri mno huyu muungwana na mpotelee kusikojulikana nae akiwachungulia na kuwacheka kwa dharau akila bata na mabwenyenye huko ng'ambo......