Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Wewe mbona kazi unayofanya kila mwisho wa mwezi unadai mshahara kitendo cha wewe kupewa mshahara ni maslai yako hayoWote sawa sawa maana wote wachumia tumbo.
Chadema lazima wajue ukweli ni kwamba hawana msimamo na hata mwenye msimamo tofauti na Mbowe ni mbaya kwao!
Lissu alishasema kuwa wasikubali kushiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya lakini wanamuona mjinga na sasa Mwambukusi anawambia ukweli wanamuona anataka ubunge….
Chadema wanashida na ubunge kila mmoja wao kuliko hiyo katiba mpya kwa hiyo Lissu na Mwambukusi wanapoteza muda wao…
Chadema hadi sasa walitakiwa kutangaza kuwa hawatoshirikiana na CCM au Serikali kwenye chochote hadi katiba mpya ipatikane au kuwepo na tume huru ya uchaguzi…lakini nani kati yao ana msimamo huo zaidi ya Lissu!
Chadema lazima wajue kila kitu kinakuja kwa sacrifice wanatakiwa kugomea kila kitu na waendeshe operation ya kuwasahawishi wananchi kugomea uchaguzi mpaka itakapo patikana tume huru au katiba mpya…
Na wanatakiwa kuiambia dunia nzima kuwa hawatoshiriki na movement hii wanaiweza shida ni matumbo kama anavyosema Mwambukusi!
Chadema haitoweza kubadilika hadi watakapo elewa kuwa Lissu anafaa kuwa mwenyekiti kwa nyakati hizi na Lissu ni mtu sahihi kwa siasa hizi za CCM maana hayumbishwi na juice wala hela wala huruma!
Watu wanakata tamaa kuunga mkono chadema kwakuwa hawapo tayari kuacha chakula ili kupambana wakikute baadae …
Guys,
Muda bado upo,
You have to deal with this gentleman swiftly, decisively and technically, yapo mambo muhimu yanafaa kuwa impacted within him, kutoka kwa wazoefu huko oppositions, hususan chadema, and for sure anaweza kuwa menterd and shaped very well na akawa very significant in political sphere in Tz, politically speaking......
Tatizo sio lissu bali watanzania wamelala usingizi wa ponoHata Mimi naunga mkono Lissu apewe uwenyekiti na Mbowe astaafu kwa Sasa awe mshauri tu. Maana yeye ndio kasababisha yote haya.
Wewe mbona kazi unayofanya kila mwisho wa mwezi unadai mshahara
Wanataka wanasiasa wafanye kazi bure sasa familia zao zitaishijeMkuu watu wanafiki sana. Mtu kakaa kwake, akina Lissu wanalimwa risasi na Mbowe kupewa kesi ya ugaidi na hasara nyingi tu, halafu anadai waote wachumia tumbo.
Ndo hapo sasa watu wanaumiza vichwa namna ya kuondokana na mfumo dhalim wa ccm ,yeye ndo anajiona yupo na akili kubwa kuliko watz wote mil 60.Sasa ataanzisha Chama kipi wakati yeye mwenyewe kashasema Upinzani ni kubaya kuliko CCM??
😄😄😄Nimekutishia wapi?. Kukwambia siku yako inakuja nimekutishia?. Nimekuona sehemu unaikanja CHADEMA kijinga nikachukia Sana Tena kwenye suala sensitive wewe unafanya dhihaka. Ndio maana nikakwambia siku yako inakuja.
hivi kususa chaguzi, kususa kutumia mtandao fulani wa simu wakati fulani na hata kule nyuma kwenye kususa bunge la katiba kumewahi kusaidia chochote chadema au upinzani kwa ujumla?Chadema lazima wajue ukweli ni kwamba hawana msimamo na hata mwenye msimamo tofauti na Mbowe ni mbaya kwao!
Lissu alishasema kuwa wasikubali kushiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya lakini wanamuona mjinga na sasa Mwambukusi anawambia ukweli wanamuona anataka ubunge….
Chadema wanashida na ubunge kila mmoja wao kuliko hiyo katiba mpya kwa hiyo Lissu na Mwambukusi wanapoteza muda wao…
Chadema hadi sasa walitakiwa kutangaza kuwa hawatoshirikiana na CCM au Serikali kwenye chochote hadi katiba mpya ipatikane au kuwepo na tume huru ya uchaguzi…lakini nani kati yao ana msimamo huo zaidi ya Lissu!
Chadema lazima wajue kila kitu kinakuja kwa sacrifice wanatakiwa kugomea kila kitu na waendeshe operation ya kuwasahawishi wananchi kugomea uchaguzi mpaka itakapo patikana tume huru au katiba mpya…
Na wanatakiwa kuiambia dunia nzima kuwa hawatoshiriki na movement hii wanaiweza shida ni matumbo kama anavyosema Mwambukusi!
Chadema haitoweza kubadilika hadi watakapo elewa kuwa Lissu anafaa kuwa mwenyekiti kwa nyakati hizi na Lissu ni mtu sahihi kwa siasa hizi za CCM maana hayumbishwi na juice wala hela wala huruma!
Watu wanakata tamaa kuunga mkono chadema kwakuwa hawapo tayari kuacha chakula ili kupambana wakikute baadae …
Unaposema anajazwa ujinga na Dr Slaa inamaana Mwambukusi uwezo wake wa kuchanganua mambo ni mdogo?Tatizo la jamaa anapenda short-cut na kufikiri maisha ni kitu kirahisi sana na anayemjaza huu ujinga ni msaliti dr slaa
Ni Tuntemeke SangaMwanzilishi wa chama ni mtei
Mimi binafsi naamini haki inapiganiwa na sio kususiwa hivyo washiriki uchaguzi mpaka kielewekehivi kususa chaguzi, kususa kutumia mtandao fulani wa simu wakati fulani na hata kule nyuma kwenye kususa bunge la katiba kumewahi kusaidia chochote chadema au upinzani kwa ujumla?
Au kumewahi kubadili kitu chochote?
Tanzania tuna vyama vya siasa zaidi ya 22 vyenye usajili wa kudumu, kachama kamoja kususa uchaguzi kati ya hivyo vyote kataathiri nini unadhani?
Pale Jamuhuri ya Kenya,
Raila Odinga, aliwahi kususa uchaguzi wa marudio, aliambilia nini kama sio kubwekabweka tu.....
Pale Zanzibar,
Hayati Maalim Seiph Sharifu Hamad aliwahi kususa uchaguzi wa marudio, alifaidika na nini zaidi ya kubwekabweka tu.....
Understand the Vision and Mission of Tundu Antipas Lisu and forces bihind him on the move at kususa uchaguzi.
Atawapoteza vizuri mno huyu muungwana na mpotelee kusikojulikana nae akiwachungulia na kuwacheka kwa dharau akila bata na mabwenyenye huko ng'ambo......
Na kwa maneno yao haya wenda ndo maana hata ayo maandamano hayakwenda vizuri, kwa kauli hizi hata yangeenda vizuri kwa vyama kadhaa kushiriki bado ingeonekaka yeye na watu wake ndo kila kituShida ya Mwabukusi anadhani upinzani ni lelemama. Anadharau kila mtu, kila siku ni kuponda upinzani tu. Ameita maanadamano kaona serikali ilivyomwekea ngumu, halafu anadai CCM ni Bora kuliko wapinzani. Sasa si ahamie CCM .
Wapinzani Tanzania ni janga ,hakuna mpinzani ,mnapotezewa muda tu
Tena zuzu ,100% ,Tanzania hakuna upinzani ,msije kujidanganya
Popularity ya chama kikuu cha upinzani Chadema ipo chini kama CCM tu. Kama Mbowe na Lissu wanashindwa kushawishi wananchi kuingia barabarani nini maana yao kuendelea kubaki kwenye hizo nafasi? Imefika mahali mtu kama Sa100 asiyejua hatakuongea na wananchi anakuwa na kiburi cha kulazimisha DP World.
Mtakua mmetekeleza wajibu wenu mwema na wenye nia njema kwake vizur sana.Umeongea Jambo la msingi mkuu, nadhani wampe ushauri wa jinsi ya kufanya mambo. Ila kwa ninavyomuona sidhani Kama atapokea ushauri.
Hakuna UPINZANI Tanzania, msijidanganye na hao walamba Asali kuwa ni wapinzani