Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Asubiri kuoga matusi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima aoge tokea uhuru ccm ndo inatawala miaka 60 alafu lawama anawapa chademaAsubiri kuoga matusi sasa
Tunaungana kwenye kushiriki chaguzi za haki, sio hizo za kwenda kupotezeana muda kisha kupewa viti viwili vitatu vya hisani ili kuhada umma na dunia kuwa Kuna demokrasia.
Ni hivi, tumechoka kuongozwa na chama hiki hiki miaka yote tena kwa shuruti. Tunataka chaguzi za haki anayeshinda ashinde kihalali, na sio kupotezea wanaume muda wao kwenye mistari ya kura, wakati mnalazimisha kuongoza kizazi kilichowachoka. Serekali inaweza kuundwa na watanzania wengine, sio lazima ccm bila ridhaa ya umma.
Aachane nao hawa wanawaza ubunge na ruzukuMwabukusi anaongea fact.
Watu wanawaza ubunge na ruzuku
Logic is simple; Ukishakuwa Mfanyabiashara mkubwa tu, huwezi kuwa mwanaharakati wa mstari wa mbele sababu YOU HAVE SOMETHING TO LOSE. Wanaharakati wote duniani wa Mstari wa mbele, walikuwa ni watu toka vyuoni, wasomi, watu wa mtaani— sababu THEY HAD NOTHING TO LOSE, na sifa kuu ya mpigania haki frontline, anapaswa awe hana cha kupoteza.
CHADEMA miaka 15 iliyopita ilikuwa na watu wenye njaa, vijana wasomi, hawana kazi wala hawana mali, kina Mdee, Kina Nasari, Kina Heche, Kina Wenje leo wote hawa si 'masikini tena', ni wafanyabiashara, wana mikopo benki, wana international business connection, wanafamilia. USITEGEE WAINGIE FRONTLINE KAMWE.
Kinachotakiwa sasa ni hawa kina MBOWE, kina HECHE, MNYIKA, WENJE, wakae pembeni, waendelee kufanya biashara zao na kutajirika zaidi ili wawe wafadhili wa harakati za kisiasa za mstari wa mbele.
Katika mazingira ya sasa, CHADEMA imestuck, wataendelea kuwa wapinzani kama vyeo vya kuendelea kuwa na political influence tu inayowawezesha kujijenga kiuchumi tu.
Na hiki ndicho anachotaka Mwabukusi, kuwachanganya wapinzani kwa kuwatukana kila siku. Mpinzani gani unadai CCM ni Wazuri kuliko upinzani?. Yeye CCM hiyo hiyo imezuia maanadamano yake , Leo anadai ni wazuri. Shauri zake
Mkuu umeongea ukweli mtupu. Mtu anadhani upinzani wanaweza wote kuwa na mtazami mmojaWewe na mkeo (kama unaye) huwa mnakubaliana kila kitu? Hao unaosema wapinzani kuna matoleo kadhaa kuanzia upinzani uliojengeka kwa misingi ya dini, dhehebu, kabila, vyama binafsi vya watu, maslahi binafsi, maslahi ya taifa nk kama wanaharakati walivyo na mirengo tofauti : feminism, usboga, vijana, dini nk. Hivyo haiwezekani wote wakawa na msimamo mmoja kwa kila jambo. Pia sio suala la kulaumu kwani kila mtu anatumia uhuru wake atakavyo mradi havunji sheria.
Hata mtu au chama kijifanye wajanja lakini mwisho wa siku kuzungumza na serikali hakuepukiki ikiwa unataka kupush ajenda ambayo mtu anadhani ina manufaa kwa nchi. Yeye zMwabukusi wacha ajidanganye kiwa anaweza kulazimisha anachotaka yeye ndicho hicho hicho kitimizwe tena na serikali iliyopo madarakani.
Sasa kama ni hivyo kwanini mnawaogopa sana watu wasiyo na uelekeo?nikimkumbuka mbunge flani wa viti maalum alivyompiga mumewe chini baada ya kuwa mbunge alafu kaolewa tena na kigogo wa chama chao ndiyo ninaamin ni maslay tu!
Mimi mpinzani yeyote anayewashambulia wapinzani wenzake kila siku, huku akiwasifu CCM huwa namuona ni pandikizi.
Ndiyo maana nilisema mjadala nawe kwangu utakuwa ni mgumu, kwa sababu unaweka mambo yasiyokuwepo; sijui kwa maksudi tu, au kukosa upeo wa unayo andika juu yake.ccm wako bungeni asilimia 100 wabadilishe sheria mbovu ambazo haziwajibishi waizi wa mali za umma hio lawama tena unawapa chadema hii ni kali
Hili halina ubishi. Liko wazi kabisa......HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani
Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?
kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?
Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"
Chanzo : Jambo Tv
Sasa Mkuu Mwabukusi anapambana na nani na CCM au Wapinzani. Yaani uko vitani na Wenzako ghafula unawageuka na kuanza kuwashambulia, unategemea adui unampunguzia au unamuongezea nguvu?
Haya sasa, unakielewa unacho eleza hapa?Kipindi billcanars inataifishwa, mashamba ya mbowe yanaharibiwa na mkuu wa wilaya kule hai, na kumbuka account za mbowe zimefungwa na zimefunguliwa wakati wa samia au kipindi hiko mbowe anafanyiwa hayo madhila ulikua bado mtoto
Wewe unajua chadema wanapokea rukuzu Bilioni ngapi kwa mwezi? Au mpaka tukuwekee picha za Lissu anatumbua mipaja ya saso akishushia na kilimanjaro ndio utaamini?Lazima aoge tokea uhuru ccm ndo inatawala miaka 60 alafu lawama anawapa chadema
Kazi ambayo JK na Magufuli wameweza nani ataishindwa?So wewe unataka Mbowe, Lema, Lissu, Heche na Sugu waongoze hii nchi? hata mimi ningekuwa usalama wa taifa nisingekubali kamwe hao wahuni wapewe nchi
The Beetles mwaka 1969 waliimba wimbo BACK TO THE USSR huyu ananikumbusha. Kaonja joto ya jiwe, out of the frying pan into the fire, karuka mkojo kakanyaga mavi kweeeeli.HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani
Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?
kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?
Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"
Chanzo : Jambo Tv
Mkuu msimamo wako ni upi kuhusu chadema kushiriki uchaguzi mkuu na katiba hii na tume hii ya uchaguzi?sasa kama wewe hunifahamu hilo tena si kosa langu , najua mmezoea kudanganywa , ila kuhusu mimi muulize Mwakyembe Kyela , mimi ndio nilimstaafisha siasa