denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Nimeona nimuache tu.Duh!
Hii kazi ya kuwa 'tutor' unaiweza kweli? Naona huyo jamaa hana hata chembe ya 'concept' inayohusu siasa.
Kuliwahi kuwepo kwenye vyuo vyetu vikuu takwa la kusomwa na kila mwanafunzi katika fani zote, lililo itwa 'Developmeny Studies', naona mpango huo ulikufa wenyewe baada ya "walaji na wenye maslahi binafsi" kushika hatamu za uongozi wa nchi yetu.
Matokeo yake ndiyo kama ya huyu unayejibishana naye hapa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app