Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Duh!
Hii kazi ya kuwa 'tutor' unaiweza kweli? Naona huyo jamaa hana hata chembe ya 'concept' inayohusu siasa.
Kuliwahi kuwepo kwenye vyuo vyetu vikuu takwa la kusomwa na kila mwanafunzi katika fani zote, lililo itwa 'Developmeny Studies', naona mpango huo ulikufa wenyewe baada ya "walaji na wenye maslahi binafsi" kushika hatamu za uongozi wa nchi yetu.

Matokeo yake ndiyo kama ya huyu unayejibishana naye hapa.
Nimeona nimuache tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Tusiwe wanafiki Mwabukusi yupo vizuri kichwani. Mimi pia nimekuwa nikijiuliza wapinzani utofauti wao na ccm ni upi? Maana siku za Nyuma walipokuwa wabunge ukienda kwenye majibo yao hakuna kitu kipya au ubinifu wowote walioufanya , pesa ya ruzuku ya jimbo sijui walikuwa wanapeleka wapi.

Sio kama wapinzani wazuri hawapo laahasha! Ila upinzani wetu umetengenezwa kutumikia chama zaidi kuliko wananchi na hapo ndipo hoja ya mgombea binasfi inapoanza kuwa na umuhimu. Ukitizama kwa jicho makini upinzani wetu na mwenendo wao utagundua ni bora ccm waendele kutawala tu.
 
Kauli za kinafiki. Unamlinganishaje CCM na upinzani?. Be serious. CCM tangu inaitwa imekaa madarakani miaka 62, halafu unailinganisha na vyama ambavyo havijawahi kudhika madaraka hata kwa siku moja?

Kwa unafiki huu ndio maana serikali ya CCM na bunge la CCM wameamua kuwalipa kiinua mgongo wenzi wa viongozi huku bima ya mtoto ikitolewa na mama mja mzito kufa kwa kukosa lakini moja na nusu.
Wapinzani wenyewe wako waaapi bongo?? Hawa wanaonunuliwa kisha wanavunga kujiudhuru halafu wanachaguliwa tena, rejea awamu iliopita
Wapinzani hawa wanagombea madaraka kwenye taasisi zao,
Wapinzani hawa wanaopeana madaraka, kwa wake na mademu zao, bungeni viti maalum
Narudia tena Bongo siasa ajira wanasiasaa wa sisihemu na upinzani akili mojaa
 
Hizo ni saccos na nguvu ya ccm inasababishwa na huu upinzani wa kiupigaji tulio nao
Vyama vya upinzani hapa nchini ni walamba asali wakuu na wazee wa fursa
Wakiitisha maandamano wenyewe wanayaangalia kupitia tv.
Wakiitisha uko tayari kuandamana au ni keyboard warrior
 
Wapinzani wenyewe wako waaapi bongo?? Hawa wanaonunuliwa kisha wanavunga kujiudhuru halafu wanachaguliwa tena, rejea awamu iliopita
Wapinzani hawa wanagombea madaraka kwenye taasisi zao,
Wapinzani hawa wanaopeana madaraka, kwa wake na mademu zao, bungeni viti maalum
Narudia tena Bongo siasa ajira wanasiasaa wa sisihemu na upinzani akili mojaa
Tatizo watanzania ni mazoba mnataka haki zenu apiganie mtu mwingine huku nyie mkiwa nyuma ya keyboard maisha sio marahisi haki yako unataka wanaume wengine waumie na kukupigania kwa niaba yako

Mwabukusi juzi kaitisha maandamano mbona hamkutokea kumsupport na hapo tena mtaamlaumu mbowe
 
Tusiwe wanafiki Mwabukusi yupo vizuri kichwani. Mimi pia nimekuwa nikijiuliza wapinzani utofauti wao na ccm ni upi? Maana siku za Nyuma walipokuwa wabunge ukienda kwenye majibo yao hakuna kitu kipya au ubinifu wowote walioufanya , pesa ya ruzuku ya jimbo sijui walikuwa wanapeleka wapi.

Sio kama wapinzani wazuri hawapo laahasha! Ila upinzani wetu umetengenezwa kutumikia chama zaidi kuliko wananchi na hapo ndipo hoja ya mgombea binasfi inapoanza kuwa na umuhimu. Ukitizama kwa jicho makini upinzani wetu na mwenendo wao utagundua ni bora ccm waendele kutawala tu.
Mbona juzi mwabukusi kwenye maandamano alioitisha hukumsupport na hapo tena utamlaumu mbowe

Tatizo sio wapinzani bali uwepo wa kizazi cha watu waoga unawalaumu ni walamba asali wakati wanapitia mateso kipindi cha magufuli mliwasaidia nini

Tindu lisu kapigwa risasi mchana kweupe watanzania walimsaidia nini hakuna zaidi ya mbowe na wenzake ndo waliompigania maisha yake

Mbowe kaharibiwa mali zake kaonewa lakin wananchi walimsaidia nini si walibaki kumuangalia tu alafu leo bila kuwa na mshipa wa aibu una-watuhumu

Kwenye maisha usiwe unapenda dezo dezo we ni mwanaume kama wapinzani hawafai anzisha wewe harakati za upinzani una haki hiyo na ruhusa lakin kuendelea kuwalaumu huku ukiwa huna msaada wowote kwao hasa wakipitiq magumu ni ujinga wa hali ya juu sana
 
Tatizo watanzania ni mazoba mnataka haki zenu apiganie mtu mwingine huku nyie mkiwa nyuma ya keyboard maisha sio marahisi haki yako unataka wanaume wengine waumie na kukupigania kwa niaba yako

Mwabukusi juzi kaitisha maandamano mbona hamkutokea kumsupport na hapo tena mtaamlaumu mbowe
Kijana huoo upumbavu wa kuandamana nlishaufanya saaana enzi hizo, hao viongozi wako unaowataja wao huwa wanaandamana wakiwa makwao wanakichek wanaondamana kwenye TV,
Halafu wakipata madaraka wananunuliwa halafu wanakuja kutusema tuliovuja jasho tukiwatetea na kulinda kura zao
Mbona wapo weengi nimekwambia mfano mzuri rudi awamu iliopitaa
 
Kijana huoo upumbavu wa kuandamana nlishaufanya saaana enzi hizo, hao viongozi wako unaowataja wao huwa wanaandamana wakiwa makwao wanakichek wanaondamana kwenye TV,
Halafu wakipata madaraka wananunuliwa halafu wanakuja kutusema tuliovuja jasho tukiwatetea na kulinda kura zao
Mbona wapo weengi nimekwambia mfano mzuri rudi awamu iliopitaa
Sio tu kuandamana huo ni mfano
Sawa hawafai anzisha wewe harakati za upinzani kwanini unalaumu watu kwa jambo unaloweza

Hii nchi ya hovyo sana kuna-group kubwa la wanaume wanataka wanaume wengine kwa niaba yao mkuu maisha sio marahisi hivyo

Eti hawafai kwa kukujiamini kabisa ingia front kwenye harakati za upinzani kwani umenyimwa uone zilivyo unafikiri ni lele-mama
 
Sio tu kuandamana huo ni mfano
Sawa hawafai anzisha wewe harakati za upinzani kwanini unalaumu watu kwa jambo unaloweza

Hii nchi ya hovyo sana kuna-group kubwa la wanaume wanataka wanaume wengine kwa niaba yao mkuu maisha sio marahisi hivyo

Sio tu kuandamana huo ni mfano
Sawa hawafai anzisha wewe harakati za upinzani kwanini unalaumu watu kwa jambo unaloweza

Hii nchi ya hovyo sana kuna-group kubwa la wanaume wanataka wanaume wengine kwa niaba yao mkuu maisha sio marahisi hivyo

Eti hawafai kwa kukujiamini kabisa ingia front kwenye harakati za upinzani kwani umenyimwa uone zilivyo unafikiri ni lele-mama
Ndo maaana nikasema mwanasiasa wa kuja kumkomboa mbongo kizazi hiki hayupooo,
Mie sio mwanasiasa na nawachukia wanasiasa hususani wa kibongo wanaowatumia vijana kwa maslahi yao binafsi
Kama weweee ni mwanasiasa na inakulipa endelea kujipatia ugali wako kupitia siasaa
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Ndiyo unatambua leo!!
Lissu unamjua vizuri?
 
Ndo maaana nikasema mwanasiasa wa kuja kumkomboa mbongo kizazi hiki hayupooo,
Mie sio mwanasiasa na nawachukia wanasiasa hususani wa kibongo wanaowatumia vijana kwa maslahi yao binafsi
Kama weweee ni mwanasiasa na inakulipa endelea kujipatia ugali wako kupitia siasaa
Wakati wanapitia maumivu wao na familia zao wewe ulikua na msaada gani kwao wakati mbowe mali zake zinaharibiwa ulikua na msaada gani kwake, lisu kapigwa risasi tulikua na msaada gani kwao hamna

hukua na msaada wowote wakipitia bonde la uvuli wa mauti sasa usiwalaumu wakiwa-wananufaikwa maisha sio marahisi hivyo kwamba unategemea mtu mwingine aumie yeye na familia yake ili kufurahishe wewe ukiwa umekunja nne unamuangalia
 
Wakati wanapitia maumivu wao na familia zao wewe ulikua na msaada gani kwao hukua na msaada wowote sasa usiwalaumu wakiwa-wananufaikw ndo wao
Na wakati vijana wakiuliwa na wengine kupata ulemavu wa kudumu hao wanasiasa wako huwa wana msaada gani kwa hizo familia
 
Huo upande ambao upo hakuna hata anastahili kufunga viatu vya JK or JPM, these guys are the LEGENDS!! Ni kichaa pekee anaweza fananisha CVs za akina JK kwenye nchi hii na waganga njaa akina Lema, Mbowe, Sugu, Msigwa, Lissu, Sugu na WAHUNI wa aina hiyo. Bora CCM waongoze milele na siyo kuwapa nchi hao waganga njaa
Hao unawaona Bora kwakuwa ndio waliopata hiyo nafasi, kwa taarifa yako ni wa kawaida sana.
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Mkuu usilaumu wapinzani wenzako, laumu wananchi au jamii unayoitetea ndiyo imeshindwa kusimama na wewe! Kwani unatetea wapinzani au wananchi?
 
Back
Top Bottom