Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Mbowe familia yake ni tajiri kabla hata ya uhuru hana njaa kama hizo unazoziongolea
Haihitaji mtu kuwa na "njaa" kutaka kukusanya zaidi na zaidi ya alicho nacho.

Lakini pamoja na kukueleza haya, bado hutambui kabisa maudhui ya mjadala huu ulivyo. Kiufupi, kama nilivyo eleza toka mwanzo unao upungufu mkubwa sana katika upeo wako wa kuangalia na kutambua mambo yalivyo.
 
Siasa ni kazi ambayo hata wewe uko eligible kugombania
Acha kulalamika na majungu changamkia fulsa
Siwezi kutumia fursa za matatizo ya watu ku capitalize kwa faida binafsi bora niendelee kupambania hizi hizi senti. Siasa isipoleta matokeo tarajiwa siku moja tutashangazwa.
 
Siwezi kutumia fursa za matatizo ya watu ku capitalize kwa faida binafsi bora niendelee kupambania hizi hizi senti. Siasa isipoleta matokeo tarajiwa siku moja tutashangazwa.
Makampuni yote duniani yana-solve matatizo ya watu ndo yanapata fedha we wawapi

Piga picha magonjwa yasingekuwepo hizi hospitali, ngo zote wangekua hawana kazi
Dunia hii kila mtu kwa nafasi yake ana-capitalize kwenye matatizo ya watu
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.
Chanzo : Jambo Tv
Naunga mkono hoja, niliwahi kusema CCM ni zimwi, na wapinzani ni mazimwi, Watanzania wanaamua bora kulichagua zimwi likujualo!. Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Kuna wengi walidhani Chadema ina afadhali kumbe Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Tanzania hatuna any serious opposition Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

Sababu ya kufanya tukose upinzani imara Tanzania ni kwasababu wapinzani hawajui wanataka nini!, Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Kwa uchaguzi wa 2025, tumewashauri wapinzani wajikite kwenye ubunge na udiwani urais bado ni CCM! Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
Kwenye urais, wapinzani wajaribu Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
 
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI

Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku kwetu kwenye upinzani

Hakuna mtu yuko tayari kumwambia kiongozi wake kwamba anayoyafanya hayako sawa, hatuna hata mgambo lakini nakuhakikishia sisi wapinzani ni wabaya kuliko hawa walioko madarakani, tunaogopana kuambiana ukweli, sisi na CCM hatuna tofauti kabisa.

Najiuliza kwanini wapinzani tunashindwa kuonyesha msimamo?

kwanini twende kushiriki uchaguzi bila katiba mpya?

Nilishasema kuna biashara ya Demokrasia inafanyika hapa nchini"

Chanzo : Jambo Tv
Sisi watanzania ni wajinga, ndiyo maana Nyerere mwaka 95 alisema kama Ccm watangangania kumsimamisha Malecela, yeye hatokaa kimya ataweka tajiri mpya ktk landrova yake atazungumza kuwaambia wananchi wasiichangue Ccm, kwani wananchi hawaelewi!
Mwambukusi kubeza kazi za wenzake wanazifanya kwa gharama za damu na kufilisiwa mali zao yeye akiwa kivukoni ameketi akizunguka na kiti ni kwakuwa katuona sisi ni wajinga wa kudanganya tu!
Wenzake wapo field kuwaelimisha wananchi ili wasimame pamoja kudai haki, yeye anataka tususie uchaguzi ili Ccm waendelee kutawala!
Kazi yenu na Dr. Silaa tumeiona! Ni kuvuruga watu ili wasonge mkono harakati za upinzani.
Msitufanye wajinga! 2019 CDM walisusia uchaguzi, nini kilitokea? Afadhali hata 2020 dunia ilijiona uovu wa CCM kuliko 2019 CDM walipo susia uchaguzi!
Kuisusia ccm uchaguzi, ni kuiruhusu ccm kuendelea kutawala! Tunataka wapinzani wahamasishe wananchi ili wajue haki yao ili wadai haki ya kujichagulia viongozi wao!
 
Back
Top Bottom