Wakili Mwakabusi atoa wito kwa Spika wa Bunge na Mbarawa wajiuzulu kutokana na mkataba wa DPW

Wakili Mwakabusi atoa wito kwa Spika wa Bunge na Mbarawa wajiuzulu kutokana na mkataba wa DPW

Makubaliano yenye vifungu vya kufungana hadi kupelekana mahakamani South Africa na kesi kuendeshwa kwa kiingereza, makubaliano tu hadi kupelekana kwa koti, hii hata mtoto wa chekechea ngumu kumdanganya.
Uelewa mdogo halafu unataka kupotosha wengine. Iwapo katika hiyo mikataba watakayoingia kutotakea kutoelewana ndio watapelekana South Africa. Na hii ni taratibu ya kawaida kwenye masuala ya mikataba ya kimataifa.
 
Uelewa mdogo halafu unataka kupotosha wengine. Iwapo katika hiyo mikataba watakayoingia kutotakea kutoelewana ndio watapelekana South Africa. Na hii ni taratibu ya kawaida kwenye masuala ya mikataba ya kimataifa.
Kuna tija gani kujifunga kwenye mkataba wa kipuuzi kwa jambo dogo la kuendesha bandari, hopeless!!
 
upuuzi mtupu hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Waachane na kesi wakakuchimbie visima ? You are a freaking retard ...

Wenzako wanafikiria makubwa kuliko kuchimbiana visima...

Wewe maendeleo ya nchi yako kwa upeo wako yanaishia kwenye kuchimbiwa visima...

Watu wauze rasilimali za nchi wakajijengee makathiri yenye maji ya bomba, nyinyi wakawachimbie visima, unaridhika...

Serikali imewa indoctrinate watu kwa kuwaimbia wimbo wa visima, matundu ya vyoo, vyumba vya madarasa na vituo vya afya bila dawa. NHIF inamlazimisha dokta akuandikie dawa mbovu kwa sababu huna bima kubwa waliyonayo watumishi wa BOT, TRA, BUNGE, NSSF, NMB, IKULU. Lakini umeaminishwa maendeleo ni kuchimbiwa visima.

That's such a pea brained ambition. Pea, njegele. Mawanda ya ubongo wako ni ya saizi ya njegele
 
Kuna tija gani kujifunga kwenye mkataba wa kipuuzi kwa jambo dogo la kuendesha bandari, hopeless!!
Halina udogo kwa serikali labda kwako wewe usiye na uelewa wa ulimwengu mpana wa biashara ya bandari.

DPW anamiliki mali huko DRC na Rwanda hivyo anakamata the whole logistic chain kuanzia huko kwenye mali mpaka zinapokwenda kuuzwa.

Hii ni biashara iliyosababisha kwa kiasi kikubwa ikajengwa reli ya SGR na hayati JPM.
 
Halina udogo kwa serikali labda kwako wewe usiye na uelewa wa ulimwengu mpana wa biashara ya bandari.

DPW anamiliki mali huko DRC na Rwanda hivyo anakamata the whole logistic chain kuanzia huko kwenye mali mpaka zinapokwenda kuuzwa.

Hii ni biashara iliyosababisha kwa kiasi kikubwa ikajengwa reli ya SGR na hayati JPM.
Kampuni binafsi haiwezi kuingia mkataba wa kuifunga nchi, huu ni uhuni........tuwekee hapa mkataba wa TICTS tuone kama na wenyewe waliweka masharti lukuki ya kudhalilisha nchi na kuifanya mateka kama haya ya mwarabu.
 
Kampuni binafsi haiwezi kuingia mkataba wa kuifunga nchi, huu ni uhuni........tuwekee hapa mkataba wa TICTS tuone kama na wenyewe waliweka masharti lukuki ya kudhalilisha nchi na kuifanya mateka kama haya ya mwarabu.
Mkataba wa TICTS kautafute katika archives za serikali. Nenda huko serikalini kautafute. Au kwa mwanasheria mkuu.

Kwanza uijue hiyo kampuni inayotaka kuingia mkataba na Tanzania ina ukubwa upi ndio uje na hoja zako hizo.
 
Kama wew unatokea familia ya kawaida, na siyo hizo za mafisadi, wanafiki, wenye kujifanya Wazalendo wa Taifa ungekuwa na akili yenye kutathimin mambo kwa kina., ila kama unatokea hizo familia endelea na mteremko ila kaa ukijuwa mbele kidogo kuna mlima.
Mkuu kinachokusumbua sana ni Usukuma gang au umasikini wako
 
Mkuu kinachokusumbua sana ni Usukuma gang au umasikini wako
Toka kuzaliwa sijawahi kuwa MASIKINI mpaka kufa kwangu., ila tafuta kazi uache uchawa kwa watawala na elimu yako yakuungaunga hiyo..,
 
Wewe ni kichwa maji fulani. Linaitwa azimio la makubaliano. Kwa ukubwa wa mradi mzima wa DP ililazimu bunge liwe ndio mdhamini wa nchi. Taasisi kubwa inapokuja kufanya biashara na nchi ni bunge linalokuwa mdhamini.
Ukisoma tena ulichoandika, kama una watu wanaokutegemea huko kwenu, utaanza kuwaonea huruma mwenyewe.
 
Cha ajabu wananchi bado wanaamini CCM ndio chama kinachoweza kuwavusha ktk bahari ya umaskini...hakika watanzania tumelishwa limbwata!!
Fanya kazi, hakuna serikali itakuja kukugawia hela.
 
Ngoma inogile:

View attachment 2677538

Kwenu chawa na watajwa wote habari ndiyo hivyo.

View attachment 2677540

Rasilimali ni za wananchi. Kwenye hilo tutaelewana tu!
Tulia amedhalilisha bunge kwa kutokutimiza wajibu wake kama kiongozi wa mhimili wa pili wa utawala. Ameshirikiana na utawala kuficha na kupotosha taarifa ambayo wabunge walipaswa kupata muda kuielewa kabla ya kuijadili. Pia aliwanyanyasa wabunge waliyohoji dhidi ya muswada wa kuridhia bandari na miundombi yake nchini kudhibitiwa na serkali ya dubai kwa masharti ambapo nchi inapoteza uhuru wake.
 
Ukisoma tena ulichoandika, kama una watu wanaokutegemea huko kwenu, utaanza kuwaonea huruma mwenyewe.
Mkuu wakati sisi tunapoteza muda kwenye ujuaji wa kinachandikwa, Zambia jirani yetu kaamua kupitisha mzigo wake katika bandari ya Lobito ya Angola.

Sisi tunapoteza muda wa kutaka demokrasia pana na uhuru mwingi wa kujadiliana ili tuonyeshe ujuaji wetu wa kuandika na kuongea wakati huo huo tunapewa onyo la vitendo na majirani zetu. Kwamba tunaweza kupoteza kabisa maana ya ujenzi wa SGR iliyojengwa kwa matrilioni ya pesa, kipumbavu tu!.

Mtu amehangaikiwa kusomeshwa na taifa lake mpaka kawa mtu mzima, lakini malipo yake ni kuifanyia fitina nchi yake hiyo hiyo inayomsomesha na kumhangaikia!. So sad.
 
Toka kuzaliwa sijawahi kuwa MASIKINI mpaka kufa kwangu., ila tafuta kazi uache uchawa kwa watawala na elimu yako yakuungaunga hiyo..,
Sasa mimi na elimu ya kuungaunga wapi na wapi, elimu yenyewe sina na wala siyo hitaji langu. Hivi kama umgekuwa hata na 10 million ungeandika huo ujinga?
 
Back
Top Bottom