Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

Wakili Pasco Mayala ameshinda kesi zipi, au anaishia kugongesha muhuri mauziano ya viwanja tu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
 
Screenshot_20240714-102437.png





Screenshot_20240714-102450.png
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Wakili siyo lazima ashinde kesi, kinachotakiwa kwa Wakili ni kuingiza hela
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Hata mimi nilikuwa ninajiuliza mpaka siku nilipokutana na habari kuwa Paskal ni maarufu sana visiwa vya Tonga na huko kwa waeskimo, yeye ni wa kimataifa.
 
Moderator msaada rekebisha.....ameshinda kesi zipi.....
Hajawahienda hata law school

Hata kama angeenda kwa uchawa wake kwa Serikali na Chama asingeweza simama mahakamani kuipinga Serikali kwa kigezo Cha kuwateteea walalahoi

Yuko radhi alambe matako ya wenye madaraka Ili tu kikampuni chake kipande tenda za kuhost sherehe za 7/7 au 8/8

Au kufukuzia teuzi za uDC na uRC


He is too coward to stand up for anything


We si unaona hata nyuzi zake humu ni ndeeeeefu kama kitabu Cha Barua Ndefu Kama Hii

Tena ni za kuuma na kupuliza bila ya kuwa msimamo maalumu

Zimejaa question marks ili likitokea la kutokea aseme nilishatabiri


Ndumilakuwili huyo
 
Habari wana ndugu
Habari zinasema mwanahabari mwandamizi Pasco Mayala ni wakili msomi.
Kumekuwa na kesi mbalimbali zinazovuta hisia za watu ikiwemo zile kesi ambazo mawakili maarufu kama Madeleke, Kibatala, Matata hutokea kusaidia jamii ili kuweka mambo sawa na kuondoa uonevu kwa jamii inayoonewa na mafisadi. Lakini kwenye kesi hizi hatumsikii Pasco

Sasa najiuliza, yeye Pasco ameshinda kesi zipi?
Au bado yupo intern sehemu?
Au anaishia kugongesha mihuli tu kwenye mikataba ya mauziano ya mashamba na viwanja, ku certfy vyeti na kutengeneza Affidavit?

Naomba kuuliza Pascal Mayalla
Usijali na mtetea Pasco,mambo mazuri hayahitaji haraka P anapiga jaramba,akiibuka mwenyewe utakuja hapa kuwa shuhuda.Ila isiwe tu nanapanga kurudi kuchukua jimbo la Kawe,ikiwa hivyo tujue hamna shughuli tena😂
 
Hajawahienda hata law school

Hata kama angeenda kwa uchawa wake kwa Serikali na Chama asingeweza simama mahakamani kuipinga Serikali kwa kigezo Cha kuwateteea walalahoi

Yuko radhi alambe matako ya wenye madaraka Ili tu kikampuni chake kipsnde za kuhost sherehe za 7/7 au 8/8

Au kufukuzia teuzi za uDC na uRC


He is too coward to stand up for anything


We si unaona hata nyuzi zake humu ni ndeeeeefu kama kitabu Cha Barua Ndefu Kama Hii

Tena ni za kuuma na kupuliza bila ya kuwa msimamo maalumu

Zimejaa question marks ili likitokea la kutokea aseme nilishatabiri


Ndumilakuwili huyo
Mhhh!
 
Back
Top Bottom