Wakili Peter Madeleka ameachiwa kwa dhamana ya Polisi, ameteswa sana kupata kipigo kisichofaa

Wakili Peter Madeleka ameachiwa kwa dhamana ya Polisi, ameteswa sana kupata kipigo kisichofaa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Screenshot_20220425-170302.jpg
 
Haya mambo yapo kila nchi na hayatakaa yaishe Duniani.

Kumbukia Julian Assange wa wikileaks ambaye alizeekea ubalozini Uingereza.

Na Yule mmarekani mwingine aliyetoa siri za CIA mpaka sasa yuko ukimbizini.

Cha msingi watanzania hasa nyinyi mnaotafuta umaarufu kupitia hizo Club houses na Twitter.

Muelewe kuongea kwa kuwa na mipaka,maana uhuru bila utii ni sawa na uendawazimu.

Kuna njia nyingi za kuongea na kujenga hoja bila kutumia lugha zenye maudhi au kejeli kwa wengine.

Hao Diaspora mnaokutana huko na kufanya mijadala yenu,wengi wana stress zao kimaisha huko ughaibuni na huko club house inakuwa sehemu za kuja kutolea nyongo zao.

Madeleka anaugomvi wake binafsi kumtetea mkewe huko uhamiaji na sasa anajisahau na kuona kama anagombana na mtu mmoja kumbe sivyo.

Hizo ndio Consequence zenyewe!
 
Haya mambo yapo kila nchi na hayatakaa yaishe Duniani.

Kumbukia Julian Assange wa wikileaks ambaye alizeekea ubalozini Uingereza.

Na Yule mmarekani mwingine aliyetoa siri za CIA mpaka sasa yuko ukimbizini.

Cha msingi watanzania hasa nyinyi mnaotafuta umaarufu kupitia hizo Club houses na Twitter.

Muelewe kuongea kwa kuwa na mipaka,maana uhuru bila utii ni sawa na uendawazimu.

Kuna njia nyingi za kuongea na kujenga hoja bila kutumia lugha zenye maudhi au kejeli kwa wengine.

Hao Diaspora mnaokutana huko na kufanya mijadala yenu,wengi wana stress zao kimaisha huko ughaibuni na huko club house inakuwa sehemu za kuja kutolea nyongo zao.

Madeleka anaugomvi wake binafsi kumtetea mkewe huko uhamiaji na sasa anajisahau na kuona kama anagombana na mtu mmoja kumbe sivyo.

Hizo ndio Consequence zenyewe!
Wewe utakuwa ni sukuma gang, siyo kwa ujinga huu
 
Anakosea kuita Sukuma Gang

Ila anamaanisha ni wale watu wanaoamini katika siasa za kibabe za kutumia vyombo vya dola kutesa wapinzani wako, ambazo ndio Magufuli na watetezi wake walizikuza sana

Ila haihusiani na Wasukuma
Kwani ni tafsiri kutokea wapi? Wabongo kwa kubumba watu!
 
Wapi imeandikwa amepigwa.Yaani tafsiri yenu ya udikteta ni kwamba watu wasihojiwe na Polisi wakishukiwa kutenda jinai?
Hamna Taifa la namna hiyo duniani.Yeye nani mpaka akishukiwa kutenda jinai asihojiwe?
Yaani hiyo Nchi ya Utopia unayoitaka wewe haipo.
 
Haya mambo yapo kila nchi na hayatakaa yaishe Duniani.

Kumbukia Julian Assange wa wikileaks ambaye alizeekea ubalozini Uingereza.

Na Yule mmarekani mwingine aliyetoa siri za CIA mpaka sasa yuko ukimbizini.

Cha msingi watanzania hasa nyinyi mnaotafuta umaarufu kupitia hizo Club houses na Twitter.

Muelewe kuongea kwa kuwa na mipaka,maana uhuru bila utii ni sawa na uendawazimu.

Kuna njia nyingi za kuongea na kujenga hoja bila kutumia lugha zenye maudhi au kejeli kwa wengine.

Hao Diaspora mnaokutana huko na kufanya mijadala yenu,wengi wana stress zao kimaisha huko ughaibuni na huko club house inakuwa sehemu za kuja kutolea nyongo zao.

Madeleka anaugomvi wake binafsi kumtetea mkewe huko uhamiaji na sasa anajisahau na kuona kama anagombana na mtu mmoja kumbe sivyo.

Hizo ndio Consequence zenyewe!
Vijana wa hovyo imekuaje kwani,hivi mama yenu kutokea mlango wa taka kuna uhusiano wowote na sisi wamitandaoni?!
Leo mmetumwa kuchafua MariaSpaces na Clubhouse.

Katiba mpya ni lazima na ni sasa.
 
Anakosea kuita Sukuma Gang

Ila anamaanisha ni wale watu wanaoamini katika siasa za kibabe za kutumia vyombo vya dola kutesa wapinzani wako, ambazo ndio Magufuli na watetezi wake walizikuza sana

Ila haihusiani na Wasukuma
Uko sahihi kabisa mkuu, sukuma gang haina uhusiano na wasukuma kama kabila. Japo ndani ya Sukuma gang pia kuna wasukuma kama ambavyo kuna makabila mengine kwa wahaya na wagogo
 
Haya mambo yapo kila nchi na hayatakaa yaishe Duniani.

Kumbukia Julian Assange wa wikileaks ambaye alizeekea ubalozini Uingereza.

Na Yule mmarekani mwingine aliyetoa siri za CIA mpaka sasa yuko ukimbizini.

Cha msingi watanzania hasa nyinyi mnaotafuta umaarufu kupitia hizo Club houses na Twitter.

Muelewe kuongea kwa kuwa na mipaka,maana uhuru bila utii ni sawa na uendawazimu.

Kuna njia nyingi za kuongea na kujenga hoja bila kutumia lugha zenye maudhi au kejeli kwa wengine.

Hao Diaspora mnaokutana huko na kufanya mijadala yenu,wengi wana stress zao kimaisha huko ughaibuni na huko club house inakuwa sehemu za kuja kutolea nyongo zao.

Madeleka anaugomvi wake binafsi kumtetea mkewe huko uhamiaji na sasa anajisahau na kuona kama anagombana na mtu mmoja kumbe sivyo.

Hizo ndio Consequence zenyewe!
Nchi hii ingekuwa na wajinga kama wewe enzi za ukoloni tusingepata uhuru
 
Back
Top Bottom