britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hakuna u dikteta wowote hapo mtanisamehe ambao ntawagusa jichoni! Kwasasa CHADEMA imepoteza maarufu baada ya dikteta kufa kwakuwa hakuna ajenda sahihi na maalumu!
Wote akina Lema sijui Maria wote marafiki zangu Kabisa ila kuna mawazo unaweza kuyasikia ukajiuliza kwamba Kumbe hasara ya Magufuli nchini hapa haikuwa tu kuburuta nchi bali kutumislead tukadhani wanaharakati wako real na wapinzani wako real kama wakipata mtu wa kutokuwa Dikteta, alivyoondoka nikagundua Kumbe wengi walitambalia matukio yake ya Mabavu kupata agenda sasa hazipo !!!!
Nimewagusa wale wa CHADEMA na wanachato ntasubiria mapovu nifulie nguo
Britanicca 25/04/2022 … 17:14 EUROPEAN TIME GMT+1
Wote akina Lema sijui Maria wote marafiki zangu Kabisa ila kuna mawazo unaweza kuyasikia ukajiuliza kwamba Kumbe hasara ya Magufuli nchini hapa haikuwa tu kuburuta nchi bali kutumislead tukadhani wanaharakati wako real na wapinzani wako real kama wakipata mtu wa kutokuwa Dikteta, alivyoondoka nikagundua Kumbe wengi walitambalia matukio yake ya Mabavu kupata agenda sasa hazipo !!!!
Nimewagusa wale wa CHADEMA na wanachato ntasubiria mapovu nifulie nguo
Britanicca 25/04/2022 … 17:14 EUROPEAN TIME GMT+1