Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Hiyo ndio ilani ya CCM?Joined Sep 12, 2020, njaa inakusumbua kwanini usiingie na jina lako la kawaida>
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio ilani ya CCM?Joined Sep 12, 2020, njaa inakusumbua kwanini usiingie na jina lako la kawaida>
Ooh kumbe! Ndiyo maana mimi nikirudisha tusi tu kwa hao wanaufipa napigwa ban. Itafika tutawaachia JF yao ili wawe wanashangilja wao kwa wao wakifikiri wameshinda kumbe intelligence people wameshaamua kutoka nje ya JFMods wamepewa instructions kufungia members bila sababu zozote za msingi. Amri kutoka kwa mlevi wa konyagi.
Jiwe angelazwa kidogo kule angalau 5 yrs hivi ili nae asikie uchungu wa kulaza wenzie 5 yrs nao huku mafile yao akiyachoma Moto kabisa ushahidi usikamilikeHawajielewi hao ujue amsterdam anafile kesi moja kwa moja The Hague
Waambie mods waruhusu just 30 minutes ili nikupe vidonge vya kutosha!Umunyoshe nani? Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe, eti uninyoshe
Unaifahamu nchi ilikuwa inaitwa Rhodesia au Mozambique vipi Angola, Sud Africa, Namibia hizo nchi tuliwasaidia kupata uhuru wa bendera sasa tunajikwamua kuwa na uhuru wa kiuchumi na JPM ndio yupo ngangari hadi kieleweke.Sasa afrika imekomboka nn
Wewe ni mbumbumbu wa kila kitu.Hawajielewi hao ujue amsterdam anafile kesi moja kwa moja The Hague
Waulize vijana wa Chadema aka mlevi wa konyagi jinsi walivyopanga.Jiwe angelazwa kidogo kule angalau 5 yrs hivi ili nae asikie uchungu wa kulaza wenzie 5 yrs nao huku mafile yao akiyachoma Moto kabisa ushahidi usikamilike
Uchumi upi kwa mawazo ya kijima,kwa falsafa zilizofeli kila sehemu duniani.Uliona wapi kusomesha watu namba,kukaza vyuma,kuuwa sekta binafsi,kuzuia mzunguko wa pesa,kuuwa diplomasia kukauza uchumiUnaifahamu nchi ilikuwa inaitwa Rhodesia au Mozambique vipi Angola, Sud Africa, Namibia hizo nchi tuliwasaidia kupata uhuru wa bendera sasa tunajikwamua kuwa na uhuru wa kiuchumi na JPM ndio yupo ngangari hadi kieleweke.
Huwezi jua mpaka utakapo barehe kwenye kichwa chako!Uchumi upi kwa mawazo ya kijima,kwa falsafa zilizofeli kila sehemu duniani.Uliona wapi kusomesha watu namba,kukaza vyuma,kuuwa sekta binafsi,kuzuia mzunguko wa pesa,kuuwa diplomasia kukauza uchumi
Njaa inakusumbua njoo nikuajiri. Mlevi wa konyagi anakushindisha njaa.Hiyo ndio ilani ya CCM?View attachment 1581856
Kwa lipi?Robati anawatwanga CCM kote kote!
Alishindwa Lowassa atakuwa huyu Kilema!!?Jiwe kwenye box anapigwa saa tatu asubui labda atumie plan b
Kemia na uchumi wapi na wapi,kemia inahitaji claiming capacity na sio reasoning capacityHuwezi jua mpaka utakapo barehe kwenye kichwa chako!
Uchumi upi kwa mawazo ya kijima,kwa falsafa zilizofeli kila sehemu duniani.Uliona wapi kusomesha watu namba,kukaza vyuma,kuuwa sekta binafsi,kuzuia mzunguko wa pesa,kuuwa diplomasia kukauza uchumi
Bila yeye Lisu angekuwa ndaniKwa lipi?
Mbona Deni la taifa linaongezeka sio kila mtz Ni kilazaView attachment 1581861
Hayo ni matokeo tangu JK aondoke uchumi umekua mara dufu, kama hupendi nenda kajinyonge.
Lowasa hawezi mikiki pia alikuwa pandikizi, thus alikubali mapema,Moto mnao this timeAlishindwa Lowassa atakuwa huyu Kilema!!?