minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
CCM ya sasa ni shetani aliyaganda TanzaniaZile pyu pyu zisingetokea Dodoma wala Robert Amstedam asinge yajua haya ya Tanzania na CCM mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ya sasa ni shetani aliyaganda TanzaniaZile pyu pyu zisingetokea Dodoma wala Robert Amstedam asinge yajua haya ya Tanzania na CCM mpya.
Pepo mchafu atoke atoke Sandali AliCCM ya sasa ni shetani aliyaganda Tanzania
Hakuna kuwaacha mkuu ,tz nisehemu ya dunia, ukifanya yasiyo dunia haiwezi kuchekea ,eti nchi huru kwani kuwa huru ndo ufanye Mambo yasiyostahimilika alafu dunia ikuchekee.Hii ni nchi huru watuache! Nasema tena watuache
Mda huu atakuwa busy kuomba hifadhi kwa kagame maana akisalia chato atakuwa mgeni wa mahakamani kila siku kujibu tuhuma za kuwapora wafanyabiashara wakubwa mali pesa zao kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi unyanyasaji uonevu uovu wa kuwapiga risasi wapinzani kuwanyima pesa za matibabu kuwapora ubunge na mengineyo mengi mabayaAsubuhi asubuhi dictator tutamgeuza kitoweo October 28!
Hafai hata kidogo na hatumtaki.
Mkuu ustaarabu wa magufuli na ccm unatia shaka sana,yaani huwa sipati picha huyo mtu wenu asinge soma angekuwaje.pamoja na uroho wake wa madaraka mwambieni akifanya ujinga sawa na ule aliofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa atawafanya wanyonye Yazidi kunyongekaUchaguzi utakuwa huru na haki, ila hakuna panya wa kutufunfindisha cha kufanya
Kama Chadema mliwadanganya mtashinda Uchaguzi poleni, kuleni hayo mabilion ya Uchaguzi mliopewa mrudi ubeligiji
Kuwa Nchi huru siyo kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani na watu wanaokukosoa hakuna Nchi huru iliyo nje ya jumuia za kimataifaHakuna kuwaacha mkuu ,tz nisehemu ya dunia, ukifanya yasiyo dunia haiwezi kuchekea ,eti nchi huru kwani kuwa huru ndo ufanye Mambo yasiyostahimilika alafu dunia ikuchekee.
Waambie majeshi na usalama wenu TISS waondoke Zanzibar kwanza na kibaraka wenu kutoka MkurangaHii ni nchi huru watuache! Nasema tena watuache
Wait and seeMikwara tu hakuna lolote Watanzania tunaamuaa Wenyeweee Mambo yetu!!
Sawa kabisa!! Wewe ndo umeelewa!! Wamesemaje??😂😂Nadhani kikichoa dikwa hapo hujakielewa
Kuna yule alituita lofa naona umemuweka hapo. Naye alikuwa na matumaini kama yakoMtapigwa tatu bila ushindi wa Ccm ni 98%
Ya Malawi Zambia kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania lazima CCM kiwe chama cha upinzani kama Kanu ya kenyaMkuu ustaarabu wa magufuli na ccm unatia shaka sana,yaani huwa sipati picha huyo mtu wenu asinge soma angekuwaje.pamoja na uroho wake wa madaraka mwambieni akifanya ujinga sawa na ule aliofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa atawafanya wanyonye Yazidi kunyongeka
huyo punguani hawezi kukujibu
Lissu hatufai kwa maslahi mapana ya taifa letu, tumkatae kwa nguvu zote