minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mtukufu magufuli kasahau kuwa walikuwepo madikteta wakali akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu leo hii wapo wapi? hakuna mabaya yasiyo na mwisho, juzi juzi wamemnyamazisha mzee mkapa baada ya kuona atatoa siri za mikataba ya madini vipo vingi vinawatafuna CCM hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu kubwa