Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kila la kheri,ila wamepata Aibu huko mtani kwao tunda kimasihara na kupididdy!Wakinipa instruction utanikuta HC nikiwapambania Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri,ila wamepata Aibu huko mtani kwao tunda kimasihara na kupididdy!Wakinipa instruction utanikuta HC nikiwapambania Mkuu.
daah jamaa unaonesha una uchungu na hasira vp kuna ndugu yako kati yao.. tena unjiapiza kabisa eti lazima watoboe rufaa na ulivyo mweupe kisheria video ya kujirekodi unaita eti video ya kudowload hivi unaijua sheria ya ushahidi ww isitoshe hio kesi imesikilizwa chemba tena faragha hatujui ushahidi gani na vielelezo gani vimetolewa na hadi mahakama kutoa hukumu hii sio ww unabwabwaja tu kwa hasira na uchungu kwa kesi iliyosikilizwa sirini wala hauna hojaKuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine,,,
Ukitoa ile technology ya CGI (green screen ) ambayo kina nyundo hata wangetumikia jwtz mpaka wastaafu plus pension ya mabeyo na cdf wa sasa hawawezi kui afford . hapa Duniani hakuna technology yoyote inaweza kuedit video vileKuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.
Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.
Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.
Mbona kulikuwa na vielelezo 12, na mashahidi 18.....Sheria ifuatwe sio mihemko ya umma. Unawezaje kumfunga mtu kwa video ya kudownload na bado kusiwe na kosa la kusambaza picha chafu au hata mtu aliyeshitakiwa kwa kusambaza hizo video. Hujiulizi umma ulizipataje hizo video? Si ni kosa sasa mbona hakuna watuhumiwa?
Ina maana kifaa kilichotumika hakipo. Hapo ndio mzozo ulipo zaidi
Huyu jamaa sijui mshikaji wao, ameshindwa hata kumsikikiza mwendesha mashitaka wa serikali, amesema kulikuwa na vielelezo 12, yeye amekomalia video tu.Ukitoa ile technology ya CGI (green screen ) ambayo kina nyundo hata wangetumikia jwtz mpaka wastaafu plus pension ya mabeyo na cdf wa sasa hawawezi kui afford . hapa Duniani hakuna technology yoyote inaweza kuedit video vile
Well said, watu waelewe kuwa si kila anayekata rufaa anachomoka.Wakakate rufaa ni haki yao kwani tatizo nini? Ni haki kushtakiwa na ni haki yao kukata rufaa, Ila wajue tu wametenda jinai na tuko nao sambamba hadi kieleweke.
Kama tu wanadhani kukata rufaa= kushinda kesi.
Watanzania wengi ishu ya sheria hata hao wanasheria wengi ni kama hawajasoma kitu ndio maana sishangai makampuni ya nje kila siku yanalipwa kwa maelezo yao ukitasoma hapa unashangaa..daah jamaa unaonesha una uchungu na hasira vp kuna ndugu yako kati yao.. tena unjiapiza kabisa eti lazima watoboe rufaa na ulivyo mweupe kisheria video ya kujirekodi unaita eti video ya kudowload hivi unaijua sheria ya ushahidi ww isitoshe hio kesi imesikilizwa chemba tena faragha hatujui ushahidi gani na vielelezo gani vimetolewa na hadi mahakama kutoa hukumu hii sio ww unabwabwaja tu kwa hasira na uchungu kwa kesi iliyosikilizwa sirini wala hauna hoja
Nduguu ogopa sana hawa watu hatakama n mwanao anakwambia tu ashinda na hela anakupiga hukumu ikitoka anabagqin upya kamasioyeyejamaa walitambua kuwa hawa madogo lazima wanyee debe
sema jamaa walikuwa wanatafuta ridhiki zao tu
nina uncle wangu huwa ananiambia mimim naweza tambua hii kesi uyu anatoboa aua hatobboiNduguu ogopa sana hawa watu hatakama n mwanao anakwambia tu ashinda na hela anakupiga hukumu ikitoka anabagqin upya kamasioyeye
Huyu ni wakili kweli?
Godfrey Wasonga ambaye ni miongoni mwa Mawakili waliokuwa wakiwatetea kina Nyundo na wenzake ambao wamehukumiwa kifungo cha maisha Gerezani kutokana na kesi ya kumbaka na kumlawiti Binti wa Yombo, amesema wao kama Mawakili siku zote huwa wanaheshimu maamuzi ya Mahakama lakini hawajaridhika na hukumu iliyotolewa.
Akiongea na Waandishi wa Habari nje ya Mahakama Jijini Dodoma amesema kuna mambo mbalimbali na kwamba hawakuona kama Washtakiwa hao walikuwa na kesi ya kujibu “tuliona hakuna kesi ya kujibu, huwezi kuja kuleta video za mtandao.................. kwa mfano kosa la pili hata anayeingiliwa naye alitakiwa ashtakiwe, kwanini aliruhusu wakati anasema yeye alienda kule aka-enjoy akafurahi, ilitakiwa na yeye ashtakiwe?”
PIA SOMA
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
- Kina Nyundo wakutwa na Kesi ya Kujibu (Sakata la Binti wa Yombo)
Kwanza tayari wameshapoteza ajira, pili wameshadhalilika mtaani, hiyo tu ni hukumu tosha. Kwa vyovyote watajutia walilofanya.Kuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.
Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.
Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.
Kuna tukio la zamani kidogo la jamaa anaitwa Rodney King, alipigwa mno na polisi na mahakamani kilichoprove kilichotokea ni video iliyochukuliwa na mtu aliyekua nyumbani kwake muda huo.Kuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.
Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.
Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.
Una uhakika kuwa wanaobakwa huwa hawaenjoy?NAYE ALIENJOY KUBAKWA?HUYO WAKILI WA MCHONGO KWELI
Huyu wakili hana tofauti na yule profesa wa vinyesiAkiongea na Waandishi wa Habari nje ya Mahakama Jijini Dodoma amesema kuna mambo mbalimbali na kwamba hawakuona kama Washtakiwa hao walikuwa na kesi ya kujibu “tuliona hakuna kesi ya kujibu, huwezi kuja kuleta video za mtandao.................. kwa mfano kosa la pili hata anayeingiliwa naye alitakiwa ashtakiwe, kwanini aliruhusu wakati anasema yeye alienda kule aka-enjoy akafurahi, ilitakiwa na yeye ashtakiwe?”
Acha upumbavu ndugu!...fikiria angekuwa mwanao...unajua huyu binti anapitia nini?...Kuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.
Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.
Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.