Wakili wa Clinton Nyundo na wenzake hajaridhishwa na hukumu

Wakili wa Clinton Nyundo na wenzake hajaridhishwa na hukumu

Najua watatoka ila hasara Yao sidhani kama watarudi makazini.
Nimeona wawili ni askari.....
Ila nidhamu na uadilifu ni 0
 

Godfrey Wasonga ambaye ni miongoni mwa Mawakili waliokuwa wakiwatetea kina Nyundo na wenzake ambao wamehukumiwa kifungo cha maisha Gerezani kutokana na kesi ya kumbaka na kumlawiti Binti wa Yombo, amesema wao kama Mawakili siku zote huwa wanaheshimu maamuzi ya Mahakama lakini hawajaridhika na hukumu iliyotolewa.

Akiongea na Waandishi wa Habari nje ya Mahakama Jijini Dodoma amesema kuna mambo mbalimbali na kwamba hawakuona kama Washtakiwa hao walikuwa na kesi ya kujibu “tuliona hakuna kesi ya kujibu, huwezi kuja kuleta video za mtandao.................. kwa mfano kosa la pili hata anayeingiliwa naye alitakiwa ashtakiwe, kwanini aliruhusu wakati anasema yeye alienda kule aka-enjoy akafurahi, ilitakiwa na yeye ashtakiwe?”

PIA SOMA
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

- Kina Nyundo wakutwa na Kesi ya Kujibu (Sakata la Binti wa Yombo)
Tukiachana na mambo ya hukumu, hivi hao vijana walidhamiria nini kuzini huku wakijirekodi na kujidhihirisha sura zao!

Au ilikuwa ni mbinu ya kuendelea kumnyanyasa huyo mwanamke?

Kila nikiwaza siioni mantiki ya kufanya jambo kama hilo.
 
Kuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.

Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.

Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.
Achaa ujanja wakutaka kushinda kesi kwa sababu ya technicalities, thibitisha kama kweli wameonewa!!??
 
Huyu jamaa sijui mshikaji wao, ameshindwa hata kumsikikiza mwendesha mashitaka wa serikali, amesema kulikuwa na vielelezo 12, yeye amekomalia video tu.
Kama kuna vielelezo vingine 11 ukiacha video hapo sawa
Maana yake kama film kama The Titanic iliweza kuchezwa kwenye swimming pool isiyozidi square meter 200
Ishindikane kwenye clip ya Bint Yombo ?
 
Kuna uzi nimetoka kusema ile kesi hukumu watatoka hata kama High Court itagoma ila CAT lazima watatoboa tu maana CAT haitakubali kutengeneza precedence ya hovyo itakayoonea wengine.

Watu wanaweza wakashangilia.haya maamuzi lakini watu hawa hawa wanapaswa kufahamu kuwa endapo High Court itabariki maamuzi haya basi hata wao wanaweza wakashtakiwa kwa video au picha zaku download na wakakutwa na hatia bila kujali uhalali wa video na picha hizo.

Watu wanabidi wajifunze sana mifumo yetu ya sheria, haya sio yakuchekelea hata kidogo.
Chiz.i wewe...!, angefanyiwa mwanao vile ungesema huo utumbo hapa...
 

Godfrey Wasonga ambaye ni miongoni mwa Mawakili waliokuwa wakiwatetea kina Nyundo na wenzake ambao wamehukumiwa kifungo cha maisha Gerezani kutokana na kesi ya kumbaka na kumlawiti Binti wa Yombo, amesema wao kama Mawakili siku zote huwa wanaheshimu maamuzi ya Mahakama lakini hawajaridhika na hukumu iliyotolewa.

Akiongea na Waandishi wa Habari nje ya Mahakama Jijini Dodoma amesema kuna mambo mbalimbali na kwamba hawakuona kama Washtakiwa hao walikuwa na kesi ya kujibu “tuliona hakuna kesi ya kujibu, huwezi kuja kuleta video za mtandao.................. kwa mfano kosa la pili hata anayeingiliwa naye alitakiwa ashtakiwe, kwanini aliruhusu wakati anasema yeye alienda kule aka-enjoy akafurahi, ilitakiwa na yeye ashtakiwe?”

PIA SOMA
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

- Kina Nyundo wakutwa na Kesi ya Kujibu (Sakata la Binti wa Yombo)
Huyu wakili wa wapi? Consent kwenye kesi za ubakaji ni kitu muhimu Sana. Ni kwamba at all time consent must be there ili kumuondoa mtuhumiwa katika kukutwa na hatia ya kubaka. Mwanamke anapokubali mkagongane halafu mkafika room hata akiwa tayari umeingiza mshedede then akikataa unapaswa kuchomoa . Kitendo cha yeye kukubali yawezekana haikuwa anajua kuna masela wengine au alijua lakini alipofika room aliona hataweweza wote so consent iliposimama ndipo ubakaji ulipoanza kuhesabiwa. Wakili anatetea ujinga wake wala sio makosa ya hao vijana.
 
Kama kuna vielelezo vingine 11 ukiacha video hapo sawa
Maana yake kama film kama The Titanic iliweza kuchezwa kwenye swimming pool isiyozidi square meter 200
Ishindikane kwenye clip ya Bint Yombo ?
Hao kina fupi nyundo wana technology gani ya kutengeneza video feki, usituone sisi wadwanzi kutupa mifano ya blockbuster movies zenye bajeti ya mamia milioni ya dola kuprove kuwa video zinatengenezwa. Bongo muvi wenyewe hawawezi kutengeneza kitu kama hicho sembuse kina fupi nyundo. Hiyo video ya ubakaji ni ya kweli na halisi na wanastahili adhabu kali duniani na mbinguni
 
Tukiachana na mambo ya hukumu, hivi hao vijana walidhamiria nini kuzini huku wakijirekodi na kujidhihirisha sura zao!

Au ilikuwa ni mbinu ya kuendelea kumnyanyasa huyo mwanamke?

Kila nikiwaza siioni mantiki ya kufanya jambo kama hilo.
Either walitaka wakamuoneshe Boss ushahidi au, waendelee kum-humiliate na kumblackmail huyo dada for years (wanawake wengi waliopigwa picha za uchi wamefanyiwa hivi). Unakuwa mtumwa wao wa ngono kila wakikuhitaji wanakuita, ukikataa wanakutishia kusambaza, Karma ilivyo kali imewageuka wao. Huyo dada asingepata kichaa angeishia kujiua siku moja na watu wasijue sababu.


Mimi ndio maana nikiona mtu anatetea watu wa aina hii damu inanisisimka! Ni haki yao kupata wakili, kinyume na hapo nje ya mahakama hakuna anayepaswa kuwatetea hao kenge waliokonda kwa bange.
 
Huyu wakili wa wapi? Consent kwenye kesi za ubakaji ni kitu muhimu Sana. Ni kwamba at all time consent must be there ili kumuondoa mtuhumiwa katika kukutwa na hatia ya kubaka. Mwanamke anapokubali mkagongane halafu mkafika room hata akiwa tayari umeingiza mshedede then akikataa unapaswa kuchomoa . Kitendo cha yeye kukubali yawezekana haikuwa anajua kuna masela wengine au alijua lakini alipofika room aliona hataweweza wote so consent iliposimama ndipo ubakaji ulipoanza kuhesabiwa. Wakili anatetea ujinga wake wala sio makosa ya hao vijana.
Umeona kwa usahihi kabisa, Kuna vitu haviteteeki ni vile tu kila mtu ana haki ya kupata wakili.
 
Ningetamani kila anayesema hakuridhishwa na jukumu pia aseme kama alitaka waachiwe huru kwa sababu alichofanyiwa binti ni sawa au alistahili.
 
Mbona kulikuwa na vielelezo 12, na mashahidi 18.....
Hadi imetoka hukumu ushahidi ulikuwa wa kutosha kutoa hukumu hiyo. Hadi vielelezo vya daktari aliyempima binti. Naona umekazania kwenye video tu.
Na watetezi wenyewe hawakuwa na kielelezo chochote according to wakili wao.
 
Kama kuna vielelezo vingine 11 ukiacha video hapo sawa
Maana yake kama film kama The Titanic iliweza kuchezwa kwenye swimming pool isiyozidi square meter 200
Ishindikane kwenye clip ya Bint Yombo ?
Walikuwa na vielelezo zaidi ya 10 na mashahidi 18
 
Walikuwa na vielelezo zaidi ya 10 na mashahidi 18
Ukiachia pressure ya kesi.
Wakikata rufaa kuna uwezekano mkubwa wakashinda na wakawa huru mtaani

Yan procedure tuuuu mtu njeeeeee
Yan kweli sheria zinatetea wahalifuuuu
 
Kama kuna vielelezo vingine 11 ukiacha video hapo sawa
Maana yake kama film kama The Titanic iliweza kuchezwa kwenye swimming pool isiyozidi square meter 200
Ishindikane kwenye clip ya Bint Yombo ?
ni sawa lakini bongo hatuna teknolojia hiyo tunaziona kwenye filam za Hollywood tu..
 
Back
Top Bottom