Wakili wa Clinton Nyundo na wenzake hajaridhishwa na hukumu

Wakili wa Clinton Nyundo na wenzake hajaridhishwa na hukumu

Either walitaka wakamuoneshe Boss ushahidi au, waendelee kum-humiliate na kumblackmail huyo dada for years (wanawake wengi waliopigwa picha za uchi wamefanyiwa hivi). Unakuwa mtumwa wao wa ngono kila wakikuhitaji wanakuita, ukikataa wanakutishia kusambaza, Karma ilivyo kali imewageuka wao. Huyo dada asingepata kichaa angeishia kujiua siku moja na watu wasijue sababu.


Mimi ndio maana nikiona mtu anatetea watu wa aina hii damu inanisisimka! Ni haki yao kupata wakili, kinyume na hapo nje ya mahakama hakuna anayepaswa kuwatetea hao kenge waliokonda kwa bange.
Sema mie nasema siku zote sheria inamlinda mtuhumiwa.

Hawajamaa kwa mwenendo na utaratibu wa namna shauri lilivyoendeshwa wanaweza kata rufaa na wakaachiwa kwa baadhi ya taratibu za uendeshwaji kukiukwa tuu.

Sasa hapo ndipo haki jinai inaanza kijitafunaaa maana nao watu wa haki jinai wanataka taratibu zote zifuatweee.
 
Ukiachia pressure ya kesi.
Wakikata rufaa kuna uwezekano mkubwa wakashinda na wakawa huru mtaani

Yan procedure tuuuu mtu njeeeeee
Yan kweli sheria zinatetea wahalifuuuu
unaposema eti wakikata rufaa wana uwezakano mkubwa wa kushinda je,unayasema hayo kwa ushahidi au kujitia ujuaji tu au ww uliona vielelezo vyote na kuwasikiliza mashahidi wote waliotoa ushahidi hadi ww ujipe uhakika wa ushindi wa rufaa.!
 
Sema mie nasema siku zote sheria inamlinda mtuhumiwa.

Hawajamaa kwa mwenendo na utaratibu wa namna shauri lilivyoendeshwa wanaweza kata rufaa na wakaachiwa kwa baadhi ya taratibu za uendeshwaji kukiukwa tuu.

Sasa hapo ndipo haki jinai inaanza kijitafunaaa maana nao watu wa haki jinai wanataka taratibu zote zifuatweee.
Rufaa haifuti jinai yao. Kesi haiwezi kufutika kwa sababu tu mtu amekata rufaa. Kukata rufaa ni mchakato wa kisheria ambapo mtu anapinga uamuzi wa mahakama ya chini na kuomba uchunguzi upya wa kesi hiyo katika mahakama ya juu. Kwa kawaida, kesi hufikishwa mbele ya mahakama ya rufaa kwa ajili ya kutathmini kama kulikuwa na makosa ya kisheria au ya kiutendaji katika hukumu ya awali.

Rufaa inaweza kukazia hukumu (kuthibitisha) kubatilisha au kuirudisha isikilizwe upya.

Nimeeleza tu kama ngumbaru, wenye taaluma yao watatueleza zaidi.

Rufaa si kushinda kesi naona baadhi ya watu wanalishangilia hili. 😮
 
unaposema eti wakikata rufaa wana uwezakano mkubwa wa kushinda je,unayasema hayo kwa ushahidi au kujitia ujuaji tu au ww uliona vielelezo vyote na kuwasikiliza mashahidi wote waliotoa ushahidi hadi ww ujipe uhakika wa ushindi wa rufaa.!
Namshangaa. Na wakati hata mawakili wa utetezi walisema kulikuwa na vielelezo zaidi ya 10 na mashahidi zaidi ya 18. Lakini kwa upende wa utetezi, hawakuwa na kielelezo hata kimoja.
 
Rufaa haifuti jinai yao. Kesi haiwezi kufutika kwa sababu tu mtu amekata rufaa. Kukata rufaa ni mchakato wa kisheria ambapo mtu anapinga uamuzi wa mahakama ya chini na kuomba uchunguzi upya wa kesi hiyo katika mahakama ya juu. Kwa kawaida, kesi hufikishwa mbele ya mahakama ya rufaa kwa ajili ya kutathmini kama kulikuwa na makosa ya kisheria au ya kiutendaji katika hukumu ya awali.

Rufaa inaweza kukazia hukumu (kuthibitisha) kubatilisha au kuirudisha isikilizwe upya.

Nimeeleza tu kama ngumbaru, wenye taaluma yao watatueleza zaidi.

Rufaa si kushinda kesi naona baadhi ya watu wanalishangilia hili. 😮
Swadakta mkuu umeandika kwa ufupi ila kwa kueleweka sana.

kukazia
Kubatilisha
Kuirudisha.

Kukazia ni vyema sana na credit kwa waendeshaji
Kubatilisha ni aibu kwa waendeshaji
Kuirudisha ni aibu pia kwa waendeshaji
 
Sema mie nasema siku zote sheria inamlinda mtuhumiwa.

Hawajamaa kwa mwenendo na utaratibu wa namna shauri lilivyoendeshwa wanaweza kata rufaa na wakaachiwa kwa baadhi ya taratibu za uendeshwaji kukiukwa tuu.

Sasa hapo ndipo haki jinai inaanza kijitafunaaa maana nao watu wa haki jinai wanataka taratibu zote zifuatweee.
sasa mkuu sote tunajua kesi imeendeshwa chemba faragha yaani mazingira ya usiri na hii inakubalika kisheria kwa kesi za namna hii za kudhalilisha utu wa mtu pia inasemekana binti ana miaka 17 ndiomaana imesikilizwa faragha bila hadhira ya watu wengi public sisi tulio nje hatujui vimetolewa vielelezo gani na mashahidi walioletwa wamesema nini hiyo imebaki siri hadi mahakama kujiridhisha kutoa hukumu hiyo..sasa ww embu tueleze kidogo umesema kwa mwenendo wa kesi ulivyoendeshwa kuna taratibu zimekiukwa ni zipi hizo.?
 
sasa mkuu sote tunajua kesi imeendeshwa chemba faragha yaani mazingira ya usiri na hii inakubalika kisheria kwa kesi za namna hii za kudhalilisha utu wa mtu pia inasemekana binti ana miaka 17 ndiomaana imesikilizwa faragha bila hadhira ya watu wengi public sisi tulio nje hatujui vimetolewa vielelezo gani na mashahidi walioletwa wamesema nini hiyo imebaki siri hadi mahakama kujiridhisha kutoa hukumu hiyo..sasa ww embu tueleze kidogo umesema kwa mwenendo wa kesi ulivyoendeshwa kuna taratibu zimekiukwa ni zipi hizo.?
Umeandika vyema.
Issue ya bint kuwa na miaka 17 sote hatuna hakika maana cheti chake cha kuzaliwa hatujaona.

Binafsi nimekuwa na maswali mengi yasiyo na majibu.
1 Ikiwa wale vijana walobaka kwa kundi walitumwa na mtu lazima mtu huyo aletwe pale mahakamani ithibitike pasipo na shaka kuwa yeye ndo alowatuma na kama hayupo basi isemwe kuwa walifanya wao kama wao pasipo kutumwa na huyo aloitwa afande.

Hainiingii akilini kuwa mie ndo nmekutuma ubake alafu mie nisiusike kwenye hiyo hatia.

Tukubalia kuwa kunamahala hii kesi imepwaya.
 
Umeandika vyema.
Issue ya bint kuwa na miaka 17 sote hatuna hakika maana cheti chake cha kuzaliwa hatujaona.

Binafsi nimekuwa na maswali mengi yasiyo na majibu.
1 Ikiwa wale vijana walobaka kwa kundi walitumwa na mtu lazima mtu huyo aletwe pale mahakamani ithibitike pasipo na shaka kuwa yeye ndo alowatuma na kama hayupo basi isemwe kuwa walifanya wao kama wao pasipo kutumwa na huyo aloitwa afande.

Hainiingii akilini kuwa mie ndo nmekutuma ubake alafu mie nisiusike kwenye hiyo hatia.

Tukubalia kuwa kunamahala hii kesi imepwaya.
hata angekuwepo aliyewatuma ingekuwa ngumu kumtia hatiani maana sheria zetu zinamtaka aliyetenda tukio na sio aliyekupa amri mfano ile kesi ya zombe waliachiwa sababu wao hawakufyatua risasi kuwaua wale wafabiashara lakini mahakama ikamtaka aliyepiga risasi kuua sio waliotoa amri wa waliokuwepo eneo la tukio mfano hata ww ukimwambia mtu ww fulani mbake yule nae akabaka kweli sheria itamuhukumu aliyefanya hicho kitendo yeye kama yeye na sio ww uliyemuagiza huna hatia
 
hata angekuwepo aliyewatuma ingekuwa ngumu kumtia hatiani maana sheria zetu zinamtaka aliyetenda tukio na sio aliyekupa amri mfano ile kesi ya zombe waliachiwa sababu wao hawakufyatua risasi kuwaua wale wafabiashara lakini mahakama ikamtaka aliyepiga risasi kuua sio waliotoa amri wa waliokuwepo eneo la tukio mfano hata ww ukimwambia mtu ww fulani mbake yule nae akabaka kweli sheria itamuhukumu aliyefanya hicho kitendo yeye kama yeye na sio ww uliyemuagiza huna hatia
kasome penal code sect.22
 
Niulizieni hao mawakili kama wana watoto ?
Au shida ni pesa tuu?
 
Either walitaka wakamuoneshe Boss ushahidi au, waendelee kum-humiliate na kumblackmail huyo dada for years (wanawake wengi waliopigwa picha za uchi wamefanyiwa hivi). Unakuwa mtumwa wao wa ngono kila wakikuhitaji wanakuita, ukikataa wanakutishia kusambaza, Karma ilivyo kali imewageuka wao. Huyo dada asingepata kichaa angeishia kujiua siku moja na watu wasijue sababu.


Mimi ndio maana nikiona mtu anatetea watu wa aina hii damu inanisisimka! Ni haki yao kupata wakili, kinyume na hapo nje ya mahakama hakuna anayepaswa kuwatetea hao kenge waliokonda kwa bange.
Na boss wao huyo, kamwe hatakuja kuthubutu tena kuwaza ama kupanga upumbaf kama huo.

Kapata somo na misukosuko ya kesi pia.
 
Back
Top Bottom