Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Kibali cha kuuza na kusafirisha tembo kimetoka. Bwana yule wa arusha atamsaidia sasa.
 
Punguani mwingine upooooo?

Chadema ina mahakama?
 
Hata siku alizokaa tu ndani zinatosha kumtia adabu.
 
John Mrema ana mamlaka gani kuhoji ama kulazimisha kunyanyapaa haki ya mtuhumiwa?

Hawa ndiyo wanaodai Katiba mpya wakati hata ya sasa hawaijui na kuifuata
Kuhoji hakuhitaji mamlaka yo yote bali ni haki yako kikatiba!
 
rafiki zake akina makonda, le mutuz, mrisho gambo, jerry muro, mnyeti, Jokate wako wapi wamsaidie?
Marafiki maslahi kama hao ni vizuri kuwatambua mapema
 
Uvccm wameshapata mchongo wa kupiga hela kwa mgongo wa jambazi sugu Sabaya
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Fursa dada hana kipato anajua kuna wajinga wengi ccm watatoa pesa
 
Jamani nashauri tumchangie najua ameumiza watu wengi kwa wale wanaopenda haki na utawala wa sheria si jambo baya tunataka akifungwa yeye na wapiga debe wake wasiseme nimefungwa kwa kukosa uwezo wa. Kuajili wanasheria
Sabaya anastahili adhabu ya kifo hakuna kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…