Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Hela alizokuwa anapora wafanya biashara zipo wapi!?ila sabaya alikua na vituko sana….kuna kipindi alikamata wafanya biashara ya mabasi eti wameng’oa reli ili kuijumu[emoji23][emoji23][emoji23].
Mabasi mangapi yapo barabara ya arusha dar mpaka hao wawili ndio wawe wame athirika na reli!?
 
Masikini Sabaya anadhalilishwa Facebook kwa kuomba msaada!
 
Sabaya achangiwa na watanzania wazalendo milioni 15
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Mkuu tuanze changisha hapo mango hardware tuje kwa Asante tour's alafu tuje malizia kwa mnyampanda ila cjui kama bado atakuwa huko hai
 
Tutachanga kwa mzalendo wa taifa
FB_IMG_1654361385920.jpg
 
Sasa mbona mnatuchanganya? Tupeleke kwa Fauzia Mustapha au kwa huyu Diana Milley?
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Huyu Faudhia Kaolewa?
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

John Mrema ana mamlaka gani kuhoji ama kulazimisha kunyanyapaa haki ya mtuhumiwa?

Hawa ndiyo wanaodai Katiba mpya wakati hata ya sasa hawaijui na kuifuata
 
Back
Top Bottom