Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli kipendacho roho sabuni ya roho! Hata shetani ana wapenzi wake!Mpaka leo zimeshachangwa zaidi ya millioni 15, asanteni sana watanzania
Anaye hukumuona wakati wa kesi ya mwanzo ile,Hana mke yule jambazi eti ana mchumba!
Na njaa yako hiyo huwezi kumchangia hata buku.Tumeshamchangia nyingi tu
Jamani nashauri tumchangie najua ameumiza watu wengi kwa wale wanaopenda haki na utawala wa sheria si jambo baya tunataka akifungwa yeye na wapiga debe wake wasiseme nimefungwa kwa kukosa uwezo wa. Kuajili wanasheriaWakati anaua na kuteka mbona hakuomba michango?
Sukuma gang wamchangie
Chungulia Facebook anavyodhalilishwa!Sabaya achangiwa na watanzania wazalendo milioni 15
Mkuu tuanze changisha hapo mango hardware tuje kwa Asante tour's alafu tuje malizia kwa mnyampanda ila cjui kama bado atakuwa huko haiHatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
😂😂😂Mkuu tuanze changisha hapo mango hardware tuje kwa Asante tour's alafu tuje malizia kwa mnyampanda ila cjui kama bado atakuwa huko hai
Huyu Faudhia Kaolewa?Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Umeombwa kumchangia, hayo mengine hayakuhusu!Huyu Faudhia Kaolewa?
John Mrema ana mamlaka gani kuhoji ama kulazimisha kunyanyapaa haki ya mtuhumiwa?Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.